Hivi uharamu wa Gongo, Bangi na kitimoto ni nini?

Hivi uharamu wa Gongo, Bangi na kitimoto ni nini?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Tangu nakua mpaka sasa nishazeeka nasikia kuwa Gongo, Bangi na Kitimoto ni haramu. Hivi uharamu wake upo kwenye nini hasa?

GONGO
Uharamu wa Gongo upo kwenye vikorombwezo vinavyotumika kuitengenezea? Kwenye vyombo vinavyotumika kutengenezea ama kunywea? Upo kwenye sehemu inaponywewa au kwa wauzaji wake? Au Uharamu wake upo kwa wanywaji wenyewe?

BANGI
Uharamu wa Bangi ni kwa jinsi inavyolimwa, inavyovunwa, inavyovutwa, maeneo itokako, wavutaji wake au jina lenyewe ndiyo haramu?

KITIMOTO
Huyu mnyama uharamu wake ni kutokana na ngozi yake ilivyoshikana na nyama yake, rangi yake, sauti yake, pua yake, kujaa kwake mafuta, ama tabia yake ya kupenda kujigalagaza kwenye matope?

Hebu tujadiliane jamani!!
 
Ngurue kwa wakristo anakatazwa tusile kwa sababu haja meet criteria za kuwa na kwato na kucheua, mcheuo ni kiungo muhimu sana😅. Kuna wengine kama ngamia na sungura hawna izo sifa! Mungu alimwambia Musa atuambie tule wanyama wenye kwato na wanaocheua kasome Mambo ya walawi 11:27 japokua sisi tunakula sijajua kwa upande wa hawa ndugu zetu wa vibandiko au wanapenda mcheuo sana😂.

Kuhusu bangi, gongo, sigara, ugoro na vyote vyenye madhara kwa maisha na afya ya binadamu: sababu ni dhambi. Kwenye theologia ya kikatoloki kuna dhambi inaitwa "sin of desperatio" dhambi ya kukataa huruma ya Mungu aliekupa uhai, kwa kutumia hivo unahatarisha uhai wako ambayo ndio huruma ya mungu.
 
Ngurue kwa wakristo anakatazwa tusile kwa sababu haja meet criteria za kuwa na kwato na kucheua, mcheuo ni kiungo muhimu sana[emoji28]. Kuna wengine kama ngamia na sungura hawna izo sifa! Mungu alimwambia Musa atuambie tule wanyama wenye kwato na wanaocheua kasome Mambo ya walawi 11:27 japokua sisi tunakula sijajua kwa upande wa hawa ndugu zetu wa vibandiko au wanapenda mcheuo sana[emoji23].

Kuhusu bangi, gongo, sigara, ugoro na vyote vyenye madhara kwa maisha na afya ya binadamu: sababu ni dhambi. Kwenye theologia ya kikatoloki kuna dhambi inaitwa "sin of desperatio" dhambi ya kukataa huruma ya Mungu aliekupa uhai, kwa kutumia hivo unahatarisha uhai wako ambayo ndio huruma ya mungu.
Wakristo wapi wamekatazwa kula nguruwe?
 
1.Bangi
umefika wakati wa kuipitia upya sheria ya dawa za kulevya, kuharamisha bangi kulifanyika kimakosa, labda kutokana na ukosefu wa elimu au taarifa zisizo sahihi.
2.Gongo
Kuhusu gongo nafikiri iliharamishwa kimakosa pia, tafiti zingefanyika na kuboresha hiki kinywa huenda ingetoa mchango mkubwa sana kwa ukuaji wa uchumi.
3.Kitimoto
Bila kuharamisha anaweza kusababisha vita ya 3 ya dunia kwa utamu wake. Maana wangetoweka kabisa duniani
 
Kitimoto makatazo yake nadhani yamekaa ki-IMANI zaidi..

Ila Kitaalamu haina shida,,, Serikali yawatoa hofu walaji wa kitimoto.

Ukiachana na porojo hizo..,,,Nyama yake ni tamu saaaaana,,, Nadhani Walaji mtaungana na mimi...
kit.jpeg
 
Tangu nakua mpaka sasa nishazeeka nasikia kuwa Gongo, Bangi na Kitimoto ni haramu. Hivi uharamu wake upo kwenye nini hasa?

GONGO
Uharamu wa Gongo upo kwenye vikorombwezo vinavyotumika kuitengenezea? Kwenye vyombo vinavyotumika kutengenezea ama kunywea? Upo kwenye sehemu inaponywewa au kwa wauzaji wake? Au Uharamu wake upo kwa wanywaji wenyewe?

BANGI
Uharamu wa Bangi ni kwa jinsi inavyolimwa, inavyovunwa, inavyovutwa, maeneo itokako, wavutaji wake au jina lenyewe ndiyo haramu?

KITIMOTO
Huyu mnyama uharamu wake ni kutokana na ngozi yake ilivyoshikana na nyama yake, rangi yake, sauti yake, pua yake, kujaa kwake mafuta, ama tabia yake ya kupenda kujigalagaza kwenye matope?

Hebu tujadiliane jamani!!
Ladha
Mapingamizi ya kiimani
Mapingamizi ya kimamlaka
 
Ngurue kwa wakristo anakatazwa tusile kwa sababu haja meet criteria za kuwa na kwato na kucheua, mcheuo ni kiungo muhimu sana[emoji28]. Kuna wengine kama ngamia na sungura hawna izo sifa! Mungu alimwambia Musa atuambie tule wanyama wenye kwato na wanaocheua kasome Mambo ya walawi 11:27 japokua sisi tunakula sijajua kwa upande wa hawa ndugu zetu wa vibandiko au wanapenda mcheuo sana[emoji23].

Kuhusu bangi, gongo, sigara, ugoro na vyote vyenye madhara kwa maisha na afya ya binadamu: sababu ni dhambi. Kwenye theologia ya kikatoloki kuna dhambi inaitwa "sin of desperatio" dhambi ya kukataa huruma ya Mungu aliekupa uhai, kwa kutumia hivo unahatarisha uhai wako ambayo ndio huruma ya mungu.
Hii siyo wakristo, sema wasabato
 
Kitimoto kitamu sana,minaona serikali.wasiruhusu maana kitakuwa hadimu sana,
Bangi wazungu walitutengenezea dhana mbaya, kumbe wao wenyewe wanajua siri ya mmea wa ajabu sana,bangi inatakiwa binadamu wavute hii imekaa kispritual, ule mmea unaenda kichwa chako,kama kikiwa bovu basi nawe itakufanya vibaya,bangi hiararishwe tu maana huu mmea unanifanya nakuwa mtu wa tofauti sana
 
Back
Top Bottom