mlinzi mlalafofofo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2008
- 725
- 1,282
Hivi tukiacha blaahblaah na porojo za kufarijiana kiimani, tukifa tunaenda wapi?
Eti wakuu?
Eti wakuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana huamini kwamba Allah aliandika Qur'an akaishusha kwa mtume Muhammad?Hivi tukiacha blaahblaah na porojo za kufarijiana kiimani, tukifa tunaenda wapi?
Eti wakuu?
Unakuwa kwenye utamu wa usingizi 360° "USINGIZI MZITO USIOISHA"✍️Hivi tukiacha blaahblaah na porojo za kufarijiana kiimani, tukifa tunaenda wapi?
Eti wakuu?
TunalalafofofooHivi tukiacha blaahblaah na porojo za kufarijiana kiimani, tukifa tunaenda wapi?
Eti wakuu?
Ndio tunakuwa umekufa. Simu ikiwa beyond repair, inageuzwa spare. Na sisi hiki huliwa na funza, like huliwa na mchwa na kingine huliwa na siafu. Sisimizi naa hawako nyumaHivi tukiacha blaahblaah na porojo za kufarijiana kiimani, tukifa tunaenda wapi?
Eti wakuu?
Yaani ufe halafu uende?Hivi tukiacha blaahblaah na porojo za kufarijiana kiimani, tukifa tunaenda wapi?
Eti wakuu?
Only dead people have seen the end, lakini too bad they cant speak anymoreHivi tukiacha blaahblaah na porojo za kufarijiana kiimani, tukifa tunaenda wapi?
Eti wakuu?
Itangulie kufa halafu tuone inampa sifa nani kwa kutangulia kufa.Mpaka tufe mkuu
Tutajua hukohuko...
CCM mbele kwa mbele
Kama ni hivyo habari za wafu zinatufikiaje?Only dead people have seen the end, lakini too bad they cant speak anymore
Kwani hujawahi kusikia kwa manabii na mitume wakileo juu habari za miujiza,waulize wanaweza kukupa jibuKaburini kifuatacho sijui kwa maana nami sijawahi kufa
🤣🤣🤣🤣Itangulie kufa halafu tuone inampa sifa nani kwa kutangulia kufa.