Aje hapa Makao Makuu ya DP Bandarini tutaweka mambo sawaClearance tayari ame- clear cheti kapata Ila transcript wameizuia achukue hatua gan?
Akomae apewe, ni chuo gani hiko chenye mbambamba namna hiyo khaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Clearance tayari ame- clear cheti kapata Ila transcript wameizuia achukue hatua gan?
Sawa mkuu, Chuo kipo hapahapa mkoa wa Dar es Salaam haina haja ya kukitaja Ila wanazungusha alafu ukiwa mfuatiliaji sana wanachukia na wanakua wakali km pilipili ndio maana nikakuuliza transcript ni haki au ni ombi ?Akomae apewe, ni chuo gani hiko chenye mbambamba namna hiyo khaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa mkuu, Chuo kipo hapahapa mkoa wa Dar es Salaam haina haja ya kukitaja Ila wanazungusha alafu ukiwa mfuatiliaji sana wanachukia na wanakua wakali km pilipili ndio maana nikakuuliza transcript ni haki au ni ombi ?
Nenda kwa Mkuu wa Wilaya kawashtakiSawa mkuu, Chuo kipo hapahapa mkoa wa Dar es Salaam haina haja ya kukitaja Ila wanazungusha alafu ukiwa mfuatiliaji sana wanachukia na wanakua wakali km pilipili ndio maana nikakuuliza transcript ni haki au ni ombi ?
Acha hayo mambo ndugu yangu, Dunia ndogo hii. Mwenzio kaleta thread yake Kwa Jambo linalomtatiza ili apate kusaidiwa halafu wewe unaleta utani. Sio Sawa na si busaraAje hapa Makao Makuu ya DP Bandarini tutaweka mambo sawa
Natafuta ufumbuzi wa tatizo mkuuUnaongeza tatizo kwa kutokitaja
Jina.acha kukumbatia udumavu wa akili fikiria nje ya box kijana
Sio kwamba naogopa Ila nahitaji ufumbuzi wa tatizo kwanini transcript wameizuia ?Unatumia id fake bado unaogopa kutaja jina la chuo
Taja jina la chuo usadike sio dhambi usiogopeNatafuta ufumbuzi wa tatizo mkuu
Sio kwamba naogopa Ila nahitaji ufumbuzi wa tatizo kwanini transcript wameizuia ?
Kuna mengi nitayaeleza baadae nikipata wasaa kuhusu huu mkasa Ila kwa sasa nilihitaji kujua km transcript ni haki au ni ombi, sasa km ni haki ikiwa km Chuo kimegoma kutoa transcript na kimeizuia, Mwanafunzi achukue hatua zipi ili apatiwe transcript yake ?
Kitaje,,,unazungumzia taasisi ya elimu. Itaje Kisha hiyo transcript atapewa.Naomba kuuliza wadau kuhusu hilo suala la transcript zinazotolewa vyuoni, hizi transcript ni haki ya Mwanafunzi kupatiwa na Chuo au ni mpaka mwanafunzi afukuzane na uongozi wa Chuo ndio wampe transcript?
Nasema hivi sababu kuna Chuo X kilichopo maeneo ya Mkoa wa Dar es Salaam kinamzungusha mwanafunzi kumpa transcript yake huu unaenda mwaka wa Pili kila mwanafunzi akienda anaambiwa transcript haijaprintiwa bado Mara anaambiwa anaeprint hayupo amesafiri visingizio haviishi, sasa nauliza hizi transcript kutoka kwenye vyuo vyetu ni haki ya Mwanafunzi kupatiwa pale anapomaliza Chuo au ni mpaka aombe sana ndio apatiwe transcript yake ?!
Mkuu km unajua hatua za kufuata ili ipatikane elezea maana hapo ndio panaleta utata wapi pa kuanzia?Kitaje,,,unazungumzia taasisi ya elimu. Itaje Kisha hiyo transcript atapewa.
Mwanafunzi hana tatizo maana alipoenda wamecheck mbele ya msajiri km mwanafunzi ana tatizo wakasema mwanafunzi hana tatizo lolote Ila sasa transcript kutoa na kumpa ndio inakua ngumu maana ipo ndani ya laptop inaonekana na mara zote amekua akienda anaonyeshwa transcript yako ipo hii hapa Ila kuiprint ili apewe ndio anazungushwa achukue hatua zipi ili aweze kupatiwa? Sio Chuo Cha kata ni Chuo cha SerikaliKuogopa kutaja Jina la chuo inaonesha wewe ndio mwenye tatizo au pengine ni vile vyuo vya uchochoroni chumba kimoja floor ya pili.
Ili cheti kikamilike lazima upewe na hiyo Transcript hata gvnts huwezi kuapply kazi bila hiyo Transcript .
Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
Transcript ni matokeo yote ya chuo kwa mihula na miaka yako. Na ni haki yako sio ombi, kama inazuiliwa basi clearance haijakaa sawa yaweza kuwa unadaiwa bado lakini mdaiwa anatoa ubishi kuwa hadaiwi, hapo huwezi kupewa. Fanya clearance!Kuna mengi nitayaeleza baadae nikipata wasaa kuhusu huu mkasa Ila kwa sasa nilihitaji kujua km transcript ni haki au ni ombi, sasa km ni haki ikiwa km Chuo kimegoma kutoa transcript na kimeizuia, Mwanafunzi achukue hatua zipi ili apatiwe transcript yake ?