Hivi TBC ni ya Serikali au ya chama tawala, Mbona habari za vyama pinzani hazisikiki?

Hivi TBC ni ya Serikali au ya chama tawala, Mbona habari za vyama pinzani hazisikiki?

Kyambamasimbi

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
762
Reaction score
1,597
Habari wanJF.

Hivi huwa najiuliza TBC ni ya Serikali au ni ya chama Fulani, mbona huwa wanazungumzia habari za chama kimoja tu kwani vyama vingine havina haki kutangazwa? Kama ni hivyo vyama pinzani fungueni na nyie media zenu.
 
Na wakielezwa WAKALI hao, kuna siku asubuhi na kile kipindi chao cha JAMBO Tanzania, mtu aliuliza swali hili, weee walikuja juu hao, mbona Zitto huwa tunamualika..sijui wanatuonaje wale Watangazaji
 
Tokea kupata uhuru ccm inaona kila kitu ni mali zake.
Mfano viwanja vya mpira.
Mashule, viwanda na n. K
 
Hii nchi ikishikwa na upinzani watakuwa na kazi kubwa sana kuiweka nchi sawa mana ni kama vile Tanzania ni mali ya ccm
 
Habari wanJF.

Hivi huwa najiuliza TBC ni ya Serikali au ni ya chama Fulani, mbona huwa wanazungumzia habari za chama kimoja tu kwani vyama vingine havina haki kutangazwa? Kama ni hivo vyama pinzani fungueni na nyie media zenu.
Kwani huelewi chama tawala ni kipi?
 
Habari wanJF.

Hivi huwa najiuliza TBC ni ya Serikali au ni ya chama Fulani, mbona huwa wanazungumzia habari za chama kimoja tu kwani vyama vingine havina haki kutangazwa? Kama ni hivo vyama pinzani fungueni na nyie media zenu.
Ryoba ni mpumbavu sana! Tunailipia Kodi hiyo tbc lakini yeye ni kutangaza utopolo wa ccm TU! Shwaini kabisa!
 
Mkuu angalia Chanel nyingine achana na hiyo
 
Habari wanJF.

Hivi huwa najiuliza TBC ni ya Serikali au ni ya chama Fulani, mbona huwa wanazungumzia habari za chama kimoja tu kwani vyama vingine havina haki kutangazwa? Kama ni hivo vyama pinzani fungueni na nyie media zenu.
Ni makosa kimsingi serikali haifungamani na chama chochote wasiendekeze uchawa na kumwangusha mama na 4R zake. Mkurugenzi nenda na falsafa ya Rais. Wewe ni msomi unaielewa vizuri zaidi
 
Kijana ambaye yuko smart kichwani hawezi akaangalia TV kama TBC1
 
Habari wanJF.

Hivi huwa najiuliza TBC ni ya Serikali au ni ya chama Fulani, mbona huwa wanazungumzia habari za chama kimoja tu kwani vyama vingine havina haki kutangazwa? Kama ni hivo vyama pinzani fungueni na nyie media zenu.
Tatizo la msingi ni kushindwa kutofautisha serikali na taifa.
TBC ni ya taifa, siyo ya serikali.
Serikali ni kikundi cha watu waliopewa dhamana ya kuongoza nchi/taifa kwa wakati fulani.
Mamlaka yote ya kikundi hicho hutoka kwa wananchi na inapotokea maslahi ya wananchi/taifa hayapewi kipaumbele, wananchi wana haki ya msingi kabisa ya kuiondoa serikali na kuweka nyingine (bila kujali vyama).
Kwa hiyo, serikali makinni hujitahidi wakati wote kulinda maslahi mapana ya wananchi/taifa ili iendelee kuchaguliwa kuongoza.
Changamoto kubwa ni walio wengi kutokujua maslahi yao/taifa.
 
Habari za upinzani zinapatikana mitandaoni na baadhi ya taasisi binafsi.
 
Back
Top Bottom