Hivi udi unafukuza kweli harufu ya bangi kama unavutia geto?

Hivi udi unafukuza kweli harufu ya bangi kama unavutia geto?

bafetimbi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2018
Posts
1,085
Reaction score
1,741
Maana nimezoea kila mida ya usiku kuwasha udi moja na kuvutia ganja geto sasa isije ikawa wapuuzi jirani wanasikia mjani.

Wabangi bangi tupeane semina juu ya hili kama inazuia kweli ama hizuii maana kuna limama la jirani mlango wa tatu toka chumba changu kila tukionana asubuhi linaniangalia kwa makini kweli kama vile kuna kitu linataka kubaini toka kwangu, sasa hajiu kuwa mimi ni Putin.
 
Maana nimezoea kila mida ya usiku kuwasha udi moja na kuvutia ganja geto sasa usije ikawa wapuuzi jirani wanasikia mjani.

Wabangi bangi tupeanze semina juu ya hili kama inazuia kweli ama hizuii maana kuna limama la jirani mlango wa tatu toka chumba changu kila tukionana asubuhi linaniangalia kwa makini kweli kama vile kuna kitu linataka kubaini toka kwangu, sasa hajiu kuwa mimi ni Putin.
Duh
 
4DD4DA2B-2ED1-4442-829A-40B4EF0B593E.jpeg
Weka kidogo kwenye ndwee
 
Maana nimezoea kila mida ya usiku kuwasha udi moja na kuvutia ganja geto sasa usije ikawa wapuuzi jirani wanasikia mjani.

Wabangi bangi tupeanze semina juu ya hili kama inazuia kweli ama hizuii maana kuna limama la jirani mlango wa tatu toka chumba changu kila tukionana asubuhi linaniangalia kwa makini kweli kama vile kuna kitu linataka kubaini toka kwangu, sasa hajiu kuwa mimi ni Putin.
Kuna umri ukifika uache ganja.Laa sivyo utaanza vituko kwenye matendo,maneno hadi maandishi.Niamini mimi.
 
Back
Top Bottom