Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
- Thread starter
-
- #81
Ila tutakubalia jambo moja chief,, yapo katika uke wa mwanamkeWrong Tena,
Mwanamke ana matundu nane? Pale chini ukimkagua mwanamke vizuri utaona Kuna matundu matatu.
Mchunguze waif utanishukuru.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] sio kweliTuliozaliwa mwezi wa saba....tutafika mbali
Kuna mambo unaweza usiyaone kwa nacho lkn yapo,,,, mfano upepo au umeme,, tunaona tu ishara zakeNajua mawingu na atmosphere, mbingu ni dhana
Nakuongezea na nabii Mussa aliambiwa afunge siku arobaini ili apewe ujumbe mzitoSaba Cha mtoto.
Mambo iko arobaini.
Za mwizi arobaini,
Mwanamke akijifungua siku ya arobaini ndio mashine inarudi katika Hali ya kawaida na unaweza kupakua mzigo.
Tunafunga siku arobaini.
Tangu jumatano ya majivu mpaka pasaka Ni siku arobaini.
Hahaha,, inatosha Chief duh mpaka pichaKwa urahisi wa uelewa, kuwekwe picha ya kila tundu
ili tuelewa kwa harakaHahaha,, inatosha Chief duh mpaka picha
Basi pua, modomo yote ni tundu moja mana viko usoniJe yote hayapo katika uke wa mwanamke?
SI kweliBinadamu ana matundu Saba
Pua 2Pua-2
maskio-2
mdomo-1
uume-1
makalioni-1
Totally =7
Kama ni hivyo basi kuna siku moja tuSiku ni illusion mkuu, leo ni jumatatu lakini hakuna kiashiria chochote tangible or intangible kuonyesha leo Jumatatu,
Pale zipo tundu nyingi na yapo mawili, damu iliyo kwenye mfumo wa maziwa hayatoki katikati yakatoka pembeni mwa Ile chuchu nyonya siku moja yanatoka mafuta mafuta Si katikati pembeni muleKwenye nyonyo tena ni tundu tisa
Mungu alipumzika siku ya 7Kuna mbingu Saba
Bahari Saba
Ardhi Saba
Binadamu ana matundu Saba
Kuna siku Saba Katika wiki
Waislamu wanazunguka mara Saba kule Kaaba
Kiama kitatokea siku ya Saba ambayo ni Ijumaa
Waislamu wakiswali wanasujudu kwa viungo Saba,,kwa maana paji la uso na pua moja, vitanga viwili vya mikono, magoti mawili na ncha mbili za vidole vya miguu jumla viungo Saba
Waislamu wanasoma dua maalumu ndani ya swala ina ayah saba
Malizia mwenyewe na mambo mengine unayoyajua
Namba Saba ni UKAMILISHO WA KITU.
Ni hayo tu!