financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Hakika kujishusha ni muhimu na si ujinga, wote mkipanda mtaishia kuumizana tu, wengine tunaogopa afu wanaume mlivokomaa hivo eti umletee jeuri si atakuua mmh ugali bado naupenda mimi🤪Na mwanamke kama wewe ni ngumu Sana kupigwa. Wanaume wengi hatuna hasira za juu kwa mwanamke anayejishusha.
My x alikuwa akiona amenikasirisha anaomba msamaha. Halafu Sasa baadae Sana au siku nyingine ndipo anaanza kunieleza kwa upole, kwa heshima na adabu kwa Nini alifanya vile.
Eeh unaelekezea wapi boss nije nipate mafunzoNjoo nikufundishe
Uendelee kuwa na busara hivihivii, mwenye nawe aendelee kukufaidiHakika kujishusha ni muhimu na si ujinga, wote mkipanda mtaishia kuumizana tu, wengine tunaogopa afu wanaume mlivokomaa hivo eti umletee jeuri si atakuua mmh ugali bado naupenda mimi[emoji2957]
Hahaaaaaa physicallyEeh unaelekezea wapi boss nije nipate mafunzo
Eeh nomaHahaaaaaa physically
Hahah!njia yako ya usuluhishi nmeipenda.I wish I could be ur partiner!!!tutafanya namna tukupe kakitengo pale UNSasa vita huiwezi mkuu na ukizembea unapigwa kweli, ni kujiongeza tu hadi ilikua akiona amekasirika anaanza kucheka tu maana anajua kitakachofuata ni bonge la kiss na kumbato😂😂
Mmh waafughanistans hawaelewi mambo ya makumbato na kisses ni mabomu tu akaa siendi😂
Siku hizi magonjwa mengi ukjona kama ana kuzingua unampiga chini.Tupe na Experience alizingua nini?[emoji23]
Mimi niliiba simu yake nikazama kwenye Messages. Kufanya upembuzi nikakuta anachati na mwamba anamsifia eti ni mtamu! [emoji23][emoji23]
Nikamuuliza huyu nani? Akabaki kimya! Nilimrukia buti kama la Van damme [emoji2]. Nilimpiga mpaka akazima.
Eti akataka kunipeleka Polisi, baadaye familia ikaongea na familia yao wakayamaliza. Ikapita kama mwezi hivi tukaja kukutana nikamuomba msamaha akakubali tukarudiana [emoji2]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]unachekeshaga wwHakika kujishusha ni muhimu na si ujinga, wote mkipanda mtaishia kuumizana tu, wengine tunaogopa afu wanaume mlivokomaa hivo eti umletee jeuri si atakuua mmh ugali bado naupenda mimi[emoji2957]
Usiwe mkorofiNaomba nisipigwe eh Mungu nisaidie .
Alileta mazoea ya kifala tuKisa?
Uliua mtoto tumboni unatakiwa ushtakiwe upigwe mvua mia saba.Aisee niliwahi mpiga dem wangu Nikahisi nimeua sitowahi rudia, maana skuhyo ndo nlijua hasira hasara. Inshort wanawake ni kama watoto kuwaelewa ni kazi sana, Nakumbuka Nilikua naongea na mteja wangu alipiga cm usiku ni mwanamke kuna mzigo alihitaji kuupata alfajiri sana afu n hela nyingi kiasi. Ile naongea nae hatujamalizana dem kanipokonya cm anamtukana bila kuuliza aisee, mixer kukata cm. Nilimpiga makofi kwa hasira nakumbuka alikua mjamzito mimba ya wiki mbili. Iliharibika dam zinavuja analia tu nikaanza kuhangaika usiku ule kutafuta usafiri saa kuwahi hospital. Nilijua nimeua maana alizimia, Mpaka Leo sijawah kudhubutu tena . Akinikwaza huwa naondoka tu kukaa mbali kwa mda then narudi hasira zikiisha.
Usiwe mkaidi tuNaomba nisipigwe eh Mungu nisaidie .
Mungu atupe utulivu wa moyo .Usiwe mkaidi tu
Naweza kukasirika kwa upesi , hii ni sababu ya mood swings otherwise nipo mtulivu .Usiwe mkorofi
OkayNaweza kukasirika kwa upesi , hii ni sababu ya mood swings otherwise nipo mtulivu .
Mwanaume dhaifu tu ndio anapiga mwanamkeTupe na Experience alizingua nini?[emoji23]
Mimi niliiba simu yake nikazama kwenye Messages. Kufanya upembuzi nikakuta anachati na mwamba anamsifia eti ni mtamu! [emoji23][emoji23]
Nikamuuliza huyu nani? Akabaki kimya! Nilimrukia buti kama la Van damme [emoji2]. Nilimpiga mpaka akazima.
Eti akataka kunipeleka Polisi, baadaye familia ikaongea na familia yao wakayamaliza. Ikapita kama mwezi hivi tukaja kukutana nikamuomba msamaha akakubali tukarudiana [emoji2]
Safi sana kakanguMimi kupiga mwanamke siwezi japo ni mkurya,sitaki kuwa kama wazee wangu ila niko radhi nimuachie mwanamke nyumba kama hanipi amani na nikaendelea na maisha mengine...kumpiga mwanamke sio sahihi ni kumuonea coz hawezi kupambana na wewe
Nyie hamuudhi kwani! Mnakera sana kujiona hamkosei ila mnakosewa tuu. Huyo mkurya ni mwanaume kamiliHahahaha Tata muraa Hawa viumbe wanauzi . Ila unamoyo wa pekee mkuu amani ya bwana iwe nawe