Nashangaa hiko chuo kutompa mwanafunzi transcript yake, khaaahKuogopa kutaja Jina la chuo inaonesha wewe ndio mwenye tatizo au pengine ni vile vyuo vya uchochoroni chumba kimoja floor ya pili.
Ili cheti kikamilike lazima upewe na hiyo Transcript hata gvnts huwezi kuapply kazi bila hiyo Transcript .
Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
MIMI nilihitimu Chuo Y kipo mkoa wa Tanga, Lushoto hakukua na longolongo za hivi unapewa Cheti na transcript hapo hapo unasaini unaenda zako bila kuzungushana, sasa nimeshangaa hiki Chuo X mbona kina taratibu za ajabu kiasi hiki yaan transcript tu ndio kuzungushana na mwanafunzi namna hii kwanini ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nenda kwa mkuu wa wilaya husika inapigwa simu Moja tu itaprintiwa hata saa Tano usiku
mmh, kuprint haiizidi hata lisaa kwanini asisubiri? kuna shida mahaliMkuu matokeo yake yapo clean hakuna alipofeli na wamethibitisha hilo hivi unanielewa lakini ninachokwambia kua wamekagua kuhusu kuanzia matokeo na kila kitu km mwanafunzi anadaiwa na Chuo wamekuta mwanafunzi hana tatizo na wala Chuo hakimdai mwanafunzi, issue ni KUPRINT transcript na kumpatia tu hapo ndio kuna mvutano kuiprint hio transcript ndio danadana zinaanzia hapo
Boraa wee umefafanua vizuri hapaa.UKWELI MCHUNGU.
Kwa vyuo vingi vyenye LEVEL YA DPLM na vilivyo chini ya NACTE mwanafunzi anaposajiliwa taarifa zake huenda NACTE na matokeo yake hujazwa NACTE.
Kila mtihani wa kumaliza NTA LEVEL moja kwenda nyingine matokeo hutumwa NACTE na kujazwa katika MFUMO WA NACTE.
Ili baada ya kumaliza mwanafunzi matokeo huwa NACTE ili baadaye apewe AVN ( AWARD VERIFICATION NUMBER) namba hii ndiyo hutumika kuombea chuo kikuu kama unajiunga na ndiyo huwa utambulisho wa NACTE kuwa wewe ni mhitimu.
PICHA INAANZA HIVI.
Vyuo vingi huwa na janja janja kwa kusajiri wanafunzi nje ya muda hususani vya private, baada ya kumsajili mwanafunzi huendelea kusoma na matokeo yake anapata
LAKN ANAKUWA NACTE HAKUSAJILIWA NA TAARIFA ZAKE HAZITUMWI KULE, NA KUNA MUDA WANASHINDWA KUMUINGIZA NACTE COZ WALIMSAJILI KWA JANJA JANJA.
Cheti kinatolea na CHUO na si simple tu hakina mbambamba lakini TRANSCRIPT hii kitu haina ujanja lazima iwe na muunganiko na matokeo yake NACTE
Sasa chuo kama kilishindwa kumsajili NACTE na kilikuwa hakitumii matokeo yake HAPA JUWA UMEPIGWA.
Nimeandika kwa uzoefu na nimeona kwa macho.
Kukupa cheti siyo issue ila transcript hii haina uongo wala kufoji lazima ujisalimishe NACTE.
USHAURI.
Hakuna sababu yoyote ya kumnyima mtu transcript kama hakuna shida nyingine.
Vyuo vinajuwa watanzania wengi akifatilia kitu huwa anakata tamaaa.
MAMBO YA KUFANYA.
1. Kama uliyeandika ni mzazi NENDA CHUONI, onana na msajili kuwa mkali wakazie mwanzo mwisho.
2. Baada ya kutoka kwa msajiri nenda kwa Mtaaluma mkazie balaa.
3. Baada ya hapo nenda kwa mkuu wa chuo, PS akikukatalia komaa mpaka uingie.
4. Ukiona hujapata majibu NENDA NACTE
Ukienda nacte kama ni chuo kilicho chini ya mfumo wa NACTE huko ndiyo utaambiwa kwenye mfumo yupo au hayupo.
AU
CHUKUA NAMBA YAKE YA USAJILI UOMBE
AWARD VERIFICATION NUMBER,
Kama matokeo yake yapo NACTE itakwambia kama hayapo mfumo utakwambia pia.
Kuomba namba hiyo ya AVN ni rahisi ingia website ya NACTE utakuta utaratibu na unalipia kati ya elfu 3 au elfu 10.
FANYA HIVO UTAPATA JIBU SAHIHI.
Basi hiko wanafunzi wake wanalalamika kwelikweli mtaani hawapewi kila siku ni njoo ijumaa.Sio Chuo hicho mkuu, Wala sio hicho
Sasa si bora hio njoo IJUMAA Ina uafadhari, unaambiwa wewe nenda tutawasiliana huambiwi ni IJUMAA au JUMATATU we kasubiri tutaendelee kuwasiliana, ukienda tena Chuoni baada ya wiki ukiwaambia nmefuata transcript hawakukumbuki hata kidogo unaanza tena upya na moja kujielezea Mimi ni fulani fulani ilikua hivi na hivi nilikuja hivi na hivi ikawa hivi na hivi process zinaanza upya hawajafanya chochote issue ipo vile vile hakuna transcript iliyoprintiwa wanakwambia nenda tutawasiliana siku zinaenda tu, sasa hii ni haki ya mwanafunzi au inabidi mwanafunzi sasa aandike barua ya maombi ya kupatiwa transcript yake kwenda kwa mkuu wa Chuo husika au ?Basi hiko wanafunzi wake wanalalamika kwelikweli mtaani hawapewi kila siku ni njoo ijumaa.
Hiko chako kitaje hapa kama kweli unahitaji msaada
Sasa si bora hio njoo IJUMAA Ina uafadhari, unaambiwa wewe nenda tutawasiliana huambiwi ni IJUMAA au JUMATATU we kasubiri tutaendelee kuwasiliana, ukienda tena Chuoni baada ya wiki ukiwaambia nmefuata transcript hawakukumbuki hata kidogo unaanza tena upya na moja kujielezea Mimi ni fulani fulani ilikua hivi na hivi nilikuja hivi na hivi ikawa hivi na hivi process zinaanza upya hawajafanya chochote issue ipo vile vile hakuna transcript iliyoprintiwa wanakwambia nenda tutawasiliana siku zinaenda tu, sasa hii ni haki ya mwanafunzi au inabidi mwanafunzi sasa aandike barua ya maombi ya kupatiwa transcript yake kwenda kwa mkuu wa Chuo husika au ?
Uvumilivu una mwisho mkuu,HOngera sana kwa uvumilivu, endelea kukaa kimya ukivumilia huku siku zinaenda.
Ingelikua mimi mwezi mmoja tu naambiwa nenda rudi nahamia kwa mkuu wa chuo
Wiki 1
Wiki inayofuata ni barua na file nabeba hadi kwa ofisi kuu ya serikali inayohusika πππ
Hii nchi bila kusemeana kwa wakubwa hawa wa chini hawatimizi majukumu yao.
Yani kitu cha kuprint dk 1 nisumbuke mwaka??