Hivi tatizo la 'kunatana' wakati wa kufanya mapenzi linasababishwa na nini?

Hivi tatizo la 'kunatana' wakati wa kufanya mapenzi linasababishwa na nini?

Wenye vibamia msihofu tego haliwahusu, kibamia hakinasi😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Ulishawahi kutest kibamia chako nini maana inaonekana una uzoefu na hilo!
 
Hiki ndicho najua tangu zamani nilitarajia jibu la kwanza liwe hili badala yake ni vituko tu na kuleta stori za vijiweni.
In fact huu uzi ilibidi uende jukwaa la jf doctor.
Ombea isikutokee maishani mwako maana utaishiwa nguvu na hizo science zako. Hivi unadhani wote humu hatujui science eeh! Ni utoto tu ukikua utaacha.
 
Upuuzi utaendelea tu mpaka watu watakapo funguliwa kwenye minyororo na kuamua kuuacha huo upuuzi.

Haya mambo ya kuamini ushirikina/uchawi yanaanzia nyumbani ulipokulia. Kama wazazi walipendelea kusimulia watoto mambo ya ushirikina basi probability watoto nao watakuwa hivyohivyo.

Kujitoa kwenye hayo mafundisho inaanza na mtu binafsi kupenda kujua kweli. Kuuliza maswali yanayopatana na akili na kuwa mdadisi.

Poleni sana mnaoamini mambo haya ya kipuuzi kabisa. Kamwe huwezi kuwa HURU kama umefungwa na mafundisho potofu.

You have eyes but you don't see. You have brain but you don't optimize it to it's fullest potential
Wewe utakuwa mchawi maana wachawi ndiyo hawataki kusikia stori za kichawi au kishirikina wanajifanya innocent kwenye jamii kumbe bure kabisa hadi mbinguni wameshachokwa
 
Mimi siyo kichaa.....so please don't call me names.

Nani amekwambia science ni ya wazungu pekee?

Sasa ukianza kuandika viroja tunaweza kufanya discussion ya hii mada?

Go and educate yourself old man.
We dada una science gani zaidi za akina newton n.k?
 
Habari?

Hivi kitendo hiki cha watu kulana mpaka kunatiana linasababishwa na nini? Maana huku kwetu tumezoea kuona mbwa zikikabiriana na janga hilo, sasa hii ya partners people kunatiana sijui inakaaje wapendwa.

Nadhani nanyi si wageni na mambo haya kuyasikia, tena cha kushangaza huwatokea sana cheaters katika gest mbalimbali, mke mtu au mume mtu, yaan wanakuwa full kidogodogo.

Nini tatizo?
 
Habari?

Hivi kitendo hiki cha watu kulana mpaka kunatiana linasababishwa na nini? Maana huku kwetu tumezoea kuona mbwa zikikabiriana na janga hilo, sasa hii ya partners people kunatiana sijui inakaaje wapendwa.

Nadhani nanyi si wageni na mambo haya kuyasikia, tena cha kushangaza huwatokea sana cheaters katika gest mbalimbali, mke mtu au mume mtu, yaan wanakuwa full kidogodogo.

Nini tatizo?
NI UTAALAM NDO UNAOTUMIKA MKUU!! WELLCOME AT SUMBAWANGA FOR MORE COURSE
 
Mbwa hunatiana kwa sababu 1

Zile mbegu za mbwa hua hazitoki zote kwa wakati mmoja, hua zinatoka nyingi sana halafu zinatengeneza kitu kama kiduara mbele ya penis ya mbwa ndio zinaanza kutoka taratibu

Ukikuta ndo zinaanza kutoka ukiwatoa pale utafumua vagina yote ya mbwa jike.
 
inaitwa "TEGO" ni Njia mojawapo ya kumkamta mwenzi wako hasa kama anatochepuka.inahusiana na madawa ya waganga.ona huu mfano
mume:mke wangu naona mabadiliko siku hizi..unatoka nje ya ndoa..unanisaliti
mke;hapana mme wangu siwezi kufanya hivo hata siku moja
mume:kila nkipita mtaani pia naskia tetesi unatoka na bodaboda mmoja hapa mtaani..
mke;sio kweli mme wangu..wananisingizia mimi
mume:sawa

kesho mume kaenda kwa mganga mwafulan na kumweleza shida yake..mganga akafanya yake.mume akaenda dukani kununua kisu kipya kikiwa mdani ya ala yake(ile sehemu inayofunika kisu kwa mbele)
akapewa maelezo..njiani kurudi nyumbani akapitia buchanibkanunua nyama kama kilo nzima.kufika nyumbani kamkuta mke wake.mume akaiweka nyama juu ya meza akampa kile kisu kipya mke wake akamwambia chukua hilo pande kubwa la nyama likate kwa hiki kisu.mke akakata
fhen mume akachukua kile kisu vilevile baada ya kukatia nyama akakiingiza kwenye ala akaondoka nacho chumbani mke akaambiwa we endelea kupika
mume kufika chumbani akaficha kisu anapopajua mwenyewe.mke nae alishahis kastukiwa usaliti wake akamtell mchepuko tutulie kidogo had asahau.
baada ya kama mwezi mke akapata upenyo akamtafuta mchepuko wake..kammiss..kila mmoja kammis mwenzie[emoji23] [emoji23]
basi bwana wakapanga gesti za uswaaziii kule vichochoroni ili isiwe rahisi kufumaniwa
kufika kule mda si mda wakaanza mambo...kidogo tu jamaa bodaboda anashaangaa nje haitoki...ajikaze vipi..avute vipi haitok[emoji85] [emoji85]
mke nae akafanya juhudi wee haitoki..sasa si unajua kile kifo cha mende...wakaanza kupiga kelele kumwita muhudumu...wahudumu wakajasijui mara wakaita wazee jirani...huku nje sijui ghafla habari ziksambaaje watu kibao hadi mlango wa gesti..vichochoro vyote vimejaa hamna njia...si unajua uswaz tena..mpaka paparaz wa shingongo wakafika full mapicha..ilikua aibu ya mwaka..
wakaambiwa nyinyi mmenasiana..bodaboda akasema mi nko singo sina mtu..bibie akasema nimeolewa..akaambiwa basi atakuwa mme wako mpigie simu aje..akagoma!
akaambiwa kama hutaki hamtaachiana nq huyu jamaa mtabaki hivihivi.
akautwa mganga kutoka hapo uswaz nae akasema siwez..mwenye kuwanasua ni mume wa huyu dada..aliyeseti tego yeye ndo anajua kulinasuaje
dada akakubai kwa hiyari kutoa namba ya mme wake wakamuita.
mume kufika akamwambia "mkw wangu nlikwambia unanisaliti wewe ukakataa..umeona ???
walimwengu wakaanza kumbembeleza mume..mnasue mkeo..tangu asubuh mpk hii jion tunahangaika tu.msamehe.mume akatoa kile kisu na alipikichomoa tu toka kwenye ala na huku mke na mgoni kinu na mtwangio vikaachiana [emoji23] [emoji23]
hili ndo tego.
ngoja niishie hapa ntaonekana mwagq bure.
Story nzuri kidogo na wazi ni "fictitious" ingawa inafundisha,pia jifunze kuaandika kwa utulivu na ufasaha,makosa yakiwa mengi kwa story ndefu inaboa.
 
Mimi nahisi labda kuna ushirikina unahusika! Ila kwq hali ya kawaida haiwezekani jombaaaaa!

Ila zamani wazazi walitumia kama mbinu ya kuwaogopesha watoto wasishiriki ngono mapema!
Ukiwaza kutongoza tu linakuja wazo la kunatana basi unaogopa kweli......

Au walikuwa wanasema papuchi za aliyekuzidi umri huwa zinaunguza gegedo
Okay, nimeona matukio haya sehemu kama mbili huku ghana Mbeya
 
Dogo, sikiliza!
Mkimaliza sex baada ya wewe kukojoa ndani na yeye kuwa mbichi sana halafu uume ukaendelea kukaa ndani ya uke wake kwa dk kadhaa ute ute wake ndani kama unaganda hivi sababu anakuwa hana hamu hivyo hatoi wese, hapo ndo unajikuta uume unanata ndani, cha kufanya ni kumsisimua tena mwenza wake aweze tengeneza wese tena utoke kiulaini.
 
Back
Top Bottom