DuhMaana nimezoea kila mida ya usiku kuwasha udi moja na kuvutia ganja geto sasa usije ikawa wapuuzi jirani wanasikia mjani.
Wabangi bangi tupeanze semina juu ya hili kama inazuia kweli ama hizuii maana kuna limama la jirani mlango wa tatu toka chumba changu kila tukionana asubuhi linaniangalia kwa makini kweli kama vile kuna kitu linataka kubaini toka kwangu, sasa hajiu kuwa mimi ni Putin.
Ni mixer ya udi na bange.udi upi unauchoma?? wa kijiti ule au wakufusha?? usiku huo wa saa ngapi unauchoma??
hiyo atawaconfuse hata mashetani wenyewe sio hao majirani peke yakeNi mixer ya udi na bange.
😂😂😂😂😅hiyo atawaconfuse hata mashetani wenyewe sio hao majirani peke yake
Hii yenyewe ndo dawayangu hii... nikiikosa napaka asali tu bishara kwishaView attachment 2130284Weka kidogo kwenye ndwee
Kodi yake mwenyewe hataki kuoangiwa.Si ukavutie mbali na hapo. Ustaarabu ziro
KumbeeSkiaa, ukisharoll up hiyo kangonya unaipaka asali yote kisha washa hata jirani hasikii sana sana atasikia kama harufu ya asali asali hivii
Kuna umri ukifika uache ganja.Laa sivyo utaanza vituko kwenye matendo,maneno hadi maandishi.Niamini mimi.Maana nimezoea kila mida ya usiku kuwasha udi moja na kuvutia ganja geto sasa usije ikawa wapuuzi jirani wanasikia mjani.
Wabangi bangi tupeanze semina juu ya hili kama inazuia kweli ama hizuii maana kuna limama la jirani mlango wa tatu toka chumba changu kila tukionana asubuhi linaniangalia kwa makini kweli kama vile kuna kitu linataka kubaini toka kwangu, sasa hajiu kuwa mimi ni Putin.