Hivi tukio hili tunaweza kuliweka kundi la Uchawi? Niliyoyaona live siku ile

Hivi tukio hili tunaweza kuliweka kundi la Uchawi? Niliyoyaona live siku ile

Wakati nasoma kuna rafiki yangu alikua anafanya miujiza..yaani anameza ela afu anakwambia jisachi mfukoni mwako utaikuta...tulikua tunafurahi sana
 
Kuna sehemu uku machimbo mwisho kufanya kazi ni saa 10 ukizidisha muda...usiku utaanza kusikia sauti za sururu ni kama vitu mlivyofanya kunawatu usiku wa manane wanakua wanavirudia...na kifuatacho ni kupolola
 
😀😀😀😀

Mambo ya Imani hayathibitishwi Kwa matakwa ya mtu Fulani.

Hata Mungu huwezi jisemea kuwa atakayemthibitisha Mungu kuna Trillion moja hapa, hawezi kujitokeza.

Uwongo wowote unaweza kufichwa kwa kichaka hicho, kua jambo fulani la kweli ila haiwezekani kuthibitishwa hivyo so we kubali tu hivyo hivyo kama ulivyoambiwa

Lakini pamoja na wewe kusema mambo ya imani hayathibitishwi, ni imani ngapi ambazo hukubaliana nazo?

Au kila kitu kilichopo katika mhimili wa imani kwako ni acceptable?
 
Kuna jamaa yangu alikua ana dawa fulani alitoa tukuyu...yaani anaweza akamtuma mtoto dukani bila ela..mfano anamwambia nenda kwa yule mama mwambie kaka kanituma nyanya, mafuta na mazagazaga mengine na mtoto analeta

nakumbuka kuna siku tulikunywa pombe za 50000 afu hatuna hata mia...na akaunta akaishiwa kuliwa kimasihara..
 
Ina
Maana hata wachawi wenyewe hawakutokea???
Kutoka mwaka 1964-2015 ni miaka zaidi ya 50

Waliokua wanapambania hilo shindano wengi walikua wanakuja na madai ya kusema "mimi nilipaa jana usiku" Randi akawa anawaambia basi paa na hapa watu wakuone ujishindie jackpot, lakini hakuna aliyethubutu
 
Kuna jamaa yangu alikua ana dawa fulani alitoa tukuyu...yaani anaweza akamtuma mtoto dukani bila ela..mfano anamwambia nenda kwa yule mama mwambie kaka kanituma nyanya, mafuta na mazagazaga mengine na mtoto analeta

nakumbuka kuna siku tulikunywa pombe za 50000 afu hatuna hata mia...na akaunta akaishiwa kuliwa kimasihara..
[emoji23][emoji23] aisee

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Huko dsm kwa wachawi au, Hii ni Tungo tata isije ikawa ni fasihi simulizi iliyoambatana na masuala ya siasa , Ngoja niwasubiri watalamu wa visa Siri wake kublock hii code
Huwa unasoma kwa kuruka ruka ama?! Amesema yametokea Moro wewe unasema Dar!
Read careful and understand. One day you might miss very important part in a contract
 
Uwongo wowote unaweza kufichwa kwa kichaka hicho, kua jambo fulani la kweli ila haiwezekani kuthibitishwa hivyo so we kubali tu hivyo hivyo kama ulivyoambiwa

Lakini pamoja na wewe kusema mambo ya imani hayathibitishwi, ni imani ngapi ambazo hukubaliana nazo?

Au kila kitu kilichopo katika mhimili wa imani kwako ni acceptable?


Sio kila Imani ni Acceptable, Ila kuna Imani jumuishi Kama vile kusema Uchawi upo, hii ni Imani, kuiamini kunaitwa ushirikina,

Kujua Uchawi upo hakumfanyi mtu awe mshirikina, Kama vile kujua Mungu yupo hakukufanyi uwe Muumini wake

Zipo Imani ambazo ni Fiction tuu za watunga hadithi za kifasihi
 
Sio kila Imani ni Acceptable, Ila kuna Imani jumuishi Kama vile kusema Uchawi upo, hii ni Imani, kuiamini kunaitwa ushirikina,

Kujua Uchawi upo hakumfanyi mtu awe mshirikina, Kama vile kujua Mungu yupo hakukufanyi uwe Muumini wake

Zipo Imani ambazo ni Fiction tuu za watunga hadithi za kifasihi
Imani jumuishi zipo ila uhalisia wa hizo imani ndio haupo, mimi sipingi kwamba hakuna imani za kishirikina, napinga kua kinachodaiwa kua ni ushirikina kina relate na uhalisia

Kuna imani jumuishi kwamba albino anaweza kutumika kama njia ya mtu mwingine kujipatia pesa katika imani hizo hizo za kishirikina.

Kuna imani zipo kwamba wazee wenye macho mekundu ni wachawi

Hata hicho unachokiita uchawi kinaweza kuwa fiction on other hand, ila ubongo wako tu umekuwa tricked umeshindwa ku decode. Ni kama mlokole aliyesema kavamiwa usiku na wachawi baada kuona kitanda kinatikiska na kudai kua walikua wanatikisa wachawi kumbe lilikua ni tetemeko
 
Sawa mkuu
sasa anafanyaje mpaka inatokea ndani ya mfuko mwa mtu mwengine?
hizo ni tricks mzee, kuna namna nyingi inaweza kufanyika.

Kuna vitu vingi vinaweza kufanyika na unapaswa ujiulize kabla ya kusema huo ni uchawi

Kwenye hayo matamasha si hua mnalipia kiingilio?

Vipi kama ule muda ambao mnatoa pesa ya kulipia, yeye alikua anakazi ya ziada kuangalia nani mwenye pesa ya ziada ambayo anaifadhi mfukoni mwake ili atumie kama mwanya wakati wa show?

Chukulia kwamba huyo mtu anavyolipia pesa, alitoa kwenye mfuko ambao ulikua na kiasi kingine cha pesa akalipia na iliyobaki akairejesha mfukoni, halafu kwenye show bwana mazingaombwe akatumia hiyo opportunity

Au miongoni mwenu kuna mawakala wake ambao kazi yao ni kufanya ujanja kwa kumuwekea pesa mfukoni mmoja wenu kabla ya tamasha ili itumike baadaye kama mazingaombwe

Au huyo aliyekutwa na pesa mfukoni ni crew moja na huyo mwana mazingaombwe amekula dili

Unakubali kabisa kua mwanamazingaombwe anauwezo wa kuchukua 500,000 kimazingara kutoka sehemu moja kujahapo jukwaani kwenye tamasha at the same time anafanya hayo yote kwa kiingilio cha 500?
 
Scars jamaa alikua hafanyi tamasha...alikua mwanafunzi tena mgeni alihamia tu. kuhusu kua na crew hapana maana me mwenyewe mwanzo nilibisha mpaka alipofanya akaniambia jisachi na sio mara 1 kuna vitu vingi alikua anafanya ilifika kipindi mpaka walimu walitaka kumfukuza shuleni...kwahiyo hoja ya trick mkuu naona haingii akilini mtu anameza ela unasema trick
 
Back
Top Bottom