mjukuum
JF-Expert Member
- Dec 8, 2014
- 5,258
- 2,842
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hivyoDuuh Maskiniii
Vile vidonge ni $600, hapo ni wastani wa milioni moja na nusu....sidhani kama wanayo hiyo nguvu.Wanatumia after sex, before 72 hours pills.
Utawaona kila kiwanja lakini hawafi kwa ngwengwe.
Wewe kajaribu hiyo utarudi na majibu mubashara taa za ngwengwe zinawaka.
If you consider acquiring knowledge to be diffcult then try ignoranceHuwa najiuliza life style ya hawa ndugu zetu ...na Mara nyingine huweka wazi kabisa maisha yao ya starehe na anasa zilizopitiliza kama ulevi...kutoka na wake wame za watu...kubadilisha wanaume ...na kupiga picha za utupu au wakati mwingine kucheza kabisa filamu za ngono
Hawa kweli UKIMWI au HIV huwa inawahusu au wana kinga wenzetu
Nawaza tuu kwa sauti[emoji124] [emoji124] [emoji124]
carnte himself
Mbona hayo wanayoyafanya wasanii hata huku kitaa wana wanayafanya sana tuBasi wana ujasiri sana
carnte himself
Vinauzwa wapi hv vidude mana nouma SanaWanatumia after sex, before 72 hours pills.
Utawaona kila kiwanja lakini hawafi kwa ngwengwe.
Wewe kajaribu hiyo utarudi na majibu mubashara taa za ngwengwe zinawaka.
Ukimwi wa kichawi ndo upi mbona unatuchanganya sanaHaaaaa haaaaa , mkuu wa ureno, unachekesha aisee.
Acha zinaa mkuu.Ndio maana. Tushtuane jamani ni sawa zipi hizo na zinaptikana vipi.
Nasikia pia, ukimaliza tu kupiga bao, nawa na maji ya baridi sana, kutoka kwa fridge. Wale wadudu hawakai kwenye ule ubaridi, wanakufa faster
Sent using Jamii Forums mobile app