Hivi unadhani kwanini nyakati hizi wanaume wengi wamekumbwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume tofauti na zamani?

Hivi unadhani kwanini nyakati hizi wanaume wengi wamekumbwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume tofauti na zamani?

Habari wadau?

Husika na kichwa cha habari hapo juu. Napenda niende moja kwa moja kwenye mada.

Hivi unadhani kuwa ni kwanini nyakati hizi wanaume wengi wamekumbwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiumee tofauti na zamani?

Yaani sasa hivi asilimia kubwa ya wanaume hasa vijana hawezi kufanya mapenzi bila kitu cha kuji-boost kidogo, kila mtu na cha kwake, wengine pombe wengine nawasikia wakisema alkasusu, ugoro, viagra, vumbi la congo n.k

Tatizo lipo wapi? Ni mfumo wa maisha, lishe (artificial foods not nature), mazingira, au mwanamke mkizoweana na nguvu zinapungua?

Mimi nina ushuhuda wa mzee mmoja ana miaka kama 70, ni jamaa yangu sana na ni mtani wangu pia. Siku moja nilimuona anaingia guest na kibinti (yeye kinamwita babu) kwa sababu ofisi yangu ipo karibu na hiyo guest waliyoingia. Nilishangaa Sana kwakuwa mke wake nae tunafahamiana, na ana watoto wakubwa tu aliozaa nae wanakizidi hata hicho kibinti alichoingia nacho nyumba ya wageni.

Mimi niliendelea na shughuli zangu, ikapita kama lisaa limoja na nusu nikawaona wanatoka akauchukulia boda huo mchepuko wake ukasepa. Aliponiona tu akashtuka akanifata nilipo, tukasalimiana akaanza kuniuliza huku anajishtukia, "Kumbe Ofisi yako huwa ipo apa?". Nikamwambia ndio mtani, naona leo ulikuwa matembezi kidogo!? Akasema, Ndio, najua umeshangaa kwa kilichotokea lakini sisi wote ni wanaume, kwaio yaishie hapa hapa. Nikamwambia mimi sipo hivyo mzee kuwa na amani.

Mzee wa watu akaanza kufunguka, akasema, "Unajua kijana wewe ni mwanaume kama mimi siwezi kukuficha. Mimi na mama yako huyo tuna miaka mingi mno, Sasa hivi imefika mahali jogoo hawiki ndani, na mambo hayaendi. Nikaona ili nijiridhishe kuwa nina tatizo au la, ngoja nijaribu nje ndio ntajua". Akasema kuwa yule binti niliye muona ni binti wa chuo, alijipendekeza siku moja akasema huyuhuyu ndio ntamfanyia practical.

Akasema tena kuwa walivyoingia tu chumbani yule binti alisaula nguo zote, na hivi alikuwa na rangi ya Kinyaturu, mzee alivyoiona tu mashine ya dogodogo mtambo ukaenda hewani wenyewe, bila hata ya kushikiliwa, na wakati kwa mkewe anasema mpaka waandaane lisaa zima na nusu napo kuingiza mpaka kwakuishikilia ndio inaingia ikiwa imetepeta. Mzee alisema alijihisi amekuwa kijana ghafla na alipiga zile shoo zake za miaka ile enzi za ujana wake, japokuwa ni kwa kujitutumua mno. Hapo mzee akasema kumbe tatizo Sio yeye tatizo ni mke wake".

Naishia hapo wadau.
Nini mtazamo wako?
Matatizo ya nguvu za kiume ni matatizo ya Dar es Salaam.

Usichukue matatizo ya watu wa Dar ukayafanya ya nchi nzima.

Dar wanapata matatizo kama hayo kutokana na LISHE DUNI.

Dar es Salaam vyakula ni viporo na maisha yamejaa STRESS balaa.
 
Asante sana mkuu. Nimekuelewa vizuri sana, Sasa tunapokuja kwenye hili swala la kuzoweana mmeishi muda mrefu, mmesha zaa, inafikiaga kipindi wanasema mke unamuona kama dada yako vile. Hata kama akisaula nguo zake zote chumbani huku unamuangalia kitu haikusimami, lakini ukimuonea mdada wa watu kwa bahati mbaya, labda nguo imemdondoka au imepulizwa na upepo wakati anatoja kuoga ukaona tu lile paja kwa juu kidogo, mishipa yote inasimaa. Hii unaiongeleaje mkuu.
Nadhani hii imekaa kisaikolojia zaidi mind zetu kuna picha zainatunzwa huko sasa ukimwangalia mkeo kale ka memori ulikotunza kuchwani wakati unamwoa enzi hizo hakasomi. Akipita mtu mwenye sifa kama alizokuwa nazo mkeo enzi hizo lazima mapigo ya moyo yabadilike kidogo 😂😂
 
Nadhani hii imekaa kisaikolojia zaidi mind zetu kuna picha zainatunzwa huko sasa ukimwangalia mkeo kale ka memori ulikotunza kuchwani wakati unamwoa enzi hizo hakasomi. Akipita mtu mwenye sifa kama alizokuwa nazo mkeo enzi hizo lazima mapigo ya moyo yabadilike kidogo [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Matatizo ya nguvu za kiume ni matatizo ya Dar es Salaam.

Usichukue matatizo ya watu wa Dar ukayafanya ya nchi nzima.

Dar wanapata matatizo kama hauo kutokana na LISHE DUNI.

Dar es Salaam vyakula no viporo na maisha yamejaa STRESS balaa.
Sawa mkuu. Lakini mbona hata vijijini kuna baadhi ya wanakijiji unakuta nae anapitia situation kama hiyo mkuu? na wakati wao ndo huwa wanasifika kwenye hayo mambo. Wanasemaga mwanaume wa kijijini akimkamata mwanamke wa mjini mbona ataomba poo,,!! Umkute hasa yule muangusha magogo porini kwa ajili ya mikaa,, inakuwa hapatoshi.
Lakini nawao nasikia hamna kitu.. Sasa sijui tatizo ni lishe au saikolojia?
 
Tatizo ni utandawazi. Zamani wanawake walikuwa hawaridhishwi na wanaume lakini hawakulalamika. Sasa hivi wanaambiwa ili ulidhishwe mwanamume afanye saa zima. Akitoka hapo anenda kusimuliana na mashoga zake wanajazana ujinga na uongo juu.
Zamani wanawake walijua lengo la kuolewa ni kuzaa basi, ndiyo sababu makabila mengine yalikuwa yanawakeketa. Kila mwanamke ana njia yake ya kuridhishwa, sasa akisikiliza stori za wengine utasikia akisema " kumbe kama ni hivyo mimi sijawahi kufikishwa kileleni."
 
Sawa mkuu. Lakini mbona hata vijijini kuna baadhi ya wanakijiji unakuta nae anapitia situation kama hiyo mkuu? na wakati wao ndo huwa wanasifika kwenye hayo mambo. Wanasemaga mwanaume wa kijijini akimkamata mwanamke wa mjini mbona ataomba poo,,!! Umkute hasa yule muangusha magogo porini kwa ajili ya mikaa,, inakuwa hapatoshi.
Lakini nawao nasikia hamna kitu.. Sasa sijui tatizo ni lishe au saikolojia?
Unasikia wapi ??

Matatizo ya nguvu za kiume yapo kila sehemu lakini siyo kwa kiwango kikubwa kama ilivyo Dar.

Huku vijijini hayo matatizo ni ya kuhesabu sana, tena mara nyingi ni wale ambao ni hanithi kabisa ( walizaliwa hivyo )
 
Tatizo ni utandawazi. Zamani wanawake walikuwa hawaridhishwi na wanaume lakini hawakulalamika. Sasa hivi wanaambiwa ili ulidhishwe mwanamume afanye saa zima. Akitoka hapo anenda kusimuliana na mashoga zake wanajazana ujinga na uongo juu.
Zamani wanawake walijua lengo la kuolewa ni kuzaa basi, ndiyo sababu makabila mengine yalikuwa yanawakeketa. Kila mwanamke ana njia yake ya kuridhishwa, sasa akisikiliza stori za wengine utasikia akisema " kumbe kama ni hivyo mimi sijawahi kufikishwa kileleni."
Uko sahihi kabisa
 
Hakuna mwanaume ambaye hana nguvu za kiume,Bali wanaume wengi siku hizi hawana juhudi binafsi.

Juhudi binafsi ni mwanaume kujituma katika tendo la ndoa kuhakikisha mwenza analizika,ukiwa na nia hyo nguvu ztapatikana tu.
 
1.Mionzi ya simu
2.Uvaaji wa nguo za ndani za kubana viungo vya uzazi.
3.Ulaji usiofaa.
4.Historia ya kuwahi kujichua.
5.Kuangalia video/picha za ngono mara kwa mara.
6.Kutamani maungo ya wanawake wengine/miziki yenye pornographic scenes.
7.Unywaji wa pombe kupita kiasi na uvutaji wa tumbaku.
8.Tabia za kuchepuka chepuka nje au ndani ya ndoa.
9.Kupendelea kujipaka malashi/mafuta makali wakati wa kulala /kujifunika shuka mkiwa na mwenza wako..
10.Matumizi ya muda mrefu ya dawa za chemikali.
11.Matumizi ya dawa za kuongeza nguvu za kiume.
12.Kufanya kazi ngumu bila kupumzika/kutokulala kwa muda mrefu.
13.Ukosefu wa hewa safi ndani ya nyumba /matumizi ya muda mrefu ya viyoyozi....
14.Tabia ya kutokufanya mazoezi ya mwili walau mara mbili kwa wiki.
Ingawa kuna sababu nyingine uenda zisieleweke kwa leo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23],, Lakini mapenzi ni usafi mkuu,, utafanyaje na mtu mchafu, au mwambie ukweli ukiona kuwa labda utamuudhi mnunulie pafyum, roshen, mafuta ya manukato mazuri yale unayopenda kuyasikia harufu yake kama ana akili yeye mwenyewe atajiongeza.

Wakati mwingine hata uchafu wa wanawake pia unachangia kwenye swala hili la nguvu za kiume. Unakuta mdada kipindi cha uchumba/ wakati unamtongoza alikuwa msafi mpaka mwenyewe unamtamani, muweke ndani sasa,,, akishakuzalia ndio balaa,,
Hapo kwenye usafi nakuunga mkono,mwanzoni hata akiwa kwenye siku zake hujui,sasa ngoja mzoeane,hukawii kukuta katoa pamba maeneo huko kalikweka kitandani,hapo nguvu mzee lazima zirudi kwao...
 
Hakuna mwanaume ambaye hana nguvu za kiume,Bali wanaume wengi siku hizi hawana juhudi binafsi.

Juhudi binafsi ni mwanaume kujituma katika tendo la ndoa kuhakikisha mwenza analizika,ukiwa na nia hyo nguvu ztapatikana tu.
Sawa mkuu. Na je, yule ambae anasema kuwa yeye akiiona ya mkewe pampu yake haisimami, eti kisa tu wameishi miaka mingi na wameshazoweana, lakini huyo huyo akiiona ya mchepuko mpya ambae hajawahi kumgegeda pampu inasimama mpaka inamuuma, na kwenye show anapiga vizuri tu tena bila wasiwasi na mchepuko unaridhika tofauti na kwa mkewe.
Hii unaiongeleaje? Kuna juhudi binafsi hapo mkuu?
 
Mzee katumia utu uzima wake kukuteka akili na kafanikiwa Sana

Nguvu za kiume Ni changamoto ya ki saikolojia na upigaji puchu
Mfano wa tatizo la saikolojia ni kwahuyo mzee wako
 
Lakini Mkuu kama mambo hayaendi vizuri ndani hata pesa hautoionea raha yake. Kuna matajiri huko mitaani wanaegegedewa wake zao Sio mchezo na pesa wanazo. So pesa Ina nafasi yake na Nguvu za kiume Zina nafasi yake.

Wengi walisema hivyo huku wakiamini kuwa pesa ndio kila kitu, mwisho wa siku penzi/ ndoa zao ziliishia pabaya. Kama Sio kusalitiwa ni kuachana au kufanyiwa mambo yaajabu. Kumbuka na mwenzio nae ni kiumbe, ana hisia pia, anatamani kuridhishwa kama wewe unavyoridhika. Ipo siku atajaribu nje, akikutana na wale mabaharia waliojitoa muhanga umekwisha.
Hata hao wenye nguvu za kiume wanagongewa na wenye hela,so bora utafute hela.
 
Back
Top Bottom