Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 5,067
- 4,434
Sio una huruma,ukikutana na mtu anayetimia arv virus vinakuwa vimefubaa makali,vimelalaUkimwi wa sasa una huruma sana. Me nmelala na wanawake 2 bila kujua wameathirika mmoja nliishi kae kabsa Kama miezi 3+ nazagamua nitakavyo. Kuja kujua nkapiga chini haraka sana. Nina miaka 4 mpaka sasa napima nko vizuri tu. Achana na wale wa Mara moja moja nao wengi tu. Namshukuru mungu nimetulia saiv