Hivi uharamu wa Gongo, Bangi na kitimoto ni nini?

Bangi nimevuta
Nguruwe nimekuwa mchinjaji kwa takribn miez 7 Kisha nikaacha na Kaz kbsa ,dkk 20 zijazo naenda kula kanusu naugali

Gongo nimewai mm na mtoto wa Bab angu. Mkubwa tume kwenda kumchukuwa bab ake by 2001s HV miaka hyo yule mzee kashafariki kitambo tu kwa madhara hayohayo
 
Masaki ipi mkuu? Kuna Masaki Fulani mbele ya Gongo la mboto Kama unaelekea dampo
Weee siku yakwanza kuziona zile gari pale buguruni limeandika Masaki, nilitaka kupanda nikajua zinaenda msasani, sasa yakwanza nikaona inanyoosha tazara [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikauliza lahaula nilicheka mwenyewe ha ha ha
 
Mambo ya Walawi Watanzania yanatuhusu Nini Sasa[emoji2]
Mwambie hata wewe, hapa aseme mambo ya wazaramo, hata wanyamwezi au wafipa Walawi wapi na wapi[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Sigara, shisha ni hatar zaid ya Bangi

Konyagi&K vant na pombe kali zingine ni hatar the same way ilivyo gongo.

Hiyo biashara ya watu tu kupiga vita vileo asilia vinavyopatikana kwa chp price ili mununue vinavyouzika kwa bei za kibiashara, mtoe kodi na kuinua mapato ya wakubwa, , other way vileo asilia ni Hatar kulko vileo ambavyo si asilia, maana vya kiasili wao wanadai havijapomwa viwango vya ulevi so ni hatr kwa mwanadamu.

Na kuhusu nguruwe hapa hata sina neno, hao wana chuki zao tu za kijinga, waliacha kukataza kula popo na nyoka wakakimbilia kwa nguruwe, walitaka kutunyima nini hao majamaa?
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Sipendi bangi
Sipendi gongo
Sipendi kitimoto
[emoji848] ila sefuli unapenda[emoji2827]
 
Kwa cc waislam jambo lolote tuliloharamishiwa bc ujue lina madhara kwa afya ya binadam ndo maana linakua ni haram
 
Sipendi bangi
Sipendi gongo
Sipendi kitimoto
[emoji848] ila sefuli unapenda[emoji2827]
00000000 zikianza na 1 2 3 4 5 6 7 8 9 sasa hapo katikati weka 000000000 ziwe nyingi nyingi

Mfano:

1000000000, 20000000, 300000000, 40000000, 50000000, 60000000, 700000000, 800000000, 900000000

Huo ndio ugonjwa wangu mkuu hakuna kingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…