Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Wakuu,
Habari za muda huu......, nyie wapenda shikamoo hamlambi shikamoo yangu hata kwa dawa...
Nisikuchosheni,
Kuna kitu kidogo tu napenda tujadili kidogo... hivi wewe umeshawahi kukutana na mwanamke mwenye kigugumizi? Katika maisha yangu yote niliyoishi (sijala chumvi nyingi, ni kama pakiti tatu na nusu tu hivi) sijawahi kukutana na mwanamke mwenye kigugumizi.
Mimi kama mwanaume mwenye kigugumizi napata hasira kuona hadi sasa sijawahi kukutana na mwanamke mwenye kigugumizi.
Kwa nini tuteseke sisi tu?
Hivi kweli kuna wanawake kwenye kigugumizi kweli?
Wanafananaje?
Uzi tayari...
Habari za muda huu......, nyie wapenda shikamoo hamlambi shikamoo yangu hata kwa dawa...
Nisikuchosheni,
Kuna kitu kidogo tu napenda tujadili kidogo... hivi wewe umeshawahi kukutana na mwanamke mwenye kigugumizi? Katika maisha yangu yote niliyoishi (sijala chumvi nyingi, ni kama pakiti tatu na nusu tu hivi) sijawahi kukutana na mwanamke mwenye kigugumizi.
Mimi kama mwanaume mwenye kigugumizi napata hasira kuona hadi sasa sijawahi kukutana na mwanamke mwenye kigugumizi.
Kwa nini tuteseke sisi tu?
Hivi kweli kuna wanawake kwenye kigugumizi kweli?
Wanafananaje?
Uzi tayari...