jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Hahahaaa. Kumbe? Wewe akili zako sawa za AI
Njoo kawe ukanyage mafuta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa. Kumbe? Wewe akili zako sawa za AI
📌🔨Hakuna uadui...... US na Saudia ni marafiki kuliko Iraq na Saudia
Too old
Ntakuwa mara ngapi
I was there in 80s
Kule Mombasa, Tanga, visiwani na Pwani mmeshaua wangapi?Kwani kuna nchi ya kiislam inasupoort ushoga? Nchi zote zinazounga ushoga ni za kikiristo. Shoga ktk sheria za kiislam ni kuuliwa ktk sheria za kikiristo kama America kupewa useneta. Sasa nani anapalilia ushoga. Nitumia akili japo usikurupe utaumbuka mshikaji
uislam unapinga vitu ambavyo vimekazwa na muumba wa mbingu na ardhi kama uzinifu kamari ulevi ushoga na mengineyo ambayo muumba amevikataza ila nyie wakiristo imefikia mahali munabariki mpaka ushoga siwashangai maana kwenu kiingiacho ni halali kitokacho ni haramuUislam ni janga la Dunia kama majanga mengine mfano tetemeko, ukimwi , COVID 20 etc
Kumbe upoNjoo kawe ukanyage mafuta.
Serekali huko inasupport ushoga? Vatican hata mapadri mahoga wanatawadhwa kukuongoza. Sasa nani anaunga mkono ushoga?Kule Mombasa, Tanga, visiwani na Pwani mmeshaua wangapi?
Hata msiwaangushie mzigo waarabu pekee.Uislamu ni dini safi.
Ila waarabu wanaharibu dini ya uislam ndo mana USA hataki uislam wa uarabuni ila turkey na nchi zingine hauna shida kwao
Shida ni waislam au waraabu? Maana naona migogoro ni kwa waarabu zaidi na sio kwa jamii zingine za kiislamu Kama Malaysia na uzebekstan?USA hata wewe kama hukubaliani nao basi ni adui wao.
Washasema wazi "You're either with us or you are against us".
Kwani Mugabe alikuwa Muislam?
Kwani Putin Muislam?
KKwani kiduku Muislam?
Kwani Jinping Muislam?
Waislam hawakubali kumsujudia ndiyo maana hapatani nao wote.
Super power kivipi?Kifupi uislam unakinzana na ubepari kimaslahi mfano Riba na mengineyo.
Pili Uislam ulishakuwa super power kitambo hicho so ni sleeping giant ambalo linaweza kuamka na kutake over.
Sijui kama unaijua Ottoman empire.Sup
Super power kivipi?
Ni maslahi gani uislamu unainyima usA usingizi?
Je usA anauadui na Waarabu au hata waislamu wa kwa mtogole Biden hawataki?
Shida ni waislam au waraabu? Maana naona migogoro ni kwa waarabu zaidi na sio kwa jamii zingine za kiislamu Kama Malaysia na uzebekstan?
Population kukua Hilo ni soko na alitakiwa alitreaty vizuri ...Sijui kama unaijua Ottoman empire.
Takwimu zinaonyesha kiwango Cha idadi ya watu huko ULaya na marekani kinapungua sababu zinajulikana na ongozeko la watu ni kubwa ktk nchi na kiislamu na Africa.
Pia Kuna prediction ya kuwa na idadi kubwa ya watu hapo baadae itakuwa ni watu weusi na wanjano.
Miaka ijayo viza za marekani na ULaya zitakuwa free
Tukubaliane kuwa hakuna anaeonewa kwa rangi yake Wala kwa dini yake Ila ni maslahi yao binafsi yasio tuhusu hukuKwani Mugabe alikuwa Muislam?
Kwani Putin Muislam?
KKwani Kim kiduku Muislam?
Kwani Jinping Muislam?
Waislam hawakubali kumsujudia ndiyo maana hapatani nao wote.
Tatizo ni ubeberu wa US na magharibi hapo mashariki ya Kati.Vita zinazotokea Mashariki ya Kati huwa inaelezwa chanzo ni USA, sababu ni chuki dhidi ya Uisilamu.
Kwanini uisilamu? Kwanini isiwe Waarabu bali ihesabike ni Uislamu? Mbona kuna nchi za kiislamu hazina migogoro mfano; Indonesia, Malasyia na hata Turkey?
Kwanini USA ichukie Uislamu na sio dini zingine kama budha na Hindu?
Kwanini migogoro ya Kiarabu inapewa Sura za Dini?
Tujadilini hoja tu.
Kwa mujibu wa Jk nyerere ni kuwa "Ukosefu wa elimu huleta uoga,na uoga huleta unafiki na unafiki huleta kujipendekeza na kujipendekeza huleta kutawaliwa na kutawaliwa huleta ubeberu" so middle East ni waoga kwa USA?Tatizo ni ubeberu wa US na magharibi hapo madhariki ya Kati.
Hayo ya dini yanasemwa tu ila hakuna uthibitisho wa hilo.
Watawala wa nchi za Ghuba wamejisalimisha kwa USA ili wapatiwe ulinzi, waendelee kutawala wapendavyo.Kwa mujibu wa Jk nyerere ni kuwa "Ukosefu wa elimu huleta uoga,na uoga huleta unafiki na unafiki huleta kujipendekeza na kujipendekeza huleta kutawaliwa na kutawaliwa huleta ubeberu" so middle East ni waoga kwa USA?
Wakati Yesu anazaliwa Palestina haikuwa Uarabuni na haikuitwa Palestina bali Philistia...Adam kazaliwa mashariki ya Kati
Yesu kazaliwa Palestina uarabuni
Mtume wetu kazaliwa Makka
Hakuna mtume aliezaliwa Vatican. Kama unae mlete hapa. Hujui kitu unashabikia kama unashabikia ngoma
Sasa wakizaliwa pale ndo nini!Au ndo Yale mambo yenu ya kusilimisha waliokufa?Wakati manabii hao uliowataja uislam haikwepo.Manabii walikuwa wanaotunza amri za MUNGU.Na amri za MUNGU hazibadiliki.Ukisikia mtu anakuambia kila nabii alipewa amri zake jua ni nabii wa uongo.Manabii wote walikuja kuwasisitiza watu watunze amri zile zile alizopewa Musa.Sasa Ili tuamini maneno ya nabii wenu kuwa Musa,Yesu,walikuwa na uislamu ule ule aliokuja nao nabii wenu basi inabidi mzitunze amri zile zile zilizotunzwa na kina Musa Yesu,n.k.Adam kazaliwa mashariki ya Kati
Yesu kazaliwa Palestina uarabuni
Mtume wetu kazaliwa Makka
Hakuna mtume aliezaliwa Vatican. Kama unae mlete hapa. Hujui kitu unashabikia kama unashabikia ngoma