Hivi uharamu wa Gongo, Bangi na kitimoto ni nini?

Hivi uharamu wa Gongo, Bangi na kitimoto ni nini?

Do Pigs Have Periods and Bleed?​

by Mark Earle | Pig Facts

It’s important to understand a pig’s reproductive cycle and find out whether they have periods too if you want to prepare yourself for possible bloody surprises.

Do Pigs Have Periods and Bleed?Pigs do not have menstrual cycles, but they go through estrus cycles, which is quite similar to menstruation. This is more commonly referred to as a period when a female pig is “in heat”. This happens for 3 to 5 days every 21 days and can start as early as the pig’s 12th week.

How is an estrous cycle different from a menstrual cycle?
For one, those that have menstrual cycles (like humans) can be sexually active anytime. Those with estrous cycles, however, will only be sexually active during the estrus cycle.

Also, during a menstrual cycle, the endometrium (or that mucous membrane that lines up the uterus) is shed. This turns into the blood discharged by the female during the cycle.

But for pigs, their endometrium is reabsorbed by their system if the pig does not become pregnant while they are in heat.

Accumen Mo
 
Nyie jamaa huwa mnajitekenya ma kisha mnacheka wenyewe.....
Nna babu yangu amefariki mwaka 2019 akiwa na miaka 115 (iringa image)
Na alikuwa mlaji mzuri sana wa hii kitu...
Katika kupiga piga story nae anadae toka ujana wake karibia kila wiki lazima apate hii kitu ikizidi sana labda wiki 3 na kule upatikanaji wa hii kitu ni rahisi sana....
kama umeandikiwa miaka michache ya kuishi hata ufanyeje muda ukifika unadanja tu....
Sasa hapo ni kwamba mnataka kuaminisha kuwa asingekula kitimoto angeishi miaka zaidi ya hiyo?
Huwa nashangaa sana watu..full kutishana kama wao wataishi milele.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wataalam wa chemical
Methanol vs ethanol vyote hivi vinapatika a kwenye gongo
So ni mbaya kwa afya ya binadamu
Spirit nyingine hazina ethanol vs methanol kwa wakati mmoja
Gongo ni hatari
 
Hakuna maslahi yoyote katika kuchangia hii mada zaidi ya kupoteza muda kubishana na watu wanaofuata matamanio ya nafsi zao.

Hili nawakumbusha Ndugu zangu Waislam.
 
Kumbe ngamia hana kwato hacheui
Mbona waislam wanakula??
Wana sababu zao sizijui, hata mimi nikipata chance kula nakula tu! Hata sungura ni najisi lakini tunakula vile vile nyani tunakula
 
Vp waislam kula ngamia ambaye anasifa za ngurue
Kuna sabubu zingine tofauti na za kidini, mfano ukosaji wa chakula. Kipindi cha njaa watu hula hadi mchanga utawaambiaje wasile nyama wafe!
 
Gongo "alcohol Percentage" yake iko ngapi kwani??
Tatizo la gongo liko reflected kwenye swali hili,kwamba hii inayotengenezwa hauwezi kusema exactly alcohol percentage yake.Hebu fanya kukumbuka process ya distillation uliyofundishwa form one.Wale watengeneza gongo wanatumia concept hiyo.Tatizo ni kwamba wanaweza kuzalisha gongo kali sana,au yenye kiwango kikubwa cha maji hivyo sio kali,kulingana na kiwango Cha moto wanachotumia kupika ule mchanganyiko unaozalisha gongo.
Gongo yenye kiwango kikubwa Ina madhara makubwa kwenye ini na Figo,na inaleta addiction haraka.Vuta kumbukumbu juu ya walevi wa gongo hasa uliopata kuwafahamu.Huwainafikia hatua wadevelop hata tabia za like,ikiwemo kuwa na sauti za kike na mambo ya kike (feminization of the male). Biologically ulevi uliopitiliza unapunguza hormones za kiume na kusababisha tabia zake kubadilika.
Kimsingi wanaoharamisha gongo nawaelewa ,huwezi kuwa na kinywaji ambacho alcohol content haijulikani,(undetermined) ukaruhusu kiendelee kuuzwa kama kinywaji halali.
 
Chapisha karatasi ntakusaidia kupeleka kwenye sanduku la maoni la Maafande.
 
Na ww kasome 1Timotheo 4:3-5

Mkuu kumbuka tupo agano jipya lililobora zaidi, hatupo chini ya sheria tena bali neema
Naona mmenielewa vibaya hoja yangu ilikua ni kueleza kiini cha mawazo ya kutokula ngurue. Dini zote za ukristo, uislamu, na uyahudi mizizi yao inatokana na agano la kale hivo inaweza kua kiini cha mtazamo huu sina uhakika kwa waislamu ila kwa wayahudi ni uhakika maana bado wanafuata torati.

Nimeona pia kuna sababu zingine zilizoletwa baada ya kristo ya kwamba ilikua hairuhusiwi kula wanyama ambao walikua wanatolewa kama sadaka kwenye ibada za dini za kipagani (waabudu sanamu) akiwemo ngurue. Hii naona nayo inaweza kuwa sababu kuna animation moja ya kufundishia watoto wa kiislam niliiona inaitwa "Bilal" inaonesha kipindi Mohamed (SAW) anaanza harakati za dini, kulikua na mambo ya kuabudu sanamu.
 
Nyama Safi kabisa ya Kitimoto (my wetu) Imeandaliwa vizuri imeshatolewa mafuta na ngozi ya juu! Kwa wakazi woote wa wilaya ya kinondoni mnafikiwa chap kwa haraka!!

Nipe order yako mapema nikuletee
Kilo 1 tsh 11,000 tu!! Free delivery nakuletea Hadi barabarani!
Fanya kutupigia ujirambe aisee! Hii kitu Ni utamu uliopitiliza!!
Call/Text 0682865155
 
1.Bangi
umefika wakati wa kuipitia upya sheria ya dawa za kulevya, kuharamisha bangi kulifanyika kimakosa, labda kutokana na ukosefu wa elimu au taarifa zisizo sahihi.
2.Gongo
Kuhusu gongo nafikiri iliharamishwa kimakosa pia, tafiti zingefanyika na kuboresha hiki kinywa huenda ingetoa mchango mkubwa sana kwa ukuaji wa uchumi.
3.Kitimoto
Bila kuharamisha anaweza kusababisha vita ya 3 ya dunia kwa utamu wake. Maana wangetoweka kabisa duniani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1430][emoji12]
 
Back
Top Bottom