Kwanini mkuu, umeona nini?Basi wana ujasiri sana
carnte himself
Ohooooo!!!Kwani wenyeww sio binadamu? Hujaskia mmoja anao umempa stress mpaka kawa kichaa?
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
Duh!!!Mr nice alijifaidia sana huyo mremboUkimwi kwa mastar haupo mkuu ngoja nikupe namba ya Jini kabula
Naipataje hiyo mkuuWanatumia after sex, before 72 hours pills.
Utawaona kila kiwanja lakini hawafi kwa ngwengwe.
Wewe kajaribu hiyo utarudi na majibu mubashara taa za ngwengwe zinawaka.
Madaktari wanatumia sana hasa wale wa upasuaji.