Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,271
OK, halaf akifikiri anasaidiwa au siyo. Nimekusoma jombaa!Jiulize mbona watu wanatekwa ,mbona watu wanapotea.
Je sponsor number moja ni nani,hivi hakuna njia nyingine hadi watu wapotee wapigwe risasi ?
Nmeongea kwa mifano uelewe.
Na kwako pia Mkuu kwa MAENDELEO ya kweli, wewe, yeye, yule na Mimi tukamchague JPM.Anatosha kwako
Wap mkuu unekula nao story?Ni wa binafis na wengi ni wachaga mm nimepiga nao story saaan blooo
Kelao banaSheria? Unafanya kazi kitengo gani Hapo ccm lumumba?
Kwa sasa hivi hamna mtu atamrushia Lissu jiwe abaki salama, siyo lisu tuu hata rungwe...unda chama chako upate hiyo privilege kwa miezi 2KAMA NI YEYE KWELI. SASA WAKATI WA MABOMU NA MAWE ANAKUWA WAPI? MAANA NAONA LISSU AKISIMAMA MBELE NA KUJITETEA PAMOJA NA KUWAHOJI POLISI PEKE YAKE, NANI ANAMLINDA MWENZAKE HAPO?
Haya bhana.Na kwako pia Mkuu kwa MAENDELEO ya kweli, wewe,yeye,yule na Mimi tukamchague JPM.
October 28th ni USHINDI wa kishindo kwa JPM.
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Wanaweza kuwa ni walinzi toka serikalini sioni tatizo kwa hilo.View attachment 1601611
Katika kipindi hiki cha kampeni za urais, nimekuwa nikimwona huyo jamaa aliyevaa ‘Kaunda suti’ ya buluu hapo kwenye picha, akiwa pembeni ya Tundu Lissu karibu kila sehemu.
Nikiangalia mavazi yake pamoja na hako ka peni alikokachomekea kwenye mfuko wake wa shati, naona ana fit profile ya wale walinzi kutoka serikalini ambao huwalinda viongozi wa nchi.
Najua kwa nchi kama Marekani, wagombea urais wa vyama vikuu [Republican na Democrats na pengine hata wale wa kujitegemea kama Ross Perot] hupatiwa ulinzi wa Secret Service.
Sasa kwa Tanzania sijui. Kama kuna anayejua, itapendeza akitujuza wale ambao hatujui.
Manake kila nikimwangalia huyo jamaa naona kama vile anatoka kwenye hicho kitengo cha walinzi wa viongozi.
Kama anatokea huko, ni jambo ambalo ni la mwaka huu tu hususan kwa Tundu Lissu au ni ndivyo ilivyo miaka yote ya uchaguzi?
Ili ukuu wake uonekane. Ili watu kama wewe mjue kuwa Yeye ndio mwenye uwezo wa kuokoa. Zaburi 68:20 "Mungu kwetu sisi ni Mungu wa kuokoa na njia za kutoka mautini zina YEHOVA Bwana"Kwanini huyo Mungu hakuzizuia hizo risasi 16 kuliko kumwacha atandikwe nazo?