Hivi umeshawahi kukutana na mwanamke mwenye kigugumizi?

Naomba namba ya mdogo wako
 
Yaweza kua ni anxiety ndiyo imesababisha hivyo
 
Hiyo njia ya kuongea taratibu inanisaidia sana, yaani naongea kama vile nimechoka kuongeaπŸ˜€πŸ˜€. Kumbe nikikazana hivi kitaisha chenyewe sio..
Ila kama usemavyo, nikiwa na hasira kinakuja kwa kasi kiasi nashindwa hata kuongea. Ila utaona jicho jililivyoiva kama nyanya...
 
Achana na kigugumizi, Kuna wale madem ukiwa unawagegeda wakinogewa wanaanza kuongea vusivyoeleka au vusivyohusiana.

Utasikia "SIJAWAHI KIFANYA, NI WEWE TU, HAKIYAMUNGU SIJAWAHI..SITAKUSALITI..NINAAPA MBELE ZA MUNGU, UNANIFIKISHA..NITAKUWA NAKUPA KILA UKITAKA NISAMEHE KWA LEO..NAOMBA UNISAMEHE. SIJAWAHIIII MMMIMMIIII..WEWWWEEE NDDOO WA KWANZAAA.."

wakati huo umekuta mbunye Ni Hollywood (hole) afu anakwambia hajawahi kufanya..shenz kabisa
 
Duh, kigugumizi kinatesa sana....kuna huyo mwamba hadi apige kitu ndo aongee...kwa hiyo akiwa anaongea unakaa nae mbali kidogo, la sivyo utakula mabanzi ya maana....
Acha kutunanga aisee, anakupigaje banzi??
 
Nilikesha kwenye internet kusoma jinsi ya kuongea na kukipunguza. Nashukuru imenisaidia sana.
Siku hizi nikiwa na hasira siongei ila Kama najibizana na mtu kwa msg atajuta kuzaliwa ninavyoporomosha maneno [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Acha kutunanga aisee, anakupigaje banzi??
Ili apate 'stata' ya kutamka maneno.... zamani tukiwa wadogo tulikuwa tunamtania, akianza kuongea mnamwambia "subiri", mnamsogeza kwenye mti au ukuta au kitu chochote anachoweza kukipiga ili aweze kuongea then mnamwambia "haya, endelea sasa"πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ila sasa hivi naona kinapungua.
 
[emoji3][emoji3] wabaya sana nyie
 
Kipindi nipo chuo nilikuwa na rafiki mwenye kigugumizi..akiongea Mara ya kwanza Kama hukumuelewa ukamuuliza tena basi atapiga kelele hiyo..anamalizia na neno "nyama weeh"..nilikuwa nacheka Sana .
 
Kipindi nipo chuo nilikuwa na rafiki mwenye kigugumizi..akiongea Mara ya kwanza Kama hukumuelewa ukamuuliza tena basi atapiga kelele hiyo..anamalizia na neno "nyama weeh"..nilikuwa nacheka Sana .
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Aiseeee.....
 
Wapo wengi, ila pozi zao hutoweza kugundua kama anacho...

Ila kuna mmoja namfahamu yeye kuongea mpaka ajipige pige hips ndiyo maneno yanatoka...



Cc: mahondaw
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Aiseeee.....
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nimemiss kelele zake..dah!!
Alikuwa akiongea neno Kuna muda anakwama Sasa nilikuwa namsaidia kumalizia neno analotaka kutamka..mfano tulienda..anavyoivuta Sasa..namwambia enhee mlienda..uwii alikuwa anachukia πŸ˜‚πŸ˜‚ ..nakumiss Mary wngu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…