Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba kadi yako mara moja nijaribuSijawahi kujaribu au kama kuna mtu imewahi kumtokea akachelewa kuitoa hela baada ya kutoka je itadumbukia tena ndani au itakaa hapo hapo itaganda tu inasubiria.
Na kama ikirudi mahesabu yatakuwaje kwenye account yatajirudi tena kama awali au balance iatapungua.
Changamsheni kichwa kidogo.
Ilibaki kidogo nimpige mtoa huduma NMB ni pasua kichwa salary ilichelewa sana mpaka 28 July, nilipojaribu kutoa hela ilikwama tenaItakuwa NMB hii, mimi pia ilinifanyia unyama huu na nilikuwa na shida sana na hela.
Fafanua hapo.Itarud na itakuwa counted as a tip [emoji28]
Ko mpk unataka mpk hili ambalo hata ww unaliweza tusubir mzungu ajaribu alete majibu kwny vitabu watoto zenu wakariri,acha uzito MkuuSalam..
Sijawahi kujaribu au kama kuna mtu imewahi kumtokea akachelewa kuitoa hela baada ya kutoka je itadumbukia tena ndani au itakaa hapo hapo itaganda tu inasubiria.
Na kama ikirudi mahesabu yatakuwaje kwenye account yatajirudi tena kama awali au balance iatapungua.
Changamsheni kichwa kidogo.
Asee mpk nimeshangaa yani wabantu wa kusini mwa jangwa la sahara tunashida sana tena za kurithiKwanini uandikie mate na wino upo??
Chukua kadi yako nenda nayo ATM
Ndio maana bandari wanapewa DP WORLD waTZ tunataka kutafuniwa kila kitu
hakuna GPT hapo ni free sorce code teyari unaweza kufanya .
GPT inaweza kukupa kulingana unachotasio hiyo .hii hipo kwenye ATM za i kuwa salama sio code ni secure server na database.
Mnatuacha njiani pole pole jamani.Naona unatamba na code za kugoogle
Iheshimiwe chatGPT
Haiwezekani kabisa.Sina hakika ila ikirudi lazima itakwenda kuongezwa kwenye akaunti.
Nasema hivyo kwa sababu kuna siku nilikuwa natoa, ATM ikawa inahesabu hela then inafungua kamlango na haitoi kitu halafu inafunga inahesabu tena.
wakataji huo napata msg 2, ya kutoa hela na ya kurudishwa hela kwenye akaunti.
Wakati mwingine kiwango unachoandika kinakuwa hakupi kwenye cash ndio maana inahesabu sana...Daaa umenikumbusha...
Kuna siku nilienda kutoa hela,
Mashine inahesabu weee, ikimaliza inafunguka halafu hela haiji, kama mara mbili hivii,
Kwenye simu msg imekuja umetoa kiasi flana cha helaa...
Nje kuna foleni, nikisema niende ndani jeee ikitoka chap wahuni wakiiwahi?(nyuma kumesimama jamaa flan kavu kweli)
Nikamuambia mlinzi naomba uzuie hapa asikanyage mtuu...., watumie mashine nyingne.
Kufika ndani wakanirekebishia, ila aliniambia haiwezekani kutoka...
Nikajisemea haya ni maneno tuu,
Nikamwambia we maliza kazi yako nitoke chapi hii ni pesa dada..., akatabasamu nikakwapua kadi yangu nikatoka.
Ukisikia vikengele tega macho hapo unapepesa.Kuna siku natoa pesa, kulia kwangu nasikia mashine ina beep ule mlio wa kuwa pesa imetoka, mimi nikawa bize na ATM yangu, mlio ukawa unaendelea tu, nikajisemea ngoja nichungulie, lahaula naona pesa shaaaa zinarudi ndani. Nahisi mteja mwenye haraka alitoa pesa sasa akaona pesa hazitoki akamua kusepa. Kumbuka inaanza kutoka kadi then mashine inahesabu pesa ndio zintoka.
Sasa ndio iliwezekana ATM ya NMB Biafra.Haiwezekani kabisa.
Nenda uitoe halafu uiache utajua inakuwajeSalam..
Sijawahi kujaribu au kama kuna mtu imewahi kumtokea akachelewa kuitoa hela baada ya kutoka, je itadumbukia tena ndani au itakaa hapo hapo itaganda tu inasubiria.
Na kama ikirudi mahesabu yatakuwaje kwenye account yatajirudi tena kama awali au balance itapungua.
Changamsheni kichwa kidogo.
Hapo basi cash ilikuwa hazijatoka labda ndio ikakupa msg hiyo.Sasa ndio iliwezekana ATM ya NMB Biafra.
Nilitoa hela ikahesabu, ikafungua mlango, haikutoa hela na ikahesabu tena na kufunga. Nikapata msg kuwa umetoa pesa kiasi fulani, sekunde chache baadaye nikapata msg Kiasi cha TZS ...... kimerudishwa kwenye akaunti yako inayoishia na .....
NMB karibu yako.
Hilo zoezi nilirudia mara 2 na ikafanya hivyo hiyo hadi nikaamua kutolea ATM ya CRDB Mwanamboka.
Ndo ntajua kuwa sijui😁Nenda uitoe halafu uiache utajua inakuwaje
Scenarios 2 tofauti! Mwache mleta mada aende kwenye ATM atoe hela halafu aziache hapo halo!Sina hakika ila ikirudi lazima itakwenda kuongezwa kwenye akaunti.
Nasema hivyo kwa sababu kuna siku nilikuwa natoa, ATM ikawa inahesabu hela then inafungua kamlango na haitoi kitu halafu inafunga inahesabu tena.
Wakata huo napata msg 2, ya kutoa hela na ya kurudishwa hela kwenye akaunti.