Hivi Ulaya kuna utaratibu wa kuulizwa jina la balozi wa mtaa/mtendaji kata, diwani au mbunge ili kuthibitisha kama ni mkazi wa sehemu husika?

Nchi za wenzetu mifumo inaonana, sio kama kwetu unaweza ukawa na vitambulisho 10 za mambo mbali mbali kama afya,elimu,kazi,makazi. Huku kwetu tunaishi kwa kasoro za mifumo kutoonana, mfano kipengele tu cha uthibitisho wa makazi yako mpaka balozi athibitishe unaishi eneo lake la utawala, binafsi nimeishi london, uk sijawahi kusikia habari ya balozi wala mtendaji/mwenyekiti, ila wabunge ndio wapo
 
Mtaa gani huo..? Ambao mnajua wafirwaji na wafilaji??
 
Pole sana; maswali ya kipumbavu sana kuulizwa dunia ya leo. Frankly speaking, sijawahi hata kujua majina ya hao watu mtaani ninakoishi!
Siku litakukuta jambo hao wote utawajua na utawaomba msaada na wakuringie kukufahamu....lilinikuta jambo 2018 sio la kusahau nlijua kule juu wanamaliza kila kitu nlirudi kuwatafuta mjumbe, m/kiti wa mtaa ndo mambo mengine yaliendelea
 
Nilikuwa nakumbukia yule jamaa mweusi ( Ahmaud Arbery) aliyeuwawa marekani akifanya mazoezi na wazungu watatu waliomfukuzia kwa gari.
 
Hakuna mahusiano ,kati ya wingi wa watu na movement

Acheni mazoea ,serikali sio wehu wanasema mikataba ya upangaji itolewe na ofisi ya mtaa,Ili kukidhi vigezo vya UTAMBUZi ,kama hivyo ,utafilwa siku nyingine

Imagine ,choo hicho pangekuwa na mke wa mtu anakojoa huko au anaoga ,kelele yake hiyo ndg yangu wangekumeza
 
Acheni mazoea ,serikali sio wehu wanasema mikataba ya upangaji itolewe na ofisi ya mtaa,Ili kukidhi vigezo vya UTAMBUZi ,kama hivyo ,utafilwa siku nyingine,........
Huo sio uungwana kutumia lugha ya matusi...........kama huwezi kuheshimu watu....jiheshimu mwenyewe itakusaidia maishani.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ulaya kuna vichochoro Uwani kwa watu?

Una bahati kweli, bora hao wamekuuliza balozi wako n.k, Ulaya ukatishe uwani wa mtu wala haulizwi umetokea wapi, wewe ungepigwa risasi tu.
 
Au mbwa huwa yuko maeneo hayo ya uwani au back garden.
 
Au mbwa huwa yuko maeneo hayo ya uwani au back garden.
BabaMorgan kazengua tu. Hata hizo tabia za kukatisha kitaa sio kivile huko Ulaya, na isitoshe ukionekana ni mweusi ndio kabisa, lazima uitiwe polisi, yani kuna mitaa ulaya hutembei tembei kwa Uhuru kama huku kwetu. Ana bahati kweli na ashukuru mungu wake.
 
Haya ,kuwa makini usije ingiliwa kinyume na uumbwaji
 
Kuna jamaa yangu mmoja yeye zamani alikuwa apiga kazi ya cleaning kwenye baa moja hivi ya kibabe hujaza sana watu yaani huchukua kama 60k a night na ipo kwenye eneo la wazungu wale khasa wale.

Sasa akawa apangua viti atoe nje ili aweze kupiga deki (mopping) na mambo mengine hivyo ni lazima atoe nje kwanza.

Kumbe siku ile wazungu walikuwa wakipita pale nje ya baa ile na walipomwona mtu mweusi atoa viti nje wakaita polisi kwamba kuna mwizi amevunja baa ile na atoa viti nje.

Zilikuja kama 5 Polisi vans na polisi na mbwa na pona yake jamaa ni kwamba walimkuta apiga mop na walipomuuliza masuali mawili matatu wakamwacha apige kazi.

Hivyo kuna sehemu au vitaa wazungu wakimwona mtu mweusi ni shida sana kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…