Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 762
- 1,597
Inafika mahala hii nchi inakera Sana, tuna mamlaka zinazolipwa na kuendeshwa na fedha za walipakodi lakini kazi yake haionekani, mfano hivi karibuni kumekuwa na matukio ya uingizaji wa bidhaa ya powder zenye viambata sumu zinazosababisha saratani lakini wao wapo tu, mpaka nchi zingine waamke ndio wao waanze kusema tunafuatilia.
Yanakera haya majitu na magari ya wananchi SU n STL. Haya kinywaji Cha ENERGY nacho ndio yameamka baada ya Madhara Kuna baadhi ya watu wanamuangusha Sana Mhe Rais. Mfiuuuuuuuuuuuuu. Mpaka watu wafe au wapate madhara ndio mshtuke usingizini.RUSHWAAA TU!? Mnakeraaaaaaaa Sana kazi yenu Nini Sasa??
Yanakera haya majitu na magari ya wananchi SU n STL. Haya kinywaji Cha ENERGY nacho ndio yameamka baada ya Madhara Kuna baadhi ya watu wanamuangusha Sana Mhe Rais. Mfiuuuuuuuuuuuuu. Mpaka watu wafe au wapate madhara ndio mshtuke usingizini.RUSHWAAA TU!? Mnakeraaaaaaaa Sana kazi yenu Nini Sasa??