Hivi tatizo la 'kunatana' wakati wa kufanya mapenzi linasababishwa na nini?

Hivi tatizo la 'kunatana' wakati wa kufanya mapenzi linasababishwa na nini?

inaitwa "TEGO" ni Njia mojawapo ya kumkamta mwenzi wako hasa kama anatochepuka.inahusiana na madawa ya waganga.ona huu mfano
mume:mke wangu naona mabadiliko siku hizi..unatoka nje ya ndoa..unanisaliti
mke;hapana mme wangu siwezi kufanya hivo hata siku moja
mume:kila nkipita mtaani pia naskia tetesi unatoka na bodaboda mmoja hapa mtaani..
mke;sio kweli mme wangu..wananisingizia mimi
mume:sawa

kesho mume kaenda kwa mganga mwafulan na kumweleza shida yake..mganga akafanya yake.mume akaenda dukani kununua kisu kipya kikiwa mdani ya ala yake(ile sehemu inayofunika kisu kwa mbele)
akapewa maelezo..njiani kurudi nyumbani akapitia buchanibkanunua nyama kama kilo nzima.kufika nyumbani kamkuta mke wake.mume akaiweka nyama juu ya meza akampa kile kisu kipya mke wake akamwambia chukua hilo pande kubwa la nyama likate kwa hiki kisu.mke akakata
fhen mume akachukua kile kisu vilevile baada ya kukatia nyama akakiingiza kwenye ala akaondoka nacho chumbani mke akaambiwa we endelea kupika
mume kufika chumbani akaficha kisu anapopajua mwenyewe.mke nae alishahis kastukiwa usaliti wake akamtell mchepuko tutulie kidogo had asahau.
baada ya kama mwezi mke akapata upenyo akamtafuta mchepuko wake..kammiss..kila mmoja kammis mwenzie[emoji23] [emoji23]
basi bwana wakapanga gesti za uswaaziii kule vichochoroni ili isiwe rahisi kufumaniwa
kufika kule mda si mda wakaanza mambo...kidogo tu jamaa bodaboda anashaangaa nje haitoki...ajikaze vipi..avute vipi haitok[emoji85] [emoji85]
mke nae akafanya juhudi wee haitoki..sasa si unajua kile kifo cha mende...wakaanza kupiga kelele kumwita muhudumu...wahudumu wakajasijui mara wakaita wazee jirani...huku nje sijui ghafla habari ziksambaaje watu kibao hadi mlango wa gesti..vichochoro vyote vimejaa hamna njia...si unajua uswaz tena..mpaka paparaz wa shingongo wakafika full mapicha..ilikua aibu ya mwaka..
wakaambiwa nyinyi mmenasiana..bodaboda akasema mi nko singo sina mtu..bibie akasema nimeolewa..akaambiwa basi atakuwa mme wako mpigie simu aje..akagoma!
akaambiwa kama hutaki hamtaachiana nq huyu jamaa mtabaki hivihivi.
akautwa mganga kutoka hapo uswaz nae akasema siwez..mwenye kuwanasua ni mume wa huyu dada..aliyeseti tego yeye ndo anajua kulinasuaje
dada akakubai kwa hiyari kutoa namba ya mme wake wakamuita.
mume kufika akamwambia "mkw wangu nlikwambia unanisaliti wewe ukakataa..umeona ???
walimwengu wakaanza kumbembeleza mume..mnasue mkeo..tangu asubuh mpk hii jion tunahangaika tu.msamehe.mume akatoa kile kisu na alipikichomoa tu toka kwenye ala na huku mke na mgoni kinu na mtwangio vikaachiana [emoji23] [emoji23]
hili ndo tego.
ngoja niishie hapa ntaonekana mwagq bure.
Daaah, ni mfano au ilitokea kweli, maana
 
Hayo ni maneno tu yanasemwa, hakuna kitu kama hicho na wala hakuna mtu aliyewahi kushuhudia tukio hilo. Ni kama ile stori ya samaki mtu (Nguva) hakuna huyu samaki Duniani.
Upeo wako ndio Mdogo hauezi kuona mambo hayo, hili jambo lipo na linaitwa TEGO.
 
Kuna watu wanajifanya wanasanyansi kila kitu wanazani ni sayansi ya shuleni hii nyingine ni African magic science na inafanya kazi.
 
Hiyo hali inaitwa Penis Captivus.

Inatokea kwa nadra sana. Wakati wa sex misuli ya uke inajibana hali inayosababisha uume kushindwa kutoka.

Misuli ya uke ikitulia mwanaume ataweza kutoka.

Only feed your brain with informations from genuine sources. Don't allow yourself being mislead by informations which have no scientific sources.
Hamna cha scientific resource wewe umekariri unakuja kutudanganya hapa. Haya mambo yapo kuanzia enzi za enzi hata kabla kitabu ulichosoma hakijaandikwa.
 
Hamka shaka kama huko kwenu mmeamua "kuamini" hivyo.
Njoo nikutengenezee bure Kama mkeo haelewiki utamkamata tuu. Nunua kuku mweusi. Mimi nakutengenezea bure kabisa.
 
Mimi nahisi labda kuna ushirikina unahusika! Ila kwq hali ya kawaida haiwezekani jombaaaaa!

Ila zamani wazazi walitumia kama mbinu ya kuwaogopesha watoto wasishiriki ngono mapema!
Ukiwaza kutongoza tu linakuja wazo la kunatana basi unaogopa kweli......

Au walikuwa wanasema papuchi za aliyekuzidi umri huwa zinaunguza gegedo
Unaamini ushirikina??
 
Hamna cha scientific resource wewe umekariri unakuja kutudanganya hapa. Haya mambo yapo kuanzia enzi za enzi hata kabla kitabu ulichosoma hakija andikwa.
Siko hapa kubishana na yeyote. Ukiamua kupuuza maelezo yanayopatana na akili (science) na kuamua "kuamini" upuuzi hiyo ni juu yako tu.

Nafahamu watu wetu wengi wamefungwa na "mafundisho" ya kijinga kabisa na bado hawapo tayari kutoka kwenye minyororo ya utumwa.

Kuamini uchawi/ushirikina ni mental disorders.

Tupo 21st century tunashuhudia artificial intelligence katika science discoveries lakini ajabu watu bado wanadanganyika na ushirikina.

Pole sana ndugu
 
Siko hapa kubishana na yeyote. Ukiamua kupuuza maelezo yanayopatana na akili (science) na kuamua "kuamini" upuuzi hiyo ni juu yako tu.

Nafahamu watu wetu wengi wamefungwa na "mafundisho" ya kijinga kabisa na bado hawapo tayari kutoka kwenye minyororo ya utumwa.

Kuamini uchawi/ushirikina ni mental disorders.

Tupo 21st century tunashuhudia artificial intelligence katika science discoveries lakini ajabu watu bado wanadanganyika na ushirikina.

Pole sana ndugu
Kwahio ushirikina hauvuki karne?
 
Kwahio ushirikina hauvuki karne?
Upuuzi utaendelea tu mpaka watu watakapo funguliwa kwenye minyororo na kuamua kuuacha huo upuuzi.

Haya mambo ya kuamini ushirikina/uchawi yanaanzia nyumbani ulipokulia. Kama wazazi walipendelea kusimulia watoto mambo ya ushirikina basi probability watoto nao watakuwa hivyohivyo.

Kujitoa kwenye hayo mafundisho inaanza na mtu binafsi kupenda kujua kweli. Kuuliza maswali yanayopatana na akili na kuwa mdadisi.

Poleni sana mnaoamini mambo haya ya kipuuzi kabisa. Kamwe huwezi kuwa HURU kama umefungwa na mafundisho potofu.

You have eyes but you don't see. You have brain but you don't optimize it to it's fullest potential
 
Siko hapa kubishana na yeyote. Ukiamua kupuuza maelezo yanayopatana na akili (science) na kuamua "kuamini" upuuzi hiyo ni juu yako tu.

Nafahamu watu wetu wengi wamefungwa na "mafundisho" ya kijinga kabisa na bado hawapo tayari kutoka kwenye minyororo ya utumwa.

Kuamini uchawi/ushirikina ni mental disorders.

Tupo 21st century tunashuhudia artificial intelligence katika science discoveries lakini ajabu watu bado wanadanganyika na ushirikina.

Pole sana ndugu
Wewe Chizi kweli hata hiyo elimu uliopata bado, haikusadii , hao wazungu waliokuandikia kitabu uka ariri na wenyewe wana tamaduni zao, huu sio uchawi ni utamaduni.
 
Wewe Chizi kweli hata hiyo elimu uliopata bado, haikusadii , hao wazungu waliokuandikia kitabu uka ariri na wenyewe wana tamaduni zao, huu sio uchawi ni utamaduni.
Mimi siyo kichaa.....so please don't call me names.

Nani amekwambia science ni ya wazungu pekee?

Sasa ukianza kuandika viroja tunaweza kufanya discussion ya hii mada?

Go and educate yourself old man.
 
inaitwa "TEGO" ni Njia mojawapo ya kumkamta mwenzi wako hasa kama anatochepuka.inahusiana na madawa ya waganga.ona huu mfano
mume:mke wangu naona mabadiliko siku hizi..unatoka nje ya ndoa..unanisaliti
mke;hapana mme wangu siwezi kufanya hivo hata siku moja
mume:kila nkipita mtaani pia naskia tetesi unatoka na bodaboda mmoja hapa mtaani..
mke;sio kweli mme wangu..wananisingizia mimi
mume:sawa

kesho mume kaenda kwa mganga mwafulan na kumweleza shida yake..mganga akafanya yake.mume akaenda dukani kununua kisu kipya kikiwa mdani ya ala yake(ile sehemu inayofunika kisu kwa mbele)
akapewa maelezo..njiani kurudi nyumbani akapitia buchanibkanunua nyama kama kilo nzima.kufika nyumbani kamkuta mke wake.mume akaiweka nyama juu ya meza akampa kile kisu kipya mke wake akamwambia chukua hilo pande kubwa la nyama likate kwa hiki kisu.mke akakata
fhen mume akachukua kile kisu vilevile baada ya kukatia nyama akakiingiza kwenye ala akaondoka nacho chumbani mke akaambiwa we endelea kupika
mume kufika chumbani akaficha kisu anapopajua mwenyewe.mke nae alishahis kastukiwa usaliti wake akamtell mchepuko tutulie kidogo had asahau.
baada ya kama mwezi mke akapata upenyo akamtafuta mchepuko wake..kammiss..kila mmoja kammis mwenzie[emoji23] [emoji23]
basi bwana wakapanga gesti za uswaaziii kule vichochoroni ili isiwe rahisi kufumaniwa
kufika kule mda si mda wakaanza mambo...kidogo tu jamaa bodaboda anashaangaa nje haitoki...ajikaze vipi..avute vipi haitok[emoji85] [emoji85]
mke nae akafanya juhudi wee haitoki..sasa si unajua kile kifo cha mende...wakaanza kupiga kelele kumwita muhudumu...wahudumu wakajasijui mara wakaita wazee jirani...huku nje sijui ghafla habari ziksambaaje watu kibao hadi mlango wa gesti..vichochoro vyote vimejaa hamna njia...si unajua uswaz tena..mpaka paparaz wa shingongo wakafika full mapicha..ilikua aibu ya mwaka..
wakaambiwa nyinyi mmenasiana..bodaboda akasema mi nko singo sina mtu..bibie akasema nimeolewa..akaambiwa basi atakuwa mme wako mpigie simu aje..akagoma!
akaambiwa kama hutaki hamtaachiana nq huyu jamaa mtabaki hivihivi.
akautwa mganga kutoka hapo uswaz nae akasema siwez..mwenye kuwanasua ni mume wa huyu dada..aliyeseti tego yeye ndo anajua kulinasuaje
dada akakubai kwa hiyari kutoa namba ya mme wake wakamuita.
mume kufika akamwambia "mkw wangu nlikwambia unanisaliti wewe ukakataa..umeona ???
walimwengu wakaanza kumbembeleza mume..mnasue mkeo..tangu asubuh mpk hii jion tunahangaika tu.msamehe.mume akatoa kile kisu na alipikichomoa tu toka kwenye ala na huku mke na mgoni kinu na mtwangio vikaachiana [emoji23] [emoji23]
hili ndo tego.
ngoja niishie hapa ntaonekana mwagq bure.
Hahahaaa nimesoma kastory kako kote
 
Mimi siyo kichaa.....so please don't call me names.

Nani amekwambia science ni ya wazungu pekee?

Sasa ukianza kuandika viroja tunaweza kufanya discussion ya hii mada?

Go and educate yourself old man.
Science ya Afrika ndio hii tunayokwambia wewe unaleta science ya wazungu ya kukariri vitabu
 
Back
Top Bottom