Kingfish23
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 490
- 485
Mambo ya Walawi Watanzania yanatuhusu Nini Sasa[emoji2]Nimekuandikia apo "Mambo ya walawi 11:27" kasome bibilia yako!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya Walawi Watanzania yanatuhusu Nini Sasa[emoji2]Nimekuandikia apo "Mambo ya walawi 11:27" kasome bibilia yako!
pass the dutchie pon the left hand side.BANGI
Uharamu wa Bangi ni kwa jinsi inavyolimwa, inavyovunwa, inavyovutwa, maeneo itokako, wavutaji wake au jina lenyewe ndiyo haramu?
Ni mtamu eeh? Itabidi na mimi siku nile biriani la ngamiaNgamia hacheui lakini analiwa na sisi waislamu bila shaka yoyote
Ndo hapo yanatuhusu nini sisi wamakonde wa chitoholi😅😅Mambo ya Walawi Watanzania yanatuhusu Nini Sasa[emoji2]
Nikusaidie embu soma KITABU CHA MATENDO YA MITUME 10:9-16,Nimekuandikia apo "Mambo ya walawi 11:27" kasome bibilia yako!
Hilo kweli tena watwambie wapi wanakotoa Sadaka yakuteketezwa kama kina Musa.Hii siyo wakristo, sema wasabato
Weee siku yakwanza kuziona zile gari pale buguruni limeandika Masaki, nilitaka kupanda nikajua zinaenda msasani, sasa yakwanza nikaona inanyoosha tazara [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikauliza lahaula nilicheka mwenyewe ha ha haMasaki ipi mkuu? Kuna Masaki Fulani mbele ya Gongo la mboto Kama unaelekea dampo
Mwambie hata wewe, hapa aseme mambo ya wazaramo, hata wanyamwezi au wafipa Walawi wapi na wapi[emoji28][emoji28][emoji28]Mambo ya Walawi Watanzania yanatuhusu Nini Sasa[emoji2]
Nguruwe anaingia hedhi? Anatokwa kabisa damu?Hata kama ni wewe unaweza kula mnyama anaingia hedhi kama mtu?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Tangu nakua mpaka sasa nishazeeka nasikia kuwa Gongo, Bangi na Kitimoto ni haramu. Hivi uharamu wake upo kwenye nini hasa?
GONGO
Uharamu wa Gongo upo kwenye vikorombwezo vinavyotumika kuitengenezea? Kwenye vyombo vinavyotumika kutengenezea ama kunywea? Upo kwenye sehemu inaponywewa au kwa wauzaji wake? Au Uharamu wake upo kwa wanywaji wenyewe?
BANGI
Uharamu wa Bangi ni kwa jinsi inavyolimwa, inavyovunwa, inavyovutwa, maeneo itokako, wavutaji wake au jina lenyewe ndiyo haramu?
KITIMOTO
Huyu mnyama uharamu wake ni kutokana na ngozi yake ilivyoshikana na nyama yake, rangi yake, sauti yake, pua yake, kujaa kwake mafuta, ama tabia yake ya kupenda kujigalagaza kwenye matope?
Hebu tujadiliane jamani!!
Sasa hoja yako ni nini apo chief?Nikusaidie embu soma KITABU CHA MATENDO YA MITUME 10:9-16,
Kama sio kitamu basi sio kharam
Khafir kabisa [emoji23]Kwahy wanaokula kitimoto ni wanaharamu?
Sacred weedHii kitu ni tamu balaa.View attachment 2394015
Sipendi bangiTuanza na Mkuu wa Meza [emoji241] KitiMoto
Huyu ana mnyoo ambao umethibitika kitabu kwamba haufi hata ukiwekwa kwenye nyuzijoto 130 na zaidi yaan hata akiwekwa kwenye lile joto la kuyeyushia chuma hafi na huyo mnyoo chakula chake kikubwa ni protein na hupendelea zaidi protein ya kwenye ubongo wa mwanadamu, hivyo basi akiingia mwilini hukimbilia kwenye ubongo kisha anaanza kuishi uko
Anaitwa Taenia solium husababisha Cysticercosis pamoja na Taeniasis
Bangi hii bwana ni uraibu na ina uraibu mkubwa nakumbuka Bro's wangu wawili km sio watatu imewachukua hii kitu
Wa kwanza alikua akivuta bangi ndio anapata stimu za kulima so akienda shamba chakula chake kikubwa kilikua ni Bangi na alikua analima mchana wa jua Kali saaana yaan akishapiga bangi zake kete kadhaa akishanyonga akavuta mipuli yake kadhaa anaingia shamba analima na alikua analima sio kawaida, but siku ya siku ilimchukua maana alianguka shambani ile kumuwaisha hospital wakagundua kaishiwa maji ikabidi wamwekee dripu za maji wakaangaika madaktari weee kumkomboa ila hakumaliza wiki akavuta pumzi ya mwisho
Wa pili yeye pia alikua anavuta bangi ila hali chakula chochote kwa hio the same alivuta siku sababu ya kupungukiwa maji na alikua ameanza kua mental retarder, naye akavuta pumzi ya mwisho bangi ikamchukua
Wa mwisho yeye alikua ndio anaanza kuingia kwenye uraibu wa kuvuta bangi sasa bahati mbaya siku hio amevuta akapanda kwenye bodaboda wanaenda club na wenzake si akajisahau kwamba yupo kwenye bodaboda akajirusha akaangukia kichwa huo ndio ukawa mwisho wake maana alipasuka fuvu la kichwa na damu zilivilia kwenye ubongo baada ya siku 3 tukamzika
Gongo sio nzuri hii pia imenipotezea brother wangu mwingine, yeye huyu alikua akishapiga urabu wake anawavizia wake za watu anaokunywa nao gongo kisha anawamega, basi akategewa mtego kuna mke wa mtu alikua anammendea mmewe akawa amegundua mchezo wa jamaa kwamba Jamaa anamla mkewe sasa siku ya siku Jamaa akajichanganya akaenda kwa huyo mwanamke wakafanye yao Jamaa alipokutwa red-handed akakatwa bega kwa panga, bro hakumaliza wiki nae alipoteza maisha
Sasa umeona ubaya wa hivyo vitu kwenye jamii na mifano hai tunayo
NB:
Kuna watu bangi haiwadhuru ila inawachukua taratibu wanakufa kidogo kidogo yaan inawatafuna kidogo kidogo
Kuna watu Kitimoto hawadhuru ila inawachukua wanakufa kidogo kidogo mpaka aje kushtuka mwili mzima umejaa minyoo tupu hapo ndipo mtu anarukwa na akili
Kuna watu gongo haiwadhuru ila inawachukua taratibu wanakufa kidogo kidogo yaan sura ya kizee ila ni mtoto tu wa miaka 20
Sipendi bangi
Sipendi gongo
Sipendi kitimoto
Nayajua madhara yake ni makubwa kuliko wengine wanavyoyachukulia
Nitarudi...
Hakn kitu Kam icho ,hii ni illusionKhafir kabisa [emoji23]
00000000 zikianza na 1 2 3 4 5 6 7 8 9 sasa hapo katikati weka 000000000 ziwe nyingi nyingiSipendi bangi
Sipendi gongo
Sipendi kitimoto
[emoji848] ila sefuli unapenda[emoji2827]