Mkuu matokeo yake yapo clean hakuna alipofeli na wamethibitisha hilo hivi unanielewa lakini ninachokwambia kua wamekagua kuhusu kuanzia matokeo na kila kitu km mwanafunzi anadaiwa na Chuo wamekuta mwanafunzi hana tatizo na wala Chuo hakimdai mwanafunzi, issue ni KUPRINT transcript na kumpatia tu hapo ndio kuna mvutano kuiprint hio transcript ndio danadana zinaanzia hapoCheti ni cover tu na unapewa kama hujafeli domo lolote ila transcript ni MATOKEO yako ya chuo na hiyo ni muhimu zaidi na inazuiliwa kama una deni chuoni.
Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
Ni haki yako, baadhi ya vyuo unalipia 10k bank unapeleka payslip wanakuprintia chapKuna mengi nitayaeleza baadae nikipata wasaa kuhusu huu mkasa Ila kwa sasa nilihitaji kujua km transcript ni haki au ni ombi, sasa km ni haki ikiwa km Chuo kimegoma kutoa transcript na kimeizuia, Mwanafunzi achukue hatua zipi ili apatiwe transcript yake ?
Mkuu unatuchosha si waulize kwanini hawaptint? Au wanaprint kwa pesa? Shida iliyopo kwako ni ROHO ya unyonge, waulize kwanini wakupe sababuMkuu matokeo yake yapo clean hakuna alipofeli na wamethibitisha hilo hivi unanielewa lakini ninachokwambia kua wamekagua kuhusu kuanzia matokeo na kila kitu km mwanafunzi anadaiwa na Chuo wamekuta mwanafunzi hana tatizo na wala Chuo hakimdai mwanafunzi, issue ni KUPRINT transcript na kumpatia tu hapo ndio kuna mvutano kuiprint hio transcript ndio danadana zinaanzia hapo
Sasa km kuna issue ya kulipia mboni hawajawahi kusema kuhusu hilo maana nijuavyo Mimi transcript inalipiwa moja kwa moja kwenye ada na ada yote ilishalipwa mwanafunzi hadaiwi hata shilling 1 na Chuo,Ni haki yako, baadhi ya vyuo unalipia 10k bank unapeleka payslip wanakuprintia chap
Sawa mkuu, wanasema ameshapewa taarifa zako anaetakiwa kuprint atakuprintia tu subiri kila akienda kuangalia km tayari ishaprintiwa wanamwambia bado bado haijaprintiwa subiri itaprintiwa tu huku siku zinaendaMkuu unatuchosha si waulize kwanini hawaptint? Au wanaprint kwa pesa? Shida iliyopo kwako ni ROHO ya unyonge, waulize kwanini wakupe sababu
Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
Waulize taratibu za kuprintiwa lazima kuna malipo kidogo kama wafanyavyo vyuo vingine.Sasa km kuna issue ya kulipia mboni hawajawahi kusema kuhusu hilo maana nijuavyo Mimi transcript inalipiwa moja kwa moja kwenye ada na ada yote ilishalipwa mwanafunzi hadaiwi hata shilling 1 na Chuo,
Sawa mkuu, wanasema ameshapewa taarifa zako anaetakiwa kuprint atakuprintia tu subiri kila akienda kuangalia km tayari ishaprintiwa wanamwambia bado bado haijaprintiwa subiri itaprintiwa tu huku siku zinaenda
Mkuu km kungekua na MALIPO wangesema tangu awali hawajawahi kusema hivyo na km ni inalipiwa wangesema na wangetoa control number Ila hakuna huo utaratibu wa kuilipia transcriptWaulize taratibu za kuprintiwa lazima kuna malipo kidogo kama wafanyavyo vyuo vingine.
Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
Nenda Mahakamani.Kuna mengi nitayaeleza baadae nikipata wasaa kuhusu huu mkasa Ila kwa sasa nilihitaji kujua km transcript ni haki au ni ombi, sasa km ni haki ikiwa km Chuo kimegoma kutoa transcript na kimeizuia, Mwanafunzi achukue hatua zipi ili apatiwe transcript yake ?
Basi Mungu wa Wanyonge akusaidieMkuu km kungekua na MALIPO wangesema tangu awali hawajawahi kusema hivyo na km ni inalipiwa wangesema na wangetoa control number Ila hakuna huo utaratibu wa kuilipia transcript
Nenda mahakama ya wilayaSawa mkuu, nikafungue kesi Mahakama ya mwanzo au ya wilaya ipi ambayo Ina jurisdiction?
🤣🤣🤣Usikute ni .... hao,mie nilikomaa hadi wakanipa,ila ilikuwa mtiti,na ni kero,eti walikuwa wanauliza ulikuwa wapi miaka yote hiyo?like what the f.ck?kwani kuna time limitation ya kutoa transcript?Sawa mkuu, Chuo kipo hapahapa mkoa wa Dar es Salaam haina haja ya kukitaja Ila wanazungusha alafu ukiwa mfuatiliaji sana wanachukia na wanakua wakali km pilipili ndio maana nikakuuliza transcript ni haki au ni ombi ?
Nidm jina la chuo nikukonect upate, kama ndiko nilikosoma.Mkuu km unajua hatua za kufuata ili ipatikane elezea maana hapo ndio panaleta utata wapi pa kuanzia?
Mwanafunzi hana tatizo maana alipoenda wamecheck mbele ya msajiri km mwanafunzi ana tatizo wakasema mwanafunzi hana tatizo lolote Ila sasa transcript kutoa na kumpa ndio inakua ngumu maana ipo ndani ya laptop inaonekana na mara zote amekua akienda anaonyeshwa transcript yako ipo hii hapa Ila kuiprint ili apewe ndio anazungushwa achukue hatua zipi ili aweze kupatiwa? Sio Chuo Cha kata ni Chuo cha Serikali
MIMI nilihitimu Chuo Y kipo mkoa wa Tanga, Lushoto hakukua na longolongo za hivi unapewa Cheti na transcript hapo hapo unasaini unaenda zako bila kuzungushana, sasa nimeshangaa hiki Chuo X mbona kina taratibu za ajabu kiasi hiki yaan transcript tu ndio kuzungushana na mwanafunzi namna hii kwanini ?🤣🤣🤣Usikute ni .... hao,mie nilikomaa hadi wakanipa,ila ilikuwa mtiti,na ni kero,eti walikuwa wanauliza ulikuwa wapi miaka yote hiyo?like what the f.ck?kwani kuna time limitation ya kutoa transcript?
Mimi nilipoajiriwa awali walipokea cheti tu,hawakuhitaj transcript,sasa nataka hamia organization x wanataka transcript,ilikuwa nkazeze.
Taja jina la chuo ili upate ufumbuzi,yawezeiana kuna wengine wamo humu walipitia chuo hicho wakafanyiwa hivyo na wakatumia njiwa ya kupata kwa urahisi,kutaja jina la chuo sio kosa kwako,sabau hiyo ni taasisi ya elimu,na wengine wanaosoma hapo una waanda wajue kitakachowapata.Naomba kuuliza wadau kuhusu hilo suala la transcript zinazotolewa vyuoni, hizi transcript ni haki ya Mwanafunzi kupatiwa na Chuo au ni mpaka mwanafunzi afukuzane na uongozi wa Chuo ndio wampe transcript?
Nasema hivi sababu kuna Chuo X kilichopo maeneo ya Mkoa wa Dar es Salaam kinamzungusha mwanafunzi kumpa transcript yake huu unaenda mwaka wa Pili kila mwanafunzi akienda anaambiwa transcript haijaprintiwa bado Mara anaambiwa anaeprint hayupo amesafiri visingizio haviishi, sasa nauliza hizi transcript kutoka kwenye vyuo vyetu ni haki ya Mwanafunzi kupatiwa pale anapomaliza Chuo au ni mpaka aombe sana ndio apatiwe transcript yake ?!
Haki ya mwanachuo baada ya kuhitimu, na pale akisha clear kila kitu.Sawa mkuu, Chuo kipo hapahapa mkoa wa Dar es Salaam haina haja ya kukitaja Ila wanazungusha alafu ukiwa mfuatiliaji sana wanachukia na wanakua wakali km pilipili ndio maana nikakuuliza transcript ni haki au ni ombi ?