Hivi ubikira wa mwanamke una utamu gani? Maana naona watu wanaahidiwa hata peponi

Hivi ubikira wa mwanamke una utamu gani? Maana naona watu wanaahidiwa hata peponi

yaani kuna neno umelisema mwandishi wa mada dini kuegemea uzinzi nadhani kuna walakini au waanzilishi hawakuwaza hilo walitaka wafuasi wengi kwa kujua binadamu ameumbwa kupenda ngono...
 
Mkuu bikra ni siku Moja TU unasumbuka kuchomeka baada ya hapo unaanza kula kitu mnato na kina bana.Unadhani wangeahidiwa tu wanawake waende wakutane na ma bwawa ingekuwaje?

Sasa kwenye dini inasema huo ubikira utakua unawarudia hao viumbe, unaanza huo usumbufu upya.
Kwa wanawake sijui wameahidiwa nini akina FaizaFoxy japo hung'ang'ania dini sana.
 
Hakuna raha yoyote sema ni ile sifa ya kujiona special sana kwenye maisha ya mwanamke kwa kua mwanaume wake wa kwanza ku penetrate mwili wake.

Mimi binafsi mwanamke bikra simtaki kwa sababu kwa siku za mwanzo hua ni usumbufu na mateso makali sana. Wako very very defensive, yaani bikra sitaki kabisa.
Wewe ni Mzee wa used
 
Mm hii ya bikra hainishtui sana bn mi nipewe mdada flan hv mweupe tako kiasi.......bikra awe nayo asiwe nayo Sio shida sana Mimi focus yangu ni hii mito ya pombe aisee ntakua nashindia mtoni mda mwingi
 
Soma tena mada yangu unielewe, kumla bikra kunakupa raha kwamba wewe ndiye wa kwanza, hata hivyo huwa usumbufu sana tena maumivu hata kwa mwanaume, sasa wale wa kule sijui watakua majini au viumbe gani hivyo ukiwatoa ubikiwa inakubidi uanze upya.
Bro, mwanamke ukimtoa bikra na ukaendelea kumla katika usichana wake. Maumivu siku moja tu baada ya hapo ni kitu mnato.
 
Wewe ni Mzee wa used
Kabisa. Acha kwanza vijana watengeneze njia, mimi nataka njia iliyotengenezwa.

Last time nimekutana na bikra ni mwaka jana January. Ilikua ni vita ndani ya nyumba, alikua binti wa 2004 aliniambia kabla hakajawahi kufanya nikafikiri utani. Nilipata shida sana.

Bikra sitaki tena
 
Tendo la ndoa ni starehe. Ni burudani kama burudani zingine. Na kwa wengine linawapa addiction kabisa.

Neno bikra, kilugha ya Kiarabu lina maana zaidi ya moja. Bikra sio tu asiyeingiliwa. Bikra kilugha lina maana pia ambaye hajazaa, kigori, ni kasichana ama mwanamwari. Neno bikra kwa waarabu hutumika hata kwa wanyama. Mnyama ambaye bado hazaa pia huitwa bikra.......(sio kupandwa, elewa kuzaa).

Turudi kwenye mada, kwa wanaume, kupata mwanamke ambaye hajaguswa na wenzio ni zawadi. We unajisikiaje kama mkeo ndio umemuanza wewe mwenyewe? Pengine huna feeling kwa sababu hujawahi kumtoa msichana bikra yake. Inawezekana mimi na wewe kwetu bikra sio ishu, kwa mwingine bikra ni ishu kubwa na ana ithamini sana. Sasa sioni ubaya mtu kuambiwa atapata anachokitaka.

Mimi nimeelezea tu maana ya bikra na mafungamano yake na wanaume.

Mambo mengine hayanihusu.
Hivi hao mabikra 70 watatoka dunia hii hii tuliyomo au watakuwa imported kutoka sayari nyingine?
 
Kama hao mabikra watatokana na sisi wakazi wa dunia hii maana yake ni kwamba wanaume watakaoingia mbinguni watakuwa ni wachache zaidi kuliko wanawake na uwiano wao utakuwa ni zaidi ya 1:70. Hii ni kwa sababu bado kutakuwa na idadi kubwa sana ya wanawake ambao wataingia mbinguni huku tayari walishapoteza bikra zao. Na kwa kuwa ipo wazi kwamba ukiondoa watoto wadogo wanawake watu wazima wasio mabikra ndiyo wengi zaidi duniani sijui wenyewe watakuwa wanashughulikiwa na nani maana wanaume tayari wana mabikra wao 70.
 
Mungu ndo aliyeumba utamu natural yani starehe ambayo kwa macho yakawaida haimake sense ila ndo ina run dunia watu wanauana, watu wanarogana kwasababu yakuingiza mbooo kwenye tobo
Mimi sio muumini wa bikra ila nilishawah ona moyo wangu ukitaka kupenda na kujihisi nna umiliki flani kwa baadhi ya wanawake niliowatoa bikra, yani demu ukimtoa bikra alafu awe mzuri automatical tu unajikuta unaanza kukapenda usipojizuia unajikuta umekapenda umeingia kwenye mtego
Demu ukimtoa bikra na demu ukimkuta bwawa feelings zinakuwaka tofauti unaweza ukahonga iphone 15[emoji16]
 
ubikra hauna faida yeyote mkuu, hizi dini zimeanzishwa zamani kipindi hicho mwanamke bikra anaonekana 'msafi'

hata wakristo, wanaambiwa mbinguni kutakua na barabara za dhahabu, sasa kama kuna dhahabu kila mahali thamani yake iko wapi?

matamanio ya juu kabisa ya binadamu yalikua yanawekwa kwenye dini

kungekua kuna dini iliyoanza saivi ungeskia mbinguni kuna intaneti ya kasi isiyoisha
 
Back
Top Bottom