Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
- Thread starter
- #21
Dogo tulia wanaume wapo vitani. Gaza hamna mashoga wala wavaa diapersWaulize hamas huko wanakunyakunya muda huu kwenye mashimo kama panya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo tulia wanaume wapo vitani. Gaza hamna mashoga wala wavaa diapersWaulize hamas huko wanakunyakunya muda huu kwenye mashimo kama panya
Rais wa Iran yupo fit kuen1deleza mkong'otoWalijaza kwenye helcopter ya rais wa iran
😂hayo maji watu tumeyanywa na mengine tumefulia kanzu ziwe safi,mengine tumechukulia udhu tuswal,mengine tumepikia biriani...sisi Hamas hatuwezi tetemeshwa na mashoga a.k.a mchicha mwiba
Kama wanaume wapo vitani mke wao ndo upo huku JF ukipiga piga uongo....kabla ya kuosha vyombo🤣Dogo tulia wanaume wapo vitani. Gaza hamna mashoga wala wavaa diapers
😄 Hao kwa story utawaweza walidhani hio tisha nyau wanawatisha Hamasi, yani Israel na US wakiongea we cheka tu wanadhani dunia ya leo ile ya zamani wakisema kitu watu watawamini.
Mara hi wamekuja na mpya eti wamewaokoa maiti walio tekwa na Hamasi kwanza wamewajua vipi yani miezi saba maiti umtambue bila ya uchunguzi hi kali aisay.
Hamasi wenyewe wanawauliza hao maiti mmewakuta wapi mbona sisi hatuwatambui au ni wanajeshi wao walio kufa.
Hi ni jana aisay Israel wanamalizwa
View: https://youtu.be/t-ORbfHtoQE?si=UMpN0-ebJeh6131x
adui anarusha mawe na wewe unajibu kwa mawe , adui anachukua mishale wewe unataka niendelee kutumia mawe tu ? adui anaanza kutumia silaha ila wew unataka nitumie mawe bado , Yaani adui atoke mashimon akimbilie sehem nyingine ( Rafah ) kujificha wewe unataka niendelee kujaza maji kwenye mashimo , Ndio maana hatuez hata saini mikataba kama Feisali na mama Yenu Sa100, akili sufuriiiMwanzo kulikua na huo mpango wa kujaza maji kwenye mahandaki wanayoishi Hamas ( kwa mujibu wa IDF) je ule mpango uli fail?
Hii nchi kwa sasa jamani inahitaji maombi kila mtu lwa imani yake maana Viongozi wanagombana kila kukicha Serikali imeparaganyika Waziri Mkuu Netanyahu kajifungia ndani wiki sasa haongei.
Hamas nao wamechachamaa huko Gaza IDF wanadondoshwa kama kuku wenye kideri. Hezbollah nao hawapoi wanawasha moto hujo North balaa .
Domo hilo linatoa harufu ya chooKama wanaume wapo vitani mke wao ndo upo huku JF ukipiga piga uongo....kabla ya kuosha vyombo🤣
Samia anahusikaje hapa?adui anarusha mawe na wewe unajibu kwa mawe , adui anachukua mishale wewe unataka niendelee kutumia mawe tu ? adui anaanza kutumia silaha ila wew unataka nitumie mawe bado , Yaani adui atoke mashimon akimbilie sehem nyingine ( Rafah ) kujificha wewe unataka niendelee kujaza maji kwenye mashimo , Ndio maana hatuez hata saini mikataba kama Feisali na mama Yenu Sa100, akili sufuriii
Kila mbinu inapiganwa kulingana na mbinu za adui anavyokuja , walikuwa mashimon wametoka unataka niendelee kujaza maji mashimoni ile nigundue nini ?