Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Mimi nikiongea slow afadhali, nikiongeza spidi tu...ndo basi tenaππKuna jamaa yangu anakigugumizi yeye hanunuagi dakika n sms tu zinamtosha
Unafanyaje mkuu...yaani kuna dawa au mazoezi?kigugumii mbona ukiamua unapona
Unaponaje mkuukigugumii mbona ukiamua unapona
vyote...muone mwanasaikolojiaUnafanyaje mkuu...yaani kuna dawa au mazoezi?
Duh, kigugumizi kinatesa sana....kuna huyo mwamba hadi apige kitu ndo aongee...kwa hiyo akiwa anaongea unakaa nae mbali kidogo, la sivyo utakula mabanzi ya maana....Nawafahamu wawili wanavyo, ila ni vyakawaida, sio vikali sana.
1. Kimemfanya anaongea haraka, sometimes haeleweki.
2. Kimemfanya anaongea taratibu. Maskini mdogoangu,
anaweza ongea af akanyamaza ghafla ukadhani kamaliza,
ukianza kuongea nae anarudi ulingoni. Huyu hafanyi
kukwama kwama kwa maneno, pumzi inakwambia kifuani
kabla hajayasema, so kikimshika anakua kimya kabisa
kwa sekunde kadhaa.
Angalau...na wish nikuone unavyo'haso' kutamka maneno ππMimi ninacho
Mi nazani kigugumizi kupona ni Mungu tuu, Europe and Usa wana the best speech therapists lakini bado watu wa vigugumizi wapo kibao tuu.vyote...muone mwanasaikolojia
Dah bongo bana....yani unafurahia matatizo ya mwenzako.Angalau...na wish nikuone unavyo'haso' kutamka maneno ππ
ila ukimuwahi akiwa mtoto inakuwa rahisi zaidi..Mi nazani kigugumizi kupona ni Mungu tuu, Europe and Usa wana the best speech therapists lakini bado watu wa vigugumizi wapo kibao tuu.
Watu wenye kigugumizi wana hasira balaa.Mimi nikiongea slow afadhali, nikiongeza spidi tu...ndo basi tena[emoji23][emoji23]
Yes ni kweli kabisa kuna vingine ukiwahi ukiwa mtoto unapona. Sema hua utaratibu bongo hatuna.ila ukimuwahi akiwa mtoto inakuwa rahisi zaidi..
vigugumizi vingi bongo huwa ni ile watoto wanaona fasheni wanaanza kuigana mwishowe inakuwa tabia
Ni utani tu mkuu...by the way hatuchekani sote ni walewale....Dah bongo bana....yani unafurahia matatizo ya mwenzako.
ndomana umeme ukikatika mnachunguli kama na kwa jirani haupo halafu kama haupo mnafurahi na kuridhika kabisa
Utasikia tu.... hi...hi....hi...hivi...una....una...unani...una (hapo ushashushiwa vibao kama saba hivi)Watu wenye kigugumizi wana hasira balaa.