Hao wajaribu kubadiri mazingira yao ya kufanyia sex na mtindo wa kuandaana (waanze kuandaana kiakili kwanza kabla ya kuandaana physically)Sawa mkuu. Na je, yule ambae anasema kuwa yeye akiiona ya mkewe pampu yake haisimami, eti kisa tu wameishi miaka mingi na wameshazoweana, lakini huyo huyo akiiona ya mchepuko mpya ambae hajawahi kumgegeda pampu inasimama mpaka inamuuma, na kwenye show anapiga vizuri tu tena bila wasiwasi na mchepuko unaridhika tofauti na kwa mkewe.
Hii unaiongeleaje? Kuna juhudi binafsi hapo mkuu?
Tukupe umoderator? Wenye platform wenyewe wapo kimya unatumia freebasics unapanua kinywa na kushupaza mishipa ya shingoHuu ujinga kulikuwa na haja gani ya kupost picha ya uchi,hebu jaribu kuiheshimu hii platform ya JF.
Nililitegemea hilo kutoka kwako,kwani hapo ndipo uwezo wako wa kufikiri ulipo ishia.Tulupe umoderator? Wenye platform wenyewe wapo kimya unatumia freebasics unapanua kinywa na kushupaza mishipa ya shingo
Sasa kama ulitegemea yanini kushadidia jambo ambalo unalijua tayariNililitegemea hilo kutoka kwako,kwani hapo ndipo uwezo wako wa kufikiri ulipo ishia.
Habari wadau?
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Napenda niende moja kwa moja kwenye mada.
Hivi unadhani kuwa ni kwanini nyakati hizi wanaume wengi wamekumbwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiumee tofauti na zamani?
Yaani sasa hivi asilimia kubwa ya wanaume hasa vijana hawezi kufanya mapenzi bila kitu cha kuji-boost kidogo, kila mtu na cha kwake, wengine pombe wengine nawasikia wakisema alkasusu, ugoro, viagra, vumbi la congo n.k
Tatizo lipo wapi? Ni mfumo wa maisha, lishe (artificial foods not nature), mazingira, au mwanamke mkizoweana na nguvu zinapungua?
Mimi nina ushuhuda wa mzee mmoja ana miaka kama 70, ni jamaa yangu sana na ni mtani wangu pia. Siku moja nilimuona anaingia guest na kibinti (yeye kinamwita babu) kwa sababu ofisi yangu ipo karibu na hiyo guest waliyoingia. Nilishangaa Sana kwakuwa mke wake nae tunafahamiana, na ana watoto wakubwa tu aliozaa nae wanakizidi hata hicho kibinti alichoingia nacho nyumba ya wageni.
Mimi niliendelea na shughuli zangu, ikapita kama lisaa limoja na nusu nikawaona wanatoka akauchukulia boda huo mchepuko wake ukasepa. Aliponiona tu akashtuka akanifata nilipo, tukasalimiana akaanza kuniuliza huku anajishtukia, "Kumbe Ofisi yako huwa ipo apa?". Nikamwambia ndio mtani, naona leo ulikuwa matembezi kidogo!? Akasema, Ndio, najua umeshangaa kwa kilichotokea lakini sisi wote ni wanaume, kwaio yaishie hapa hapa. Nikamwambia mimi sipo hivyo mzee kuwa na amani.
Mzee wa watu akaanza kufunguka, akasema, "Unajua kijana wewe ni mwanaume kama mimi siwezi kukuficha. Mimi na mama yako huyo tuna miaka mingi mno, Sasa hivi imefika mahali jogoo hawiki ndani, na mambo hayaendi. Nikaona ili nijiridhishe kuwa nina tatizo au la, ngoja nijaribu nje ndio ntajua". Akasema kuwa yule binti niliye muona ni binti wa chuo, alijipendekeza siku moja akasema huyuhuyu ndio ntamfanyia practical.
Akasema tena kuwa walivyoingia tu chumbani yule binti alisaula nguo zote, na hivi alikuwa na rangi ya Kinyaturu, mzee alivyoiona tu mashine ya dogodogo mtambo ukaenda hewani wenyewe, bila hata ya kushikiliwa, na wakati kwa mkewe anasema mpaka waandaane lisaa zima na nusu napo kuingiza mpaka kwakuishikilia ndio inaingia ikiwa imetepeta. Mzee alisema alijihisi amekuwa kijana ghafla na alipiga zile shoo zake za miaka ile enzi za ujana wake, japokuwa ni kwa kujitutumua mno. Hapo mzee akasema kumbe tatizo Sio yeye tatizo ni mke wake".
Naishia hapo wadau.
Nini mtazamo wako?
Hii si ni Mr Q forum,bali ni JAMII FORUM inakusanya watu wa rika mbalimbali na ndio maana kuna sheria moja wapo ni kukataza kupost picha za uchi.Sasa kama ulitegemea yanini kushadidia jambo ambalo unalijua tayari
Haya nimeitoa yaishe. Na ile ilikua cartoon sio picha ya uchi ndio maana moderator walikua wametulia tuHii si ni Mr Q forum,bali ni JAMII FORUM inakusanya watu wa rika mbalimbali na ndio maana kuna sheria moja wapo ni kukataza kupost picha za uchi.
Ungeiacha kama nzuri.Haya nimeitoa yaishe. Na ile ilikua cartoon sio picha ya uchi ndio maana moderator walikua wametulia tu
Unajipa moyo, maana hayo maneno ni kama umejikatia tamaa.NGUVU ZA KIUME ZA MAANA NI ZILE ZA KUKUWEZESHA KUTAFUTA PESA.HIZO ZINGINE NI KUJIPA STRESS TU
Hao kwel wapo,hyo inatokana na kutengeneza hisia fulan ambazo zitakutawala na kumuona mkeo n wa kawaida,cha kufanya n kuzuia hisia kama hzo zisikutawale kamwe,Sawa mkuu. Na je, yule ambae anasema kuwa yeye akiiona ya mkewe pampu yake haisimami, eti kisa tu wameishi miaka mingi na wameshazoweana, lakini huyo huyo akiiona ya mchepuko mpya ambae hajawahi kumgegeda pampu inasimama mpaka inamuuma, na kwenye show anapiga vizuri tu tena bila wasiwasi na mchepuko unaridhika tofauti na kwa mkewe.
Hii unaiongeleaje? Kuna juhudi binafsi hapo mkuu?
Mkuu rudi mwanzo wa thread usome vizuri.Naamini utakuwa unamzungumzia mume wako maana hao wengine umejuaje kuwa wana upungufu wa nguvu za kiume
Huyo mzee alikwambia yaishie huko huko we umeyaleta humu dah ngoja tu ajue.Habari wadau?
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Napenda niende moja kwa moja kwenye mada.
Hivi unadhani kuwa ni kwanini nyakati hizi wanaume wengi wamekumbwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiumee tofauti na zamani?
Yaani sasa hivi asilimia kubwa ya wanaume hasa vijana hawezi kufanya mapenzi bila kitu cha kuji-boost kidogo, kila mtu na cha kwake, wengine pombe wengine nawasikia wakisema alkasusu, ugoro, viagra, vumbi la congo n.k
Tatizo lipo wapi? Ni mfumo wa maisha, lishe (artificial foods not nature), mazingira, au mwanamke mkizoweana na nguvu zinapungua?
Mimi nina ushuhuda wa mzee mmoja ana miaka kama 70, ni jamaa yangu sana na ni mtani wangu pia. Siku moja nilimuona anaingia guest na kibinti (yeye kinamwita babu) kwa sababu ofisi yangu ipo karibu na hiyo guest waliyoingia. Nilishangaa Sana kwakuwa mke wake nae tunafahamiana, na ana watoto wakubwa tu aliozaa nae wanakizidi hata hicho kibinti alichoingia nacho nyumba ya wageni.
Mimi niliendelea na shughuli zangu, ikapita kama lisaa limoja na nusu nikawaona wanatoka akauchukulia boda huo mchepuko wake ukasepa. Aliponiona tu akashtuka akanifata nilipo, tukasalimiana akaanza kuniuliza huku anajishtukia, "Kumbe Ofisi yako huwa ipo apa?". Nikamwambia ndio mtani, naona leo ulikuwa matembezi kidogo!? Akasema, Ndio, najua umeshangaa kwa kilichotokea lakini sisi wote ni wanaume, kwaio yaishie hapa hapa. Nikamwambia mimi sipo hivyo mzee kuwa na amani.
Mzee wa watu akaanza kufunguka, akasema, "Unajua kijana wewe ni mwanaume kama mimi siwezi kukuficha. Mimi na mama yako huyo tuna miaka mingi mno, Sasa hivi imefika mahali jogoo hawiki ndani, na mambo hayaendi. Nikaona ili nijiridhishe kuwa nina tatizo au la, ngoja nijaribu nje ndio ntajua". Akasema kuwa yule binti niliye muona ni binti wa chuo, alijipendekeza siku moja akasema huyuhuyu ndio ntamfanyia practical.
Akasema tena kuwa walivyoingia tu chumbani yule binti alisaula nguo zote, na hivi alikuwa na rangi ya Kinyaturu, mzee alivyoiona tu mashine ya dogodogo mtambo ukaenda hewani wenyewe, bila hata ya kushikiliwa, na wakati kwa mkewe anasema mpaka waandaane lisaa zima na nusu napo kuingiza mpaka kwakuishikilia ndio inaingia ikiwa imetepeta. Mzee alisema alijihisi amekuwa kijana ghafla na alipiga zile shoo zake za miaka ile enzi za ujana wake, japokuwa ni kwa kujitutumua mno. Hapo mzee akasema kumbe tatizo Sio yeye tatizo ni mke wake".
Naishia hapo wadau.
Nini mtazamo wako?
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu Sijamtaja jina. Halafu watu huwa tunajifunza kutokana na waliyoyapitia wenzetu, kwani maisha ndo haya haya.Huyo mzee alikwambia yaishie huko huko we umeyaleta humu dah ngoja tu ajue.
Hahah sawa ngoja nirudie kusoma nipate kitu.[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu Sijamtaja jina. Halafu watu huwa tunajifunza kutokana na waliyoyapitia wenzetu, kwani maisha ndo haya haya.
ke ni wakorofi sana japo si wote hata ufanyeje ke akinuna tu ndani lazima haitasimama hata miaka kumi. HivoHayaaaa! kama mmeamua na uzee wenu muwe mnafia gest.... ongezeni speed.... maiti zenu zitatokea gest kwenda motual ndipo mrudishwe home kwa mazishi! Hiviiii msichoridhika vidume nyie ni nini??? mbona mnajitetea saaaana! kila kitu tatizo mwanamke!!! Jitambueni... umri umeenda rudisheni majeshi vitandani mwenu looooooooool