Hivi unadhani kwanini nyakati hizi wanaume wengi wamekumbwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume tofauti na zamani?

Mbona umekazania sana hapa ????punguzeni uchafu na masimango bana. Bila hivo mtabaki na aibu ya waume zenu kufia guest.yeye amekufa

wewe unakufa kwa kunyooshewa kidole!! Sasa unaraha gani!!!
 
Wanaume wapo vile vile,hakuna kibamia,Wala Tango,tatizo hawa dada zetu,wameanza kucheza gemu akiwa dsrasa la sita,anatanuliwa weeeee,mpaka ukutane nae anamiaka 22+,dude limeishakuwa paaaaana,harafu anakuambia haunifikishi,una kibamia,kumbe,maeneo ni makubwa balaaa,baaada ya kutanuliwa
 
Kijana wangu ndio umeamua kuja kunisema hapa Jamii Forums kweli. Kweli ukakosa kifua? Ndio maana vijana mnakosa nguvu za kiume
Hahahaha,,[emoji23][emoji28][emoji28]
Nime hide identity yako hakuna atakae kutambua [emoji1][emoji1]
 
Sababu kuu ni stress za ugumu wa maisha.
Na hapa ndipo napomuona jamaa wa pdf akipiga mwingi kuanzishwe TANZANIA LABOUR CO-OPERATION, TANZANIA AGRICULTURE CO-OPERATION, TANZANIA LIVESTOCK CO-OPERATION yote haya katika kupambana na umaskini na watu watapata maisha bora na kupiga game zao bila unyonge
 
Chuchu na Matakoz ndio dawa ya kila mzembe wa kusimamisha daladala za kupitia bustani ya edenenga
 
Tatizo la nguvu za kiume kwa wanaume wengi haswa vijana ni ulaji mbovu wa vyakula wanaokula kila siku na upigaji wa punyeto unachangia sana upungufu wanguvu za kiume kwa vijana. Utakuta mtu anakula asubuhi vitumbuwa au chapati au maandazi na chai na mchana anakula ugali na kauzu na jioni anakula chips kwa kuku je mtu wa aina hiyo kweli atakuwa na nguvu zakiume? Hali vyakula vya asili hali mboga za majani hali matunda atakosaje kuwa na upungufu wanguvu za kiume? Dawa ya kutibu upungufu wa nguvu za kiume ninayo kwa mtu mwenye kutaka anitafute kwa wakati wake ili nipate kumtibia na aweze kupona maradhi yake.
 
Kama mtu ananuka mdomo au ananuka kwapa, mikojo, anahofu ya kuwa pengine ninaefanya nae ni muathirika, njaa, kudaiwa madeni au kumdai mtu nk pia vinachangia mashine kutosimama vizuri
Upo sahihi mkuu, hizi mambo za hofu ya magonjwa huwa inakata mood ya kugegeda kabisa,
 
Huu utandawazi umechangia kwa kiasi kikubwa sana haya masuala ya upungufu wa nguvu za kiume.

Mie kipindi naanza barehe late 2000s nlikuwa nikiona tu chupi imeanikwa MSHALE utasoma 4G ya kibabe, lakini kadiri siku znaenda kuja kutumia simu na kuingia sites za nude ,unakutana na watoto wasafi, shepu ya chupa, chuchu konzi. Sasa ukisha weka akilini wadada wa kwenye porn ukija kiuhalisia wadada wa bongo hawapo hivo kitambi, vuzi kama kichaka, minyama uzembe Bado kiharuhu kikali, mwishowe mtu unabadi na conflict kichwan mbona wa kule tofauti na Hawa.

Mbaya zaidi ukicheki porn mara nyingi unaishia kujichuaa, na Ili ujichue inahitaj upate video au picha nzuuuuuuri ya kufanyia hivo mwishowe bila kivutia hisia hizo pichaa za porn mnara hausomi vyema.

La mwisho kwa Leo ,sikuhizi kuna dildo vibrator wadada wengi wanazitumia hivyo kureplace nafasi ya kiume na kutuona hatuna màaana.

Sababu zngine ni stress za kukosa ajira, ugumu wa maisha etc

All in all fahari ya mwanamme ni pamoja na kuona Mzee abdallah anakuwa vyema hivyo

Tule vizuri mboga,matunda,nafaka, maji ya kutosha ,tangawiz kwa chai, mdalasin, kitunguu swaumu bila kusahau mazoez kama push up na jogging

#HAPPY BIRTHDAY TO ALL EMMANUEL AND EMMANUELA OUT THERE
 
Masuala ya upungufu wa nguvu za kiume yapo tangu zamani. Mi tangu mdogo nilikuwa naona matangazo ya dawa hizo za nguvu za kiume kwenye magazeti ya shingongo kipindi hicho yanauzwa mia mia, dawa kama super shaft zilikuwa zinatangazwa sana tu sasa huu utandawazi usiwadanganye mkahisi ni tatizo la siku hizi tu.
 
Binafsi nafahamu hakuna kitu kinachoitwa mapungufu ya nguvu za kiume ni Psychology tu....

Concentrations & Intimacy ndo kitu ambacho, mimi nilipitia kipindi nawahi kilele mara kibao tu lakini kuja kutulia na kutuliza akili mambo ni swafi tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…