Hivi Transcript ni haki ya Mwanafunzi kupatiwa na Chuo?

Hivi Transcript ni haki ya Mwanafunzi kupatiwa na Chuo?

Cheti ni cover tu na unapewa kama hujafeli domo lolote ila transcript ni MATOKEO yako ya chuo na hiyo ni muhimu zaidi na inazuiliwa kama una deni chuoni.

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
Mkuu matokeo yake yapo clean hakuna alipofeli na wamethibitisha hilo hivi unanielewa lakini ninachokwambia kua wamekagua kuhusu kuanzia matokeo na kila kitu km mwanafunzi anadaiwa na Chuo wamekuta mwanafunzi hana tatizo na wala Chuo hakimdai mwanafunzi, issue ni KUPRINT transcript na kumpatia tu hapo ndio kuna mvutano kuiprint hio transcript ndio danadana zinaanzia hapo
 
Kuna mengi nitayaeleza baadae nikipata wasaa kuhusu huu mkasa Ila kwa sasa nilihitaji kujua km transcript ni haki au ni ombi, sasa km ni haki ikiwa km Chuo kimegoma kutoa transcript na kimeizuia, Mwanafunzi achukue hatua zipi ili apatiwe transcript yake ?
Ni haki yako, baadhi ya vyuo unalipia 10k bank unapeleka payslip wanakuprintia chap
 
Mkuu matokeo yake yapo clean hakuna alipofeli na wamethibitisha hilo hivi unanielewa lakini ninachokwambia kua wamekagua kuhusu kuanzia matokeo na kila kitu km mwanafunzi anadaiwa na Chuo wamekuta mwanafunzi hana tatizo na wala Chuo hakimdai mwanafunzi, issue ni KUPRINT transcript na kumpatia tu hapo ndio kuna mvutano kuiprint hio transcript ndio danadana zinaanzia hapo
Mkuu unatuchosha si waulize kwanini hawaptint? Au wanaprint kwa pesa? Shida iliyopo kwako ni ROHO ya unyonge, waulize kwanini wakupe sababu

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Ni haki yako, baadhi ya vyuo unalipia 10k bank unapeleka payslip wanakuprintia chap
Sasa km kuna issue ya kulipia mboni hawajawahi kusema kuhusu hilo maana nijuavyo Mimi transcript inalipiwa moja kwa moja kwenye ada na ada yote ilishalipwa mwanafunzi hadaiwi hata shilling 1 na Chuo,
Mkuu unatuchosha si waulize kwanini hawaptint? Au wanaprint kwa pesa? Shida iliyopo kwako ni ROHO ya unyonge, waulize kwanini wakupe sababu

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu, wanasema ameshapewa taarifa zako anaetakiwa kuprint atakuprintia tu subiri kila akienda kuangalia km tayari ishaprintiwa wanamwambia bado bado haijaprintiwa subiri itaprintiwa tu huku siku zinaenda
 
Sasa km kuna issue ya kulipia mboni hawajawahi kusema kuhusu hilo maana nijuavyo Mimi transcript inalipiwa moja kwa moja kwenye ada na ada yote ilishalipwa mwanafunzi hadaiwi hata shilling 1 na Chuo,
Sawa mkuu, wanasema ameshapewa taarifa zako anaetakiwa kuprint atakuprintia tu subiri kila akienda kuangalia km tayari ishaprintiwa wanamwambia bado bado haijaprintiwa subiri itaprintiwa tu huku siku zinaenda
Waulize taratibu za kuprintiwa lazima kuna malipo kidogo kama wafanyavyo vyuo vingine.

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Waulize taratibu za kuprintiwa lazima kuna malipo kidogo kama wafanyavyo vyuo vingine.

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
Mkuu km kungekua na MALIPO wangesema tangu awali hawajawahi kusema hivyo na km ni inalipiwa wangesema na wangetoa control number Ila hakuna huo utaratibu wa kuilipia transcript
 
Kuna mengi nitayaeleza baadae nikipata wasaa kuhusu huu mkasa Ila kwa sasa nilihitaji kujua km transcript ni haki au ni ombi, sasa km ni haki ikiwa km Chuo kimegoma kutoa transcript na kimeizuia, Mwanafunzi achukue hatua zipi ili apatiwe transcript yake ?
Nenda Mahakamani.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Ungekitaja ili wajirekebishe.
Kusema chuo X na kutoa malalamiko hapa hautapata msaada wowote.
 
Ukotaja jina watokuja huku kusema unakiaibisha chuo, kua mpole kijana fuatilia kiupole watakupa nl haki yako
 
Sawa mkuu, Chuo kipo hapahapa mkoa wa Dar es Salaam haina haja ya kukitaja Ila wanazungusha alafu ukiwa mfuatiliaji sana wanachukia na wanakua wakali km pilipili ndio maana nikakuuliza transcript ni haki au ni ombi ?
🤣🤣🤣Usikute ni .... hao,mie nilikomaa hadi wakanipa,ila ilikuwa mtiti,na ni kero,eti walikuwa wanauliza ulikuwa wapi miaka yote hiyo?like what the f.ck?kwani kuna time limitation ya kutoa transcript?
Mimi nilipoajiriwa awali walipokea cheti tu,hawakuhitaj transcript,sasa nataka hamia organization x wanataka transcript,ilikuwa nkazeze.
 
Mkuu km unajua hatua za kufuata ili ipatikane elezea maana hapo ndio panaleta utata wapi pa kuanzia?
Mwanafunzi hana tatizo maana alipoenda wamecheck mbele ya msajiri km mwanafunzi ana tatizo wakasema mwanafunzi hana tatizo lolote Ila sasa transcript kutoa na kumpa ndio inakua ngumu maana ipo ndani ya laptop inaonekana na mara zote amekua akienda anaonyeshwa transcript yako ipo hii hapa Ila kuiprint ili apewe ndio anazungushwa achukue hatua zipi ili aweze kupatiwa? Sio Chuo Cha kata ni Chuo cha Serikali
Nidm jina la chuo nikukonect upate, kama ndiko nilikosoma.
 
🤣🤣🤣Usikute ni .... hao,mie nilikomaa hadi wakanipa,ila ilikuwa mtiti,na ni kero,eti walikuwa wanauliza ulikuwa wapi miaka yote hiyo?like what the f.ck?kwani kuna time limitation ya kutoa transcript?
Mimi nilipoajiriwa awali walipokea cheti tu,hawakuhitaj transcript,sasa nataka hamia organization x wanataka transcript,ilikuwa nkazeze.
MIMI nilihitimu Chuo Y kipo mkoa wa Tanga, Lushoto hakukua na longolongo za hivi unapewa Cheti na transcript hapo hapo unasaini unaenda zako bila kuzungushana, sasa nimeshangaa hiki Chuo X mbona kina taratibu za ajabu kiasi hiki yaan transcript tu ndio kuzungushana na mwanafunzi namna hii kwanini ?
 
Naomba kuuliza wadau kuhusu hilo suala la transcript zinazotolewa vyuoni, hizi transcript ni haki ya Mwanafunzi kupatiwa na Chuo au ni mpaka mwanafunzi afukuzane na uongozi wa Chuo ndio wampe transcript?

Nasema hivi sababu kuna Chuo X kilichopo maeneo ya Mkoa wa Dar es Salaam kinamzungusha mwanafunzi kumpa transcript yake huu unaenda mwaka wa Pili kila mwanafunzi akienda anaambiwa transcript haijaprintiwa bado Mara anaambiwa anaeprint hayupo amesafiri visingizio haviishi, sasa nauliza hizi transcript kutoka kwenye vyuo vyetu ni haki ya Mwanafunzi kupatiwa pale anapomaliza Chuo au ni mpaka aombe sana ndio apatiwe transcript yake ?!
Taja jina la chuo ili upate ufumbuzi,yawezeiana kuna wengine wamo humu walipitia chuo hicho wakafanyiwa hivyo na wakatumia njiwa ya kupata kwa urahisi,kutaja jina la chuo sio kosa kwako,sabau hiyo ni taasisi ya elimu,na wengine wanaosoma hapo una waanda wajue kitakachowapata.
 
Sawa mkuu, Chuo kipo hapahapa mkoa wa Dar es Salaam haina haja ya kukitaja Ila wanazungusha alafu ukiwa mfuatiliaji sana wanachukia na wanakua wakali km pilipili ndio maana nikakuuliza transcript ni haki au ni ombi ?
Haki ya mwanachuo baada ya kuhitimu, na pale akisha clear kila kitu.
 
Back
Top Bottom