CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Hilo boflo linajiuza humu kuwasifia wenye nazo ili wamrushie chochoteKujua kazi za watu nako pia ni uchawi. Mbona wewe 24 hrs upo hapa
Anatafuta kauteuziHilo boflo linajiuza humu kuwasifia wenye nazo ili wamrushie chochote
Anaendekeza njaa sana anaparamia paramia kila mtu. Njaa mbaya sana.Anatafuta kauteuzi
Mwamlshambwa kama mwashamwaAnaendekeza njaa sana anaparamia paramia kila mtu. Njaa mbaya sana.
Nikulize wewe MCHEPUKO wake MKE MDOGO, ambaye unasema anazurula maana unajua undani wake! Tupe jibu π π π€£π€£π€£π΄π΄π΄Embu jibu swali hilo mara moja na kwa ufupi.lissu anafanya shughuli gani ya kumuingizia kipato cha kila siku zaidi ya uzururaji?
Hamna kuropoka nkama wewe sio BWABWA, PUNGA kanusha?Naona majibu umekosa umeamua kuanza kuropoka ropoka kama kichaa au mwendawazimu.hapa nataka majibu tu na wala siyo ngonjera . haiwezekani mtu wenu anafanya kazi ya kuzurura tu muda wote bila kazi.
Chakula cha watu hichoHamna kuropoka nkama wewe sio BWABWA, PUNGA kanusha?
ndio umejibu swali langu?Hamna kuropoka nkama wewe sio BWABWA, PUNGA kanusha?
Mimi ni CCM Daima . CCM na mimi ni kitu kimoja na huwezi nitenganisha na CCMUshahama chama?
Naona umepaniki sana baada ya kukosa majibu ya swali langu.Hilo boflo linajiuza humu kuwasifia wenye nazo ili wamrushie chochote
Wewe nyau huko CCM anakujua nani? Unajichekesha kwa wanaume ili urushiwe hela ya vocha,kapuku mmoja weweMimi ni CCM Daima . CCM na mimi ni kitu kimoja na huwezi nitenganisha na CCM
Hujawahi kuwa na swali huu umbea wako washirikishe mabwabwa wenzako,kutwa kucha kusema mambo ya wanaume wenzako utaolewaNaona umepaniki sana baada ya kukosa majibu ya swali langu.
Jibu swali na siyo kuleta ngonjera zako hapa.Hujawahi kuwa na swali huu umbea wako washirikishe mabwabwa wenzako,kutwa kucha kusema mambo ya wanaume wenzako utaolewa
Kwani Watanzania wengine wanafanya kazi Gani?Ndugu zangu Watanzania,
Sitaki Mimatusi wala mikelele wala mimaneno mingi wala blaa blaa wala porojo wala Mihemuko wala ukurupukaji katika andiko hili ambalo lipo wazi kabisa .
Nauliza hivi Tundu lissu kwa sasa anafanya kazi gani ya kumpatia kipato .inayoweza kumfanya akisaidie hata chama kama ambavyo amekuwa akifanya Mheshimiwa Mbowe Mwamba na Jabali la siasa za upinzani hapa Nchini?
Maana kukaa bila shughuli ya kumuingiza kipato ni rahisi sana hata kununuliwa na mabeberu kwa mambo yaliyo kinyume na sheria za Nchi yetu.
Soma Pia: Itakuwa ni uwendawazimu mkubwa kwa CHADEMA kumpa Lissu uenyekiti na kumuacha mwamba Mbowe
Swali lipo wazi na wala haihitaji maelezo marefu wala matusi.Kwa hiyo ningependa Wafuasi wa lissu mjibu swali hilo.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa piK
Anatatua mambo yahusuyo sheria.Ndugu zangu Watanzania,
Sitaki Mimatusi wala mikelele wala mimaneno mingi wala blaa blaa wala porojo wala Mihemuko wala ukurupukaji katika andiko hili ambalo lipo wazi kabisa .
Nauliza hivi Tundu lissu kwa sasa anafanya kazi gani ya kumpatia kipato .inayoweza kumfanya akisaidie hata chama kama ambavyo amekuwa akifanya Mheshimiwa Mbowe Mwamba na Jabali la siasa za upinzani hapa Nchini?
Maana kukaa bila shughuli ya kumuingiza kipato ni rahisi sana hata kununuliwa na mabeberu kwa mambo yaliyo kinyume na sheria za Nchi yetu.
Soma Pia: Itakuwa ni uwendawazimu mkubwa kwa CHADEMA kumpa Lissu uenyekiti na kumuacha mwamba Mbowe
Swali lipo wazi na wala haihitaji maelezo marefu wala matusi.Kwa hiyo ningependa Wafuasi wa lissu mjibu swali hilo.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mimi ni mkulima na kilimo ndio shughuli yangu.K
Kwani Watanzania wengine wanafanya kazi Gani?
Wewe unafanya kazi Gani?
Ana danga Kwa Amsterdam ππNdugu zangu Watanzania,
Sitaki Mimatusi wala mikelele wala mimaneno mingi wala blaa blaa wala porojo wala Mihemuko wala ukurupukaji katika andiko hili ambalo lipo wazi kabisa .
Nauliza hivi Tundu lissu kwa sasa anafanya kazi gani ya kumpatia kipato .inayoweza kumfanya akisaidie hata chama kama ambavyo amekuwa akifanya Mheshimiwa Mbowe Mwamba na Jabali la siasa za upinzani hapa Nchini?
Maana kukaa bila shughuli ya kumuingiza kipato ni rahisi sana hata kununuliwa na mabeberu kwa mambo yaliyo kinyume na sheria za Nchi yetu.
Soma Pia: Itakuwa ni uwendawazimu mkubwa kwa CHADEMA kumpa Lissu uenyekiti na kumuacha mwamba Mbowe
Swali lipo wazi na wala haihitaji maelezo marefu wala matusi.Kwa hiyo ningependa Wafuasi wa lissu mjibu swali hilo.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ondoo porojo Taja kazi yake ππIpo hivi Tundu Lissu ana akili kubwa kuliko mbowe na sio lazima uwe sijui na hotel,sijui kulima ndio upate pesa...tundu Lissu anauwezo wa kutumia akili yake ya kisomi kupate pesa kwenye taasisi mbali Duniani ya kuendeshea hiyo Saccos ya mbowe.Me msomi naelewa..msomi ukishampa platform kama hiyo we achana naye..utanaona kila kitu kinaenda sawa.