Hautapelewi ,that's a business man?Kwahiyo mm nitapeliwe halafu nimtafute mtu mwingine atapeliwe kwa kigezo cha mm kurudishiwa hela yangu ?[emoji706][emoji706]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hautapelewi ,that's a business man?Kwahiyo mm nitapeliwe halafu nimtafute mtu mwingine atapeliwe kwa kigezo cha mm kurudishiwa hela yangu ?[emoji706][emoji706]
Wao wanaona wako kwenye "raiti traki" ( in Magu's voice).Ukisiliza habari hii unaona kabisa kuna shida, tena inaonekana hadi kufika kwa vyombo vya habari hawa vijana hawajui kama wameibiwa pesa zao.
Goodmorning billionaire!
Na wengine ni wasomi, hili jambo wameshindwa kuling'amua kuwa wanaimbiwa pesa zao. Wengine wazazi wao wameuza mashamba... tusilaumiana ila hili jambo linapaswa kutupa changamoto ya kupata elimu juu ya hizi biashara na mambo yanayofanana na hayo.Wao wanaona wako kwenye "raiti traki" ( in Magu's voice).
Wanatia huruma yaani.[emoji3][emoji3][emoji3]Nilimsikia yule dada ni kiazi kweli kweli
😂😂😂Goodmorning billionaire!
Ha ha ndo hivyo...kuna jamaa yangu alikuwa ananishawishi,nilimchana kwamba ww ushaingizwa chaka hivyo na ww unatafuta mtu wa kumuingiza chaka.QNet wanatafuta kilaza mmoja wanampiga na wanamwambia akatafte kilaza mwingine wampige
Sasa Mwanza napo ni town? Wasukuma buana.😀😀... kabisa kabisa, Kishimbe wa Kishimbe ni msukuma! ... shida ni kwamba mimi ni msukuma born town, yaani nimezaliwa mtaa wa Karuta, Mwanza city, Primary school Nyakabungo, Secondari Mwanza seko, High school Tambaza .... !
UTANIPATA WAPI?
😅😅😅😅
Mbongo akikuitia fursa basi ujuwe wewe ndio fursa yenyewe.Wanatia huruma yaani.
Wakati wa Mchonga na Sokoine (RIP) Mwaka 1984 serikali ilikuja na kamata kamata ya wafanyabiashara waliokuwa wanauza bidhaa zaidi ya bei kikomo.. Wakaitwa WALANGUZI na kitendo chenyewe kikaitwa ULANGUZIHivi unaanzaje kuwashitaki QNET?
Kikwelikweli kabisa QNET ni matapeli wanaotumia 'FEARS' za mtu kupitia njia ngumu ya kuupanda mlima mkali na mrefu kuyafikia mafanikio kwa kumpa 'shortcut' hewa! ... LAKINI, KWELI KABISA, HAWASHITAKIKI!
Wanachofanya QNET ni biashara halali kabisa ya kumuuzia mtu bidhaa, kwa ridhaa yake kabisa, na kisha kumuambia mteja kuwatafutia wateja wengine ili wakupe cha juu! ... na kadri unavyo'WALETA'[emoji28] wengi zaidi ndo unvyozidi kunufaika! ... yaani nikinunua mali ya shillingi million tano, japo bei halisi ni elfu hamsini, na nikawashawishi wengine kibao, basi naweza kupata hata million mia moja ... na hawakunyimi!
BIDII YAKO TU! [emoji28] WALETEE!
SASA WADAU HEBU NIAMBIENI, HASA WANASHERIA, TUNAWAFUNGULIA MASHITAKA QNET KWA VIFUNGU GANI VYA SHERIA?
NB: HAWA JAMAA WANA LESENI HALALI YA BIASHARA NA SERIKALI INAWATAMBUA! ... AMMA NIMELISHWA MATANGO-PORI?
WADAU, MJADALA HUO MEZANI HEBU LETENI HOJA TUKAWASEMEE HAWA QNET KWA MAMA!
UPDATE:
UKIPATA MUDA NA MB[emoji28]:
Niliwahi kuitwa na ndugu yangu flani kuwa kuna fursa maeneo ya Mwenge Dar es Salaam Tz. Kufika nikaanza kuuliza ni fursa ya nini, wananijibu wewe tulia tu. Hahaha baadae nkaanza kusikia habari za Good morning nkajua tu nshaingia cha kike. Nilisepa bila kuagaSister angu nilimshauri Sana Hawa watu MATAPELI, alliance hao, akanambia yaan ww siku ukiniona nimefanikiwa ndo utaamin, akapeleka laki Tano za kuniunga nikaona karudi na fuko limejaa madawa[emoji23].
Kazi ikawa kwake kuzitembeza na kuziuza kwa watu Ili arudishe pesa yake na faida.
Hadi Leo ninapoandika hapa huu ni mwaka wa nne hakumpata mteja hata mmoja [emoji23],dawa zenyewe gharama. Kweli, amebaki navirutibisho tu anawapa wanae[emoji23][emoji23]
Watu hawapo serious na hela zao kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna wale madogo wa mbezi walikuwa wanahojiwa...mmoja akasema yeye amenunua centa kwa million tano, mi nikajua hiyo centa ni gari...
Kumbe chakula!![emoji23][emoji23][emoji23]
Hii Desi kuna ndugu yangu alikuwa ananiforwadia mimessage yao wattsap kika mara mpaka kero.Mimi mama mkwe wangu alinikaribisha Qnet anile kichwa, kumbe mi ni muhuni kitambo, nikaenda nikala goodmorning za kutosha Halaf nikapita hivi. Wapo wengi, Ori flame, gnld, free cell, forever, desilake
Wamekuwa brain washed huwaambii kituWatu hawapo serious na hela zao kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
Hela yenyewe ilivyo ngumu hivi.
Bora hata angeenda kununua ka kiwanja baada ya muda angeona faida yake.
Yalishapita hayo, siku hizi kuna biashara huria, tena siku hizi Serikali ndio mteja mkuu wa biashara ya kulanguliwa bei.Wakati wa Mchonga na Sokoine (RIP) Mwaka 1984 serikali ilikuja na kamata kamata ya wafanyabiashara waliokuwa wanauza bidhaa zaidi ya bei kikomo.. Wakaitwa WALANGUZI na kitendo chenyewe kikaitwa ULANGUZI
Mashushushu wa serikali walitawanywa nchi nzima kuwakamata walanguzi.. Ni kosa kisheria kumuuzia mtu kitu juu ya bei kikomo. Qnet wanaweza kushtakiwa kwa hilo