Hivi umeshawahi kukutana na mwanamke mwenye kigugumizi?

Mimi kuna mdada nimekutana nae ni bubu halafu kiziwi. Yaani nilikua sijui kua mdada mzuri kama yule anaweza kua bubu🙄 kweli Mungu hakupi vyote
Dunia ina changamoto sana, Kuna sister angu mmoja sasa hivi hasikii kabisa...amepata shida hiyo mwaka jana baada tu ya kuhitimu elimu ya juu.
Sasa hivi anajifunza kuishi katika mtindo mpya wa maisha...inasikitisha sana.
 
Mi nilikuwa namuiga sister yangu kwa utani baadaye kikawa kinakuja ukweli. Nikijaribu kuongea vizuri nashindwa kabisa. Aisee nilikoma kabisa.
 
Wapo mbona??!
 
Wanawake wapo ila ni wachache sio kama wanaume
 
Njoo ukutane nami
 
Unafanyaje mkuu...yaani kuna dawa au mazoezi?
Ni mazoezi ya kuongea, jifunze kuongea taratibu weka pose ukiona unakwama. Imenichukua muda mrefu sana kukipunguza, sasa hivi sikifikirii sana kama zamani yaani ilikuwa ikibidi niende sehemu kama ni kwenye maofisi au sehemu ya muhimu lazima nikose usingizi kuwaza nitaongeaje.
Siku hizi hadi nasahau kama nina kigugumizi ila huwa kinakuja nikiwa nina hasira au uwoga .
Sitasahau nilivyoshindwa kuongea hata neno moja kwenye interview ya Zantel..nilinyanyuka na kuondoka.
 
Vigugumizi hutokana na kinyama Fulani kilichopo chini ya ulimi kujishika na kufanya ulimi usinyanyuke kwa ukawaida wake, mm mwanangu aliazaliwa akiwa hivyo na alipozaliwa tu nikamwambia mama yake ampitishe kidole chini ya ulimi maana kile kinyama huwa kidogo sana kwa hiyo ukipitisha kidole kinatoka,


Kama ikitokea ukagundua kile kinyama kipo na mwanao amefika umri wa miezi kadhaa mpeleke hospitali , kuna muda maaalu wa kumkata ukichelewahawezi tena kukata kwa maana kinakuwa kishaweka damu, dalali moja ya kumjua mwanao kama anacho hicho kinyama hutoa sana udenda(mate) .

Lkn sio kila kigugumizi husababishwa na kile kinyama , vingine cjui chanzo chake

Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu umenikumbusha mwaka 2018 ambiance tunapiga maji na chalii zangu sasa kilaji kimekolea macho yakagongana na huyu manzi ni mkali nikasema leo ni leo inshort katika harakat za kumpigisha sound nikaja gundua ni bubu akanipa no yake ikawa ni chattings nilipiga moyo konde nikamla bila huruma na alikuwa ni mtamu haswa na mpaka kesho ni rafiki yangu mkubwa [emoji23][emoji23].
 
Duhh poleehh myy
Ni ulikua hivyo tangu mdogo ama kilikujaje and how does it feel?..like pumzi inakata au ni ulimi hausogei?
I cant imagine.,
 
Duh, kigugumizi kinatesa sana....kuna huyo mwamba hadi apige kitu ndo aongee...kwa hiyo akiwa anaongea unakaa nae mbali kidogo, la sivyo utakula mabanzi ya maana....
Hayo ni mazoa ambayo yeye kajizoesha
 
Wapo wengi sana boss, nimekuwa nao wengi sana hao wanawake, lakin wengi wao wanakuwa na vigugumizi vya kuongea haraka haraka usipowasikiliza vizuri umepitwa na habari.

Mim nilikuwa ninakigugumizi kikali tena chakukwama kwama kama bubu kwa miaka 22 yaan nilikuwa naona aibu sana kuzungumza mbele za watu. Nikakifanyia mazoez adi sasa kimeisha. Nipo comfortable naongea vyema kabisa
 
Walimbwende wao wana kile ki THAA, THAA, THAA
 
Duhh poleehh myy
Ni ulikua hivyo tangu mdogo ama kilikujaje and how does it feel?..like pumzi inakata au ni ulimi hausogei?
I cant imagine.,
Thanks. Nilivyokuwa mdogo ilikuwa balaa zaidi nikitaka kuongea hadi nipige mguu chini, yaani nitahangaika hapo utanionea huruma, pumzi sijui nini inakata kabisa nashindwa kuongea. Now kipo ila nimeweza kumanage kuongea kwa pozi, ila nikiwa na hasira au uwoga kinakuja kwa kasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…