Hivi uadui wa uisilamu na USA upo kweli? Ulitokana na nini?

Hujui kitu. Muulize Yesu ambae kwetu tuna mwita Issa anaijua Vatican?
 
Hujui kitu. Muulize Yesu ambae kwetu tuna mwita Issa anaijua Vatican?
Vatican ndiyo nini sasa mbona sikuelewi!Kwa nini avatcan na isiwe Washington,Paris,London,Dodoma,Moscow,n.k?Kwan Vatican Ina nini kwako!
 
Vatican ndiyo nini sasa mbona sikuelewi!Kwa nini avatcan na isiwe Washington,Paris,London,Dodoma,Moscow,n.k?Kwan Vatican Ina nini kwako!
Hujui Vatican makao makuu ya Cristian duniani? Wewe kweli kiazi
 
Vatican sio makao makuu ya ukristo duniani,Vatican ni makao makuu ya kanisa la kirumi.Uelewe.
Nakwambia hujui kitu. Vatican ndio anapokaa papa ambae ni mkuu wa wakiristo wote duniani
 
Nakwambia hujui kitu. Vatican ndio anapokaa papa ambae ni mkuu wa wakiristo wote duniani
Na mimi nakufumbua akili.Vatcan ni makao makuu ya kanisa la kirumi na dini zote za kishenzi(kipagani) zinazoenda kinyume na MUNGU.Usichokijua hadi viongozi wako wakubwa duniani wanaitii Vatican,na wana-obey hapo Vatican.Kasoro watunza amri za MUNGU (torati).Kwa taarifa yako hata huo uislam ulianzishwa na Vatican.Bi Khadija alilelewa na Rumi,naye akaja kumlea nabii wenu hadi kuolewa naye.
 
Hapo ni principal za kiislamu au Arabic cultural zinapingana na Europe?
Vipi kuhusu nchi Kama UAE na Qatar zenye uhusiano mzuri na USA??
Hii issue haijakaa kibiashara zaidi?
 
waislam ni watu wa kulalamika popote walipo wanaonewa.uislam kazi yake ni kuuzungumzia ukristo wakati ukristo hauna habari nae.Bila ukristo uislam haupo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…