KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
wakati mwanamke anayo 8Binadamu ana matundu Saba
πππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakati mwanamke anayo 8Binadamu ana matundu Saba
πππππππ
Yatajewakati mwanamke anayo 8
Simba alimfunga horoya sabaKuna mbingu Saba
Bahari Saba
Ardhi Saba
Binadamu ana matundu Saba
Kuna siku Saba Katika wiki
Waislamu wanazunguka mara Saba kule Kaaba
Kiama kitatokea siku ya Saba ambayo ni Ijumaa
Waislamu wakiswali wanasujudu kwa viungo Saba,,kwa maana paji la uso na pua moja, vitanga viwili vya mikono, magoti mawili na ncha mbili za vidole vya miguu jumla viungo Saba
Waislamu wanasoma dua maalumu ndani ya swala ina ayah saba
Malizia mwenyewe na mambo mengine unayoyajua
Namba Saba ni UKAMILISHO WA KITU.
Ni hayo tu!
Na siku ya saba ndo SabatoKuna mbingu Saba
Bahari Saba
Ardhi Saba
Binadamu ana matundu Saba
Kuna siku Saba Katika wiki
Waislamu wanazunguka mara Saba kule Kaaba
Kiama kitatokea siku ya Saba ambayo ni Ijumaa
Waislamu wakiswali wanasujudu kwa viungo Saba,,kwa maana paji la uso na pua moja, vitanga viwili vya mikono, magoti mawili na ncha mbili za vidole vya miguu jumla viungo Saba
Waislamu wanasoma dua maalumu ndani ya swala ina ayah saba
Malizia mwenyewe na mambo mengine unayoyajua
Namba Saba ni UKAMILISHO WA KITU.
Ni hayo tu!
Matundu ya kwenye ngozi, tena mengi sana!Jasho tunatolea na matundu au mashimo?
Mwanaume ni Saba ila mwanamke itakuwa nane,sababu ktk uke Kuna matundu mawiliPua-2
maskio-2
mdomo-1
uume-1
makalioni-1
Totally =7
πKama ni hivyo basi kuna siku moja tu
Saa moja iwe usiku au asubuhi ni Namba 7Kuna mbingu Saba
Bahari Saba
Ardhi Saba
Binadamu ana matundu Saba
Kuna siku Saba Katika wiki
Waislamu wanazunguka mara Saba kule Kaaba
Kiama kitatokea siku ya Saba ambayo ni Ijumaa
Waislamu wakiswali wanasujudu kwa viungo Saba,,kwa maana paji la uso na pua moja, vitanga viwili vya mikono, magoti mawili na ncha mbili za vidole vya miguu jumla viungo Saba
Waislamu wanasoma dua maalumu ndani ya swala ina ayah saba
Malizia mwenyewe na mambo mengine unayoyajua
Namba Saba ni UKAMILISHO WA KITU.
Ni hayo tu!
Kwanini tena?? Wakati 7 ni ukamilifu π[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] sio kweli
ππ€ π€ π€ π€ π€
Hiyo ni kwa binadamu wa kiume na wa kike Au wa kiume peke yake,vipi kuhusu binadamu wa kike mim huwa najua anamatundu nane kwa kuzingatia hoja yako umehesabu sehem ya kutolea mkojo kwa mwanaume pia mwanamke anayo ya kutolea mkojoPua-2
maskio-2
mdomo-1
uume-1
makalioni-1
Totally =7
Kwa akili hii kubwa unafanya nini kinyerezi mwisho ukifukuzia sketi na beer ya buku jero kiongozi , nchi inakuitaji kule wizara ya fedha....abstract thinking kali sana hiiSiku ni illusion mkuu, leo ni jumatatu lakini hakuna kiashiria chochote tangible or intangible kuonyesha leo Jumatatu,
Siku ni illusion mkuu, leo ni jumatatu lakini hakuna kiashiria chochote tangible or intangible kuonyesha leo Jumatatu,