Sio una huruma,ukikutana na mtu anayetimia arv virus vinakuwa vimefubaa makali,vimelalaUkimwi wa sasa una huruma sana. Me nmelala na wanawake 2 bila kujua wameathirika mmoja nliishi kae kabsa Kama miezi 3+ nazagamua nitakavyo. Kuja kujua nkapiga chini haraka sana. Nina miaka 4 mpaka sasa napima nko vizuri tu. Achana na wale wa Mara moja moja nao wengi tu. Namshukuru mungu nimetulia saiv
Wee mkuu😳😳.. Unataka kusema na janjaro nae keshawaka??Kazeze lipo la kushato mkuu ,Jichanganye tu ,ni hatari ,OGOPA ,muulize JANJARO.
Wee mkuu😳😳.. Unataka kusema na janjaro nae keshawaka??
Vile si unapewa bure tu hospitali! Mi mwenyewe ninavyo napiga hapa leo siku ya 14. Na uzuri vya siku hivi sio vikali, havileti mawenge kama vya zamani maana nishakunywaga miaka minne iliyopita.Vile vidonge ni $600, hapo ni wastani wa milioni moja na nusu....sidhani kama wanayo hiyo nguvu.
Na pia sio 100% hakikisho la kuzuia/kudhibiti wale jamaa, ila hutumika tu kama tahadhari in case jamaa wameingia.
Duuuh🤔🤔Ndiyo amelitoa kwa Hi-When.
Batu auFuatilia habari za nyuma za bongo movie za mwanamke aliekua kichaa, utamjua tuuu
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
Agement wangu njaro kama alifukua mtaro lazima awake.Ndiyo amelitoa kwa Hi-When.
Wao kitaalam wanaiita PEPMadaktari wanatumia sana hasa wale wa upasuaji.