joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Kama walivyofanyiwa wanamuziki wa congo kwa kumsapoti dikteta kabila ndivo hivohivo
Unazani unacho kiwaza wewe,basi kila mtz anawaza hivyo hivyo,sisi tutapiga hujashikiwa bunduki kama hutaki acha.We Kama msanii au mnufaika wa sanaa mtakula mlipopeleka mboga