Hivi tatizo la 'kunatana' wakati wa kufanya mapenzi linasababishwa na nini?

Hivi tatizo la 'kunatana' wakati wa kufanya mapenzi linasababishwa na nini?

Duu! mkuu,kwenye zama hizi ambazo video zinasambaa kabisa kuonyesha wanawake na wanaume wananatana bado huamini katika kunatana,labda useme hujui sababu lakini siyokusema haijawahitokea,labda kama umekuja sasa hivi duniani.
Mbona hata nguva anaonekana kwenye video nyingi tu, lakini hakuna binadamu hata mmoja aliyewahi kumuona kwa macho, hata hizo video za watu kunatana ni za kutengeneza, hakuna mtu kashuhudia tukio hilo. Video zinatengenezwa tu.
 
Hilo kufuli noma sana aka viro,

Hii ni njia nzuri sana kutokomeza baadhi ya magonjwa yanayosababishwa na watu kujamiiana hovyo (ukimwi) na wapenzi wengi wengi, pia inafanya watu waheshimu ndoa zao, tukiona inafaa basi tuipitishe kisheria watu wakioana tu wanawekeana hayo ma tego , hakuna kutoka nje ya ndoa, hata ukimwi utapungua kwakweli,

Afrika tuna science nzuri sana kijamii, kiuchumi na kisiasa, sema tu ndio hivyo u magharibi umetuzidi sana.
 
Ni masimulizi ambayo mara nyingi huwa yamepangwa ili mganga fulani awe mashuhuri zaidi. Ni sawa na Gwajima anapokwenda vijijini huko na kununua "misukule" au "maiti" za kuja kufufua mbele ya misukule yake Tanganyika Parkers Kawe. Kuna kipindi cha Kenya kilichofunua ujanja huu. Usiamini kila kitu mkuu hasa nyakati hizi!
 
Kunatana wakati wa tendo la ngono kunaelezeka kusayansi. Kwa kiingereza kunaitwa penis captivus. As the name implies, penis captivus occurs when a man's penis gets "stuck" in a woman's vagina. This is extremely rare in humans (more common in some animals) and usually lasts only a few seconds. But it can happen. It's believed this phenomena may be caused by contractions of a woman's muscles during orgasm. Asanteni
 
Hilo kufuli noma sana a,k,a viro,

Hii ni njia nzuri sana kutokomeza baadhi ya magonjwa yanayosababishwa na watu kujamiiana hovyo (ukimwi) na wapenzi wengi wengi, pia inafanya watu waheshimu ndoa zao, tukiona inafaa basi tuipitishe kisheria watu wakioana tu wanawekeana hayo ma tego , hakuna kutoka nje ya ndoa, hata ukimwi utapungua kwakweli,

Africa tuna science nzuri sana kijamii , kiuchumi na kisiasa, sema tu ndio hivyo u magharibi umetuzidi sana
Ngoja mkuu apitishe iwe sheria, gesti zitadoda
 
Zitabaki kwa wageni tu (wasafiri) inabidi ipate promo yakutosha kusudi watu waielewe hii njia salama kijamii nk
Kupita sidhani, ila kwetu pwani hii kitu ipooo sanaaa, ukikaa kilingen unaambiwa huyo kategwa, na huyo pia, hhhhhahaha utabaki kula kwa macho
 
Linasababishwa na tabia ya kuchepuka na wake za watu, ama waume za watu ova!
 
Hiyo kitu hutokea mara chache. Sana.. Yani mara chache sana...

Na hutokea pale misuli ya uke inapo kaza ghalfa na kwa nguvu kwa ajili ya raha iliyopitiliza lakini ghafla mwanaume akapoteza mood na uume wake ukasinyaa ukiwa bado ndani ya uke...


Hata ajitahidi vipi uume hautoki mpaka misuli ya uke utakapoachia wenyewe...

Ni kitendo ambacho mwanamke mwenyewe hawezi kuki-control hutokea ghafla...


Cc: mahondaw
 
Uchawi huo jarbu kwenda kumsaliti mpenzi wako halafu ukute anajihusisha na mambo ya ushirikina utajuta kwa kawaida si rahisi mtu kunaniana hivi hivi chanzo ni ushirikina.
 
inaitwa "TEGO" ni Njia mojawapo ya kumkamta mwenzi wako hasa kama anatochepuka.inahusiana na madawa ya waganga.ona huu mfano
mume:mke wangu naona mabadiliko siku hizi..unatoka nje ya ndoa..unanisaliti
mke;hapana mme wangu siwezi kufanya hivo hata siku moja
mume:kila nkipita mtaani pia naskia tetesi unatoka na bodaboda mmoja hapa mtaani..
mke;sio kweli mme wangu..wananisingizia mimi
mume:sawa

kesho mume kaenda kwa mganga mwafulan na kumweleza shida yake..mganga akafanya yake.mume akaenda dukani kununua kisu kipya kikiwa mdani ya ala yake(ile sehemu inayofunika kisu kwa mbele)
akapewa maelezo..njiani kurudi nyumbani akapitia buchanibkanunua nyama kama kilo nzima.kufika nyumbani kamkuta mke wake.mume akaiweka nyama juu ya meza akampa kile kisu kipya mke wake akamwambia chukua hilo pande kubwa la nyama likate kwa hiki kisu.mke akakata
fhen mume akachukua kile kisu vilevile baada ya kukatia nyama akakiingiza kwenye ala akaondoka nacho chumbani mke akaambiwa we endelea kupika
mume kufika chumbani akaficha kisu anapopajua mwenyewe.mke nae alishahis kastukiwa usaliti wake akamtell mchepuko tutulie kidogo had asahau.
baada ya kama mwezi mke akapata upenyo akamtafuta mchepuko wake..kammiss..kila mmoja kammis mwenzie[emoji23] [emoji23]
basi bwana wakapanga gesti za uswaaziii kule vichochoroni ili isiwe rahisi kufumaniwa
kufika kule mda si mda wakaanza mambo...kidogo tu jamaa bodaboda anashaangaa nje haitoki...ajikaze vipi..avute vipi haitok[emoji85] [emoji85]
mke nae akafanya juhudi wee haitoki..sasa si unajua kile kifo cha mende...wakaanza kupiga kelele kumwita muhudumu...wahudumu wakajasijui mara wakaita wazee jirani...huku nje sijui ghafla habari ziksambaaje watu kibao hadi mlango wa gesti..vichochoro vyote vimejaa hamna njia...si unajua uswaz tena..mpaka paparaz wa shingongo wakafika full mapicha..ilikua aibu ya mwaka..
wakaambiwa nyinyi mmenasiana..bodaboda akasema mi nko singo sina mtu..bibie akasema nimeolewa..akaambiwa basi atakuwa mme wako mpigie simu aje..akagoma!
akaambiwa kama hutaki hamtaachiana nq huyu jamaa mtabaki hivihivi.
akautwa mganga kutoka hapo uswaz nae akasema siwez..mwenye kuwanasua ni mume wa huyu dada..aliyeseti tego yeye ndo anajua kulinasuaje
dada akakubai kwa hiyari kutoa namba ya mme wake wakamuita.
mume kufika akamwambia "mkw wangu nlikwambia unanisaliti wewe ukakataa..umeona ???
walimwengu wakaanza kumbembeleza mume..mnasue mkeo..tangu asubuh mpk hii jion tunahangaika tu.msamehe.mume akatoa kile kisu na alipikichomoa tu toka kwenye ala na huku mke na mgoni kinu na mtwangio vikaachiana [emoji23] [emoji23]
hili ndo tego.
ngoja niishie hapa ntaonekana mwagq bure.
umejuaje yote hayo?
 
inaitwa "TEGO" ni Njia mojawapo ya kumkamta mwenzi wako hasa kama anatochepuka.inahusiana na madawa ya waganga.ona huu mfano
mume:mke wangu naona mabadiliko siku hizi..unatoka nje ya ndoa..unanisaliti
mke;hapana mme wangu siwezi kufanya hivo hata siku moja
mume:kila nkipita mtaani pia naskia tetesi unatoka na bodaboda mmoja hapa mtaani..
mke;sio kweli mme wangu..wananisingizia mimi
mume:sawa

kesho mume kaenda kwa mganga mwafulan na kumweleza shida yake..mganga akafanya yake.mume akaenda dukani kununua kisu kipya kikiwa mdani ya ala yake(ile sehemu inayofunika kisu kwa mbele)
akapewa maelezo..njiani kurudi nyumbani akapitia buchanibkanunua nyama kama kilo nzima.kufika nyumbani kamkuta mke wake.mume akaiweka nyama juu ya meza akampa kile kisu kipya mke wake akamwambia chukua hilo pande kubwa la nyama likate kwa hiki kisu.mke akakata
fhen mume akachukua kile kisu vilevile baada ya kukatia nyama akakiingiza kwenye ala akaondoka nacho chumbani mke akaambiwa we endelea kupika
mume kufika chumbani akaficha kisu anapopajua mwenyewe.mke nae alishahis kastukiwa usaliti wake akamtell mchepuko tutulie kidogo had asahau.
baada ya kama mwezi mke akapata upenyo akamtafuta mchepuko wake..kammiss..kila mmoja kammis mwenzie[emoji23] [emoji23]
basi bwana wakapanga gesti za uswaaziii kule vichochoroni ili isiwe rahisi kufumaniwa
kufika kule mda si mda wakaanza mambo...kidogo tu jamaa bodaboda anashaangaa nje haitoki...ajikaze vipi..avute vipi haitok[emoji85] [emoji85]
mke nae akafanya juhudi wee haitoki..sasa si unajua kile kifo cha mende...wakaanza kupiga kelele kumwita muhudumu...wahudumu wakajasijui mara wakaita wazee jirani...huku nje sijui ghafla habari ziksambaaje watu kibao hadi mlango wa gesti..vichochoro vyote vimejaa hamna njia...si unajua uswaz tena..mpaka paparaz wa shingongo wakafika full mapicha..ilikua aibu ya mwaka..
wakaambiwa nyinyi mmenasiana..bodaboda akasema mi nko singo sina mtu..bibie akasema nimeolewa..akaambiwa basi atakuwa mme wako mpigie simu aje..akagoma!
akaambiwa kama hutaki hamtaachiana nq huyu jamaa mtabaki hivihivi.
akautwa mganga kutoka hapo uswaz nae akasema siwez..mwenye kuwanasua ni mume wa huyu dada..aliyeseti tego yeye ndo anajua kulinasuaje
dada akakubai kwa hiyari kutoa namba ya mme wake wakamuita.
mume kufika akamwambia "mkw wangu nlikwambia unanisaliti wewe ukakataa..umeona ???
walimwengu wakaanza kumbembeleza mume..mnasue mkeo..tangu asubuh mpk hii jion tunahangaika tu.msamehe.mume akatoa kile kisu na alipikichomoa tu toka kwenye ala na huku mke na mgoni kinu na mtwangio vikaachiana [emoji23] [emoji23]
hili ndo tego.
ngoja niishie hapa ntaonekana mwagq bure.
Vinaogopesha kwakweli
 
Back
Top Bottom