Hivi tukiacha ushabiki ni lazima Diamond aangushe wasanii wengine ili aendelee kutamba?

Hivi tukiacha ushabiki ni lazima Diamond aangushe wasanii wengine ili aendelee kutamba?

Brown Kwacha

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2017
Posts
299
Reaction score
405


nimechelewa kuskiliza hii interview ya Kondeboy kwa ambao ni outdated news samahanini.

Hatuhitaji vijana wenye roho kama ya huyu jamaa, no wonder why our music is not doing well internationally . I do understand that competition exists in the world of business but not the extent of sabotaging and pulling others.
 
To be honest wcb sijawah wakubali Wala kuwaelewa hata kwa cm yangu huwez kuta nyimbo zao.

Ni watu fulan wenye jealous balaa hawatak mwingine ainuke ,yule salama na dai ni binadam wenye roho za kukunja Sana hasa yule salama ndie anamfundisha dai roho ya uchawi na kweli saiz kawa mchawi kweli
 


nimechelewa kuskiliza hii interview ya Kondeboy kwa ambao ni outdated news samahanini.

Hatuhitaji vijana wenye roho kama ya huyu jamaa, no wonder why our music is not doing well internationally . I do understand that competition exists in the world of business but not the extent of sabotaging and pulling others.
Na roho yake mbaya lakini alifanya ajulikane aliyekataliwa nankufukuzwa bss

Tukawajua kina rayvany kina zuchu

Wakati kupitia mmakonde ibra tu kashindwa

Na kuna mtu mdogo wake tu kashindwa kumfanya awe msanii mkubwa wa kiushindani
Naongelea kiba na Abdu kiba


Mpeni heshima yake mond
 


nimechelewa kuskiliza hii interview ya Kondeboy kwa ambao ni outdated news samahanini.

Hatuhitaji vijana wenye roho kama ya huyu jamaa, no wonder why our music is not doing well internationally . I do understand that competition exists in the world of business but not the extent of sabotaging and pulling others.

Katika record labels zote za Tanzania au tuseme East Africa yote ni Artist gani anayewekeza kwa moyo wote kukuza vipaji na kuwapa exposure wasanii wake?
Huyo Mmakonde hawapi chance wala ku-push career za wasanii wake ili wafikie mafanikio badala anawatumia kama stepping stones, wakitoa nyimbo nanye anatoa hapohapo kama anashindana nao matokeo yake wamebaki kudumaa kimafanikio/kisanaa.
Kiba ndiyo kabisa worse, mdogo wake(Abdul Kiba) such a talented singer(tatizo mbele ya media kwenye kuzungumza/kujibu maswali ni mbumbumbu zero brain kama kaka yake) lakini inaonekana label inamfinya bora angekuwa independent artist.
WCB kwa sasa ni moja ya brands kubwa Africa kwa kukuza na kuendelea talents mpaka kuwafikisha wasanii kwenye international recognition, there are two sides of the coin. Hata mahakamani huwa wanasikiliza mlalamikaji na mlalamimiwa to balance the story.
 
Katika record labels zote za Tanzania au tuseme East Africa yote ni Artist gani anayewekeza kwa moyo wote kukuza vipaji na kuwapa exposure wasanii wake?
Huyo Mmakonde hawapi chance wala ku-push career za wasanii wake ili wafikie mafanikio badala anawatumia kama stepping stones, wakitoa nyimbo nanye anatoa hapohapo kama anashindana nao matokeo yake wamebaki kudumaa kimafanikio/kisanaa.
Kiba ndiyo kabisa worse, mdogo wake(Abdul Kiba) such a talented singer(tatizo mbele ya media kwenye kuzungumza/kujibu maswali ni mbumbumbu zero brain kama kaka yake) lakini inaonekana label inamfinya bora angekuwa independent artist.
WCB kwa sasa ni moja ya brands kubwa Africa kwa kukuza na kuendelea talents mpaka kuwafikisha wasanii kwenye international recognition, there are sides of the coin. Hata mahakamani huwa wanasikiliza mlalamikaji na mlalamimiwa to balance the story.
Mimi siyo shabiki wa bongo flavour ila huuu ndio ukweli watu wengi hawapendi kuusikia...

Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
 
Hizo habari tulishazisahau,anyway Ata Yuda , muda kama huu alikuwa kaisha pokea kitita kumsaliti yesu ,mkombozi wao, bila kosa
 
Kwa akili yako kama mtu mzima Diamond anawezaje mshusha msanii anaefanya kazi zake mbali na yy, na n kwann ameshindwa mshusha Alli kiba kama ameweza kwa hao wengine....? Hv unaamini wasanii wote walioshindwa kimziki wameshushwa na Diamond...?
 


nimechelewa kuskiliza hii interview ya Kondeboy kwa ambao ni outdated news samahanini.

Hatuhitaji vijana wenye roho kama ya huyu jamaa, no wonder why our music is not doing well internationally . I do understand that competition exists in the world of business but not the extent of sabotaging and pulling others.

Diamond mzee wa ndumba na ngaye
 
Katika record labels zote za Tanzania au tuseme East Africa yote ni Artist gani anayewekeza kwa moyo wote kukuza vipaji na kuwapa exposure wasanii wake?
Huyo Mmakonde hawapi chance wala ku-push career za wasanii wake ili wafikie mafanikio badala anawatumia kama stepping stones, wakitoa nyimbo nanye anatoa hapohapo kama anashindana nao matokeo yake wamebaki kudumaa kimafanikio/kisanaa.
Kiba ndiyo kabisa worse, mdogo wake(Abdul Kiba) such a talented singer(tatizo mbele ya media kwenye kuzungumza/kujibu maswali ni mbumbumbu zero brain kama kaka yake) lakini inaonekana label inamfinya bora angekuwa independent artist.
WCB kwa sasa ni moja ya brands kubwa Africa kwa kukuza na kuendelea talents mpaka kuwafikisha wasanii kwenye international recognition, there are two sides of the coin. Hata mahakamani huwa wanasikiliza mlalamikaji na mlalamimiwa to balance the story.
Abdul ana tofauti gani na Darlin?

Au kutokung'aa kwa Abdul tatizo ni Ally lakini kutokung'aa kwa Darlin tatizo ni Darlin[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Abdul ana tofauti gani na Darlin?

Au kutokung'aa kwa Abdul tatizo ni Ally lakini kutokung'aa kwa Darlin tatizo ni Darlin[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Winning rate ya Diamond ni 80%, winning rate ya Alikiba ni 55% , japo wote ni wachawi
 
Abdul ana tofauti gani na Darlin?

Au kutokung'aa kwa Abdul tatizo ni Ally lakini kutokung'aa kwa Darlin tatizo ni Darlin[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vipi na hao wengine akina K2ga (ana miaka zaidi ya miatu mwaka mwezi 10 anatimiza wanne) na Tommy Flavour (huyu ana miaka miwili),kwa nini hawang'ai.
 
Tegemea mapovu mazito kutoka huko madale
Jamaa pia eti kazila kuhusu tuzo za hapa eti haziamini alitaka abebe zote yeye ndo ujue alivyo na roho ya kukunja.

Asubiri Grammy kama atabeba.
 
To be honest wcb sijawah wakubali Wala kuwaelewa hata kwa cm yangu huwez kuta nyimbo zao.

Ni watu fulan wenye jealous balaa hawatak mwingine ainuke ,yule salama na dai ni binadam wenye roho za kukunja Sana hasa yule salama ndie anamfundisha dai roho ya uchawi na kweli saiz kawa mchawi kweli
We nani sasa .
 
Back
Top Bottom