Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,633
- 7,912
Huuuuuh huuuuuh huuuuuh.
Mkuu, jitunze tu hiyo kitu huwa ni 50% / 50%.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madaktari wanatumia sana hasa wale wa upasuaji.
![]()
-Ndumilakuwili-
yupi huyo Boss?Kwani wenyeww sio binadamu? Hujaskia mmoja anao umempa stress mpaka kawa kichaa?
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
Alizidi mno, alikuwa twanga kote kote.Ukimwi kwa mastar haupo mkuu ngoja nikupe namba ya Jini kabula
Fuatilia habari za nyuma za bongo movie za mwanamke aliekua kichaa, utamjua tuuuyupi huyo Boss?
Duuh MaskiniiiFuatilia habari za nyuma za bongo movie za mwanamke aliekua kichaa, utamjua tuuu
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
Huyu kaunguaa zamanDuh!!!Mr nice alijifaidia sana huyo mrembo![]()
-Ndumilakuwili-
Na ww ni mmoja wao manake so kwa mtego huoChoki ,,steve ,
shushushu VIP
Nani tena huyoooo...Kwani wenyeww sio binadamu? Hujaskia mmoja anao umempa stress mpaka kawa kichaa?
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
Keshaawaka nn ...Ukimwi kwa mastar haupo mkuu ngoja nikupe namba ya Jini kabula
Ndio jini kabula Huyo auDuh!!!Mr nice alijifaidia sana huyo mrembo![]()
-Ndumilakuwili-
Ndio naisikia leo hii. Mbona haiko advertised. Au ni kwa watu maalum tuWanatumia after sex, before 72 hours pills.
Utawaona kila kiwanja lakini hawafi kwa ngwengwe.
Wewe kajaribu hiyo utarudi na majibu mubashara taa za ngwengwe zinawaka.
Ndio naisikia leo hii. Mbona haiko advertised. Au ni kwa watu maalum tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana. Tushtuane jamani ni sawa zipi hizo na zinaptikana vipi.Inapigwa kimya kimya.
Ukimwi upi mnazungumzia huu wa kichawi au wa kisasa?