Hivi ukitoa hela kwenye ATM halafu ukaiacha pale kwenye kibox chake inaweza kurudi ndani kama card?!

Hivi ukitoa hela kwenye ATM halafu ukaiacha pale kwenye kibox chake inaweza kurudi ndani kama card?!

HOPEfull

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
1,882
Reaction score
2,313
Salam..

Sijawahi kujaribu au kama kuna mtu imewahi kumtokea akachelewa kuitoa hela baada ya kutoka, je itadumbukia tena ndani au itakaa hapo hapo itaganda tu inasubiria.

Na kama ikirudi mahesabu yatakuwaje kwenye account yatajirudi tena kama awali au balance itapungua.

Changamsheni kichwa kidogo.
 
Sina hakika ila ikirudi lazima itakwenda kuongezwa kwenye akaunti.

Nasema hivyo kwa sababu kuna siku nilikuwa natoa, ATM ikawa inahesabu hela then inafungua kamlango na haitoi kitu halafu inafunga inahesabu tena.

Wakata huo napata msg 2, ya kutoa hela na ya kurudishwa hela kwenye akaunti.
 
Sina hakika ila ikirudi lazima itakwenda kuongezwa kwenye akaunti.

Nasema hivyo kwa sababu kuna siku nilikuwa natoa, ATM ikawa inahesabu hela then inafungua kamlango na haitoi kitu halafu inafunga inahesabu tena.

wakataji huo napata msg 2, ya kutoa hela na ya kurudishwa hela kwenye akaunti.
Bado hapo pagumu hapajaeleweka ..hela ilitoka?
Sina hakika ila ikirudi lazima itakwenda kuongezwa kwenye akaunti.

Nasema hivyo kwa sababu kuna siku nilikuwa natoa, ATM ikawa inahesabu hela then inafungua kamlango na haitoi kitu halafu inafunga inahesabu tena.

wakataji huo napata msg 2, ya kutoa hela na ya kurudishwa hela kwenye akaunti.
 
Salam..

Sijawahi kujaribu au kama kuna mtu imewahi kumtokea akachelewa kuitoa hela baada ya kutoka je itadumbukia tena ndani au itakaa hapo hapo itaganda tu inasubiria.

Na kama ikirudi mahesabu yatakuwaje kwenye account yatajirudi tena kama awali au balance iatapungua.

Changamsheni kichwa kidogo.
Hata sasa hv ukienda utaikuta
 
soma hii kitu c.
ukiona kuna neno rimerudisha sawa

#include

#include

unsigned long amount=25000, deposit, withdraw;

int choice, pin, i;

char transaction ='y';

void main()

{

clrscr();

while (pin != 1097)

{

printf("ENTER YOUR PIN NUMBER: ");

scanf("%d", &pin);

if (pin != 1097)

printf("PLEASE ENTER VALID PASSWORD\n");

}

do

{

printf(" Welcome to ATM Service \n");

printf("1. Check Balance\n");

printf("2. Withdraw Cash\n");

printf("3. Deposit Cash\n");

printf("4. Quit\n");

printf("\n\n");

printf("Enter your choice: ");

scanf("%d", &choice);

switch (choice)

{

case 1:

printf("\n YOUR BALANCE =Rs.%lu ", amount);

break;

case 2:

printf("\n ENTER THE AMOUNT: ");

scanf("%lu", &withdraw);

if (withdraw % 100 != 0)

{

printf("\n PLEASE ENTER THE AMOUNT IN MULTIPLES OF 100");

}

else if (withdraw >(amount - 1000))

{

printf("\n INSUFFICENT BALANCE");

}

else

{

amount = amount - withdraw;

printf("\n\n PLEASE COLLECT YOUR CASH");

printf("\n YOUR CURRENT BALANCE =RS.%lu", amount);

}

break;

case 3:

printf("\n ENTER THE AMOUNT: ");

scanf("%lu", &deposit);
 
soma hii kitu c.
ukiona kuna neno rimerudisha sawa

#include

#include

unsigned long amount=25000, deposit, withdraw;

int choice, pin, i;

char transaction ='y';

void main()

{

clrscr();

while (pin != 1097)

{

printf("ENTER YOUR PIN NUMBER: ");

scanf("%d", &pin);

if (pin != 1097)

printf("PLEASE ENTER VALID PASSWORD\n");

}

do

{

printf(" Welcome to ATM Service \n");

printf("1. Check Balance\n");

printf("2. Withdraw Cash\n");

printf("3. Deposit Cash\n");

printf("4. Quit\n");

printf("\n\n");

printf("Enter your choice: ");

scanf("%d", &choice);

switch (choice)

{

case 1:

printf("\n YOUR BALANCE =Rs.%lu ", amount);

break;

case 2:

printf("\n ENTER THE AMOUNT: ");

scanf("%lu", &withdraw);

if (withdraw % 100 != 0)

{

printf("\n PLEASE ENTER THE AMOUNT IN MULTIPLES OF 100");

}

else if (withdraw >(amount - 1000))

{

printf("\n INSUFFICENT BALANCE");

}

else

{

amount = amount - withdraw;

printf("\n\n PLEASE COLLECT YOUR CASH");

printf("\n YOUR CURRENT BALANCE =RS.%lu", amount);

}

break;

case 3:

printf("\n ENTER THE AMOUNT: ");

scanf("%lu", &deposit);
Naona unatamba na code za kugoogle
Iheshimiwe chatGPT
 
Daaa umenikumbusha...
Kuna siku nilienda kutoa hela,
Mashine inahesabu weee, ikimaliza inafunguka halafu hela haiji, kama mara mbili hivii,

Kwenye simu msg imekuja umetoa kiasi flana cha helaa...

Nje kuna foleni, nikisema niende ndani jeee ikitoka chap wahuni wakiiwahi?(nyuma kumesimama jamaa flan kavu kweli)

Nikamuambia mlinzi naomba uzuie hapa asikanyage mtuu...., watumie mashine nyingne.

Kufika ndani akaniambia waruhusu tuu haiwezekani kutoka...
Nikajisemea haya ni maneno tuu,
Nikamwambia we maliza kazi yako nitoke chap hii ni pesa dada pale hata kanyaga mtu ujuee..., akatabasamu,

alivyomaliza naona kashika kadi anaaza kuniambia sijui masuala ya mkopo huko, nikakwapua kadi yangu nikatoka.
 
Salam..

Sijawahi kujaribu au kama kuna mtu imewahi kumtokea akachelewa kuitoa hela baada ya kutoka je itadumbukia tena ndani au itakaa hapo hapo itaganda tu inasubiria.

Na kama ikirudi mahesabu yatakuwaje kwenye account yatajirudi tena kama awali au balance iatapungua.

Changamsheni kichwa kidogo.
Kuna siku natoa pesa, kulia kwangu nasikia mashine ina beep ule mlio wa kuwa pesa imetoka, mimi nikawa bize na ATM yangu, mlio ukawa unaendelea tu, nikajisemea ngoja nichungulie, lahaula naona pesa shaaaa zinarudi ndani. Nahisi mteja mwenye haraka alitoa pesa sasa akaona pesa hazitoki akamua kusepa. Kumbuka inaanza kutoka kadi then mashine inahesabu pesa ndio zintoka.
 
Daaa umenikumbusha...
Kuna siku nilienda kutoa hela,
Mashine inahesabu weee, ikimaliza inafunguka halafu hela haiji, kama mara mbili hivii,

Kwenye simu msg imekuja umetoa kiasi flana cha helaa...

Nje kuna foleni, nikisema niende ndani jeee ikitoka chap wahuni wakiiwahi?(nyuma kumesimama jamaa flan kavu kweli)

Nikamuambia mlinzi naomba uzuie hapa asikanyage mtuu...., watumie mashine nyingne.

Kufika ndani wakanirekebishia, ila aliniambia haiwezekani kutoka...
Nikajisemea haya ni maneno tuu,
Nikamwambia we maliza kazi yako nitoke chapi hii ni pesa dada..., akatabasamu nikakwapua kadi yangu nikatoka.
Itakuwa NMB hii, mimi pia ilinifanyia unyama huu na nilikuwa na shida sana na hela.
 
soma hii kitu c.
ukiona kuna neno rimerudisha sawa

#include

#include

unsigned long amount=25000, deposit, withdraw;

int choice, pin, i;

char transaction ='y';

void main()

{

clrscr();

while (pin != 1097)

{

printf("ENTER YOUR PIN NUMBER: ");

scanf("%d", &pin);

if (pin != 1097)

printf("PLEASE ENTER VALID PASSWORD\n");

}

do

{

printf(" Welcome to ATM Service \n");

printf("1. Check Balance\n");

printf("2. Withdraw Cash\n");

printf("3. Deposit Cash\n");

printf("4. Quit\n");

printf("\n\n");

printf("Enter your choice: ");

scanf("%d", &choice);

switch (choice)

{

case 1:

printf("\n YOUR BALANCE =Rs.%lu ", amount);

break;

case 2:

printf("\n ENTER THE AMOUNT: ");

scanf("%lu", &withdraw);

if (withdraw % 100 != 0)

{

printf("\n PLEASE ENTER THE AMOUNT IN MULTIPLES OF 100");

}

else if (withdraw >(amount - 1000))

{

printf("\n INSUFFICENT BALANCE");

}

else

{

amount = amount - withdraw;

printf("\n\n PLEASE COLLECT YOUR CASH");

printf("\n YOUR CURRENT BALANCE =RS.%lu", amount);

}

break;

case 3:

printf("\n ENTER THE AMOUNT: ");

scanf("%lu", &deposit);
Sawa bana
 
Back
Top Bottom