Hivi umeshawahi kujiuliza kuhusu Namba Saba

Hivi umeshawahi kujiuliza kuhusu Namba Saba

Wrong Tena,
Mwanamke ana matundu nane? Pale chini ukimkagua mwanamke vizuri utaona Kuna matundu matatu.
Mchunguze waif utanishukuru.
Ila tutakubalia jambo moja chief,, yapo katika uke wa mwanamke
 
Najua mawingu na atmosphere, mbingu ni dhana
Kuna mambo unaweza usiyaone kwa nacho lkn yapo,,,, mfano upepo au umeme,, tunaona tu ishara zake

Mbingu Saba iko kidini zaidi najua mambo ya imani ni magumu tuachane nayo
 
Saba Cha mtoto.
Mambo iko arobaini.
Za mwizi arobaini,
Mwanamke akijifungua siku ya arobaini ndio mashine inarudi katika Hali ya kawaida na unaweza kupakua mzigo.
Tunafunga siku arobaini.
Tangu jumatano ya majivu mpaka pasaka Ni siku arobaini.
Nakuongezea na nabii Mussa aliambiwa afunge siku arobaini ili apewe ujumbe mzito

Wanaisrael walihangaika jangwani siku arobaini

Je arobaini inawakilisha nini?
 
Bi hajara alipoachwa na Nabii Ibrahim kule bonde la Maka akiwa na mwanae Ismail alizunguka sehemu safwa na Marwa mara saba kutafuta maji ya mwanawe mpaka pale Ismail alipopiga na mguu chini na chem chem ikaanza kububujika

Tukio hilo la ibada hufanywa kama kumbukumbu.
 
Kiama kitatokea siku ya ijumaa na unasema ijumaa ni siku ya saba kwa kalenda ipi?
Kiislam siku ya kwanza ni jumapili Yaum li ahad.
Ijumaa inakuwa siku ya sita.
Na y
Siku ya saba ni jumamosi ambayo ni Yaum sabat.hiyo ya kiama ijumaa ambayo ni siku ya saba ni kwa minajili ipi?
 
Kwenye nyonyo tena ni tundu tisa
Pale zipo tundu nyingi na yapo mawili, damu iliyo kwenye mfumo wa maziwa hayatoki katikati yakatoka pembeni mwa Ile chuchu nyonya siku moja yanatoka mafuta mafuta Si katikati pembeni mule
 
ROnaldo ni namba 7 aliyekamilika.
Siku ya 7 Mungu alipumzika kuumba dunia.
Siku ya 7 7 ni ya wafanyabiashara.
Wanga na walozi timing yao huanza saa 7
Saba yenyewe ikiandikwa imebong'oa.
 
Kuna mbingu Saba
Bahari Saba
Ardhi Saba
Binadamu ana matundu Saba
Kuna siku Saba Katika wiki
Waislamu wanazunguka mara Saba kule Kaaba
Kiama kitatokea siku ya Saba ambayo ni Ijumaa
Waislamu wakiswali wanasujudu kwa viungo Saba,,kwa maana paji la uso na pua moja, vitanga viwili vya mikono, magoti mawili na ncha mbili za vidole vya miguu jumla viungo Saba
Waislamu wanasoma dua maalumu ndani ya swala ina ayah saba

Malizia mwenyewe na mambo mengine unayoyajua

Namba Saba ni UKAMILISHO WA KITU.

Ni hayo tu!
Mungu alipumzika siku ya 7
Mabara yako 7
 
Back
Top Bottom