Hivi ule Mpango wa Israel kujaza maji kwenye mahandaki kule Gaza uliishia wapi?

hayo maji watu tumeyanywa na mengine tumefulia kanzu ziwe safi,mengine tumechukulia udhu tuswal,mengine tumepikia biriani...sisi Hamas hatuwezi tetemeshwa na mashoga a.k.a mchicha mwiba
😂
 
adui anarusha mawe na wewe unajibu kwa mawe , adui anachukua mishale wewe unataka niendelee kutumia mawe tu ? adui anaanza kutumia silaha ila wew unataka nitumie mawe bado , Yaani adui atoke mashimon akimbilie sehem nyingine ( Rafah ) kujificha wewe unataka niendelee kujaza maji kwenye mashimo , Ndio maana hatuez hata saini mikataba kama Feisali na mama Yenu Sa100, akili sufuriii

Kila mbinu inapiganwa kulingana na mbinu za adui anavyokuja , walikuwa mashimon wametoka unataka niendelee kujaza maji mashimoni ile nigundue nini ?
 
adui anarusha mawe na wewe unajibu kwa mawe , adui anachukua mishale wewe unataka niendelee kutumia mawe tu ? adui anaanza kutumia silaha ila wew unataka nitumie mawe bado , Yaani adui atoke mashimon akimbilie sehem nyingine ( Rafah ) kujificha wewe unataka niendelee kujaza maji kwenye mashimo , Ndio maana hatuez hata saini mikataba kama Feisali na mama Yenu Sa100, akili sufuriii
Kila mbinu inapiganwa kulingana na mbinu za adui anavyokuja , walikuwa mashimon wametoka unataka niendelee kujaza maji mashimoni ile nigundue nini ?
 
Samia anahusikaje hapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…