Hivi unapotaka kuolewa unatakiwa kutii hisia za mapenzi ama hisia za maisha mazuri?

Hivi unapotaka kuolewa unatakiwa kutii hisia za mapenzi ama hisia za maisha mazuri?

Wenye akili walisha tahadharisha juu ya kutumia hisia badala ya akili katika kufanya maamuzi kwa sababu hisia huwa zinapenda popote bila kujali ni pazuri au ni pabaya.

Mtu yeyote anaye tumia hisia kufanya maamuzi huwa ana asilimia 97 ya kufeli dhidi ya 3 tu za kufaulu, kwa sababu hisia huwa ni kitu cha muda mfupi tu na huwa kinaisha lakini akili ndo muongozo wa binadamu kuanzia unazaliwa mpaka unakufa.

Kuhusu hisia hapo hakuna cha hisia wala nn bali ni nyege tu zinakusumbua,huyo unaye sema una hisia nae akikuoa ukalala naye kitanda kimoja mwaka mzima hizo hisia hutajua hata zimeenda wapi juu yake na hapo dharau juu yake ndo itakapo anza na utakuja kujutia maamuzi yako lakini utakuwa umechelewa.

Alafu kingine mwanamke mwenye akili anapo chukua maamuzi ya kuolewa huwa hajiangalii yeye binafisi bali huwa ana fanya maamuzi kwa kuangalia pia watoto atakao wazaa, kwa sababu hizo hisia zenu hazitawapeleka watoto wako shule ,hazita wanunulia chakula kizuri hazita wajengea nyumba nzuri ya kuishi.

Kuolewa na mwanaume asiye na msingi wa maisha kwa kigezo cha hisia alafu watoto mtakao wazaa watembee na nguo zenye viraka una kila sifa ya kuitwa mpumbavu.
 
Kwahiyo hapa tunapoongea wote wanaichataka Kwa zamu,, anyway

Kwanini usiolewe na huyo kibopa afu ukachepuka na huyo unayemtambua kama mlala hoi?
 
Wenye akili walisha tahadharisha juu ya kutumia hisia badala ya akili katika kufanya maamuzi kwa sababu hisia huwa zinapenda popote bila kujali ni pazuri au ni pabaya.

Mtu yeyote anaye tumia hisia kufanya maamuzi huwa ana asilimia 97 ya kufeli dhidi ya 3 tu za kufaulu, kwa sababu hisia huwa ni kitu cha muda mfupi tu na huwa kinaisha lakini akili ndo muongozo wa binadamu kuanzia unazaliwa mpaka unakufa.

Kuhusu hisia hapo hakuna cha hisia wala nn bali ni nyege tu zinakusumbua,huyo unaye sema una hisia nae akikuoa ukalala naye kitanda kimoja mwaka mzima hizo hisia hutajua hata zimeenda wapi juu yake na hapo dharau juu yake ndo itakapo anza na utakuja kujutia maamuzi yako lakini utakuwa umechelewa.

Alafu kingine mwanamke mwenye akili anapo chukua maamuzi ya kuolewa huwa hajiangalii yeye binafisi bali huwa ana fanya maamuzi kwa kuangalia pia watoto atakao wazaa, kwa sababu hizo hisia zenu hazitawapeleka watoto wako shule ,hazita wanunulia chakula kizuri hazita wajengea nyumba nzuri ya kuishi.

Kuolewa na mwanaume asiye na msingi wa maisha kwa kigezo cha hisia alafu watoto mtakao wazaa watembee na nguo zenye viraka una kila sifa ya kuitwa mpumbavu.
Taratibu mkuuu.

Utafanya tuachwe wengine huku..[emoji1787][emoji1787]

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Huna akili usiolewe na yoyote apo utaenda kupoteza mda wako maana hujui unataka kitu Gani uyo mwenye hela unajua kazitoa wapi au unataka ukajambie tu makochi ya watu Binti acha tamaa watu wanamiliki utajili wa punje
 
Fata moyo wako maisha ni yako.
KILA mmoja anayosababu yake kuingia ndoani isiyofanana na mwingine
Wengine ufuata
1.Heshima
2.pesa
3.maisha mazuri
4.tamaa ya ngono
5.Kuwa na watoto wote kwa baba mmoja
7.Wamechoka kukaa nyumbani
8.Mapenzi
9.Nk.
Fata kitu cha kudumu na sio mapenzi.
Mapenzi uisha nyege zikiisha ambapo haizidi miezi 3 ndani ya ndoa bakia mazoea.
 
Ke wengi kwasasa wanaangalia maisha mazuri

Ila kidume huhitaji kuwaza sana chukua chombo chochote kitakachokupendeza isipokuwa hawa wa elimu kubwa ni wajinga mno wavivu wabishi na wanapenda haki sawa wakati hawawez kukojoa wakiwa wamesimama
KWA SAsa utii hauna cha elimu zaidi ya malezi.
Wameacha wajibu wao KILA kitu dada wa Kazi,tunaishi nao Ili watuzalie watoto tu mengine hatuumizi kichwa.
 
Ke wengi kwasasa wanaangalia maisha mazuri

Ila kidume huhitaji kuwaza sana chukua chombo chochote kitakachokupendeza isipokuwa hawa wa elimu kubwa ni wajinga mno wavivu wabishi na wanapenda haki sawa wakati hawawez kukojoa wakiwa wamesimama
umemalizaa mimi ni nani hata nipinge. Kuongezea tu hawa wenye vijielimu ukute ndio ana kaajira, qmmae hakuna colour utaacha kuiona.

kiufupi ni kwamba elimu na ajira zikiwa kwa mwanamke heshima na adabu humtoroka, kiburi, jeuri na ujuaji huchukua nafasi automatically.
 
Watu wawili wanaonesha interest kwangu.

Mmoja ana hela chafu, nikikohoa muamala unasoma. Na kwake ni full kiyoyozi, gari kali, geto kali na mipango ya maisha iko kwenye mstari.

Huyu mwingine mm ndiye nampenda haswa, nikimuona nategwa kihisia kama samaki kaona chambo. Lkn huyu kiuchumi kachoka. Anategemea mshahara na mshahara unategemewa na kijiji (ndugu kibao).

Najiuliza, hivi nikiolewa na huyu wa kwanza tutadumu kweli? Maana sina hisia naye kabisaaa. Kuna muda nakuwa mkali kwake bila sababu, lkn nguvu yake ya kiuchumi inaniweka sawa.

Kwa huyu wa pili pia najiuliza : hivi tutadumu kweli? Kuishi maisha ya kusubiria mshahara, usafiri TZ 11 (miguu), kachumba kamoja kana joto utadhani oven, feni inazunguka mpk inanuka oil. Mmh! Kuna muda nakata tamaa na kutaka kumwaga, lkn hisia za penzi langu kwake zinaniweka sawa.

Ndipo sasa nawauliza. Nitii hisia zipi hapa? Hisia za mapenzi ama za maisha mazuri??
Mfuate mwenye pesa ili uwe kama wenzako wengi
 
Mfuate mweny uchumi kwa usalama wako coz huyo ndo anakupenda na utakuwa na double advantage , Maisha safi na mapenzi ya dhati kutoka kwake...Asikwambie mtu umaskini mbaya sana .
 
Haiwezekani.
Kuolewa na wote inawezekana sana tu yaani.

Kwa sababu una tamaa na huna penzi la dhati ndiyo maana hujui uolewe na nani ndiposa unakuja kutaka ushauri.


Hapa hakuna msaada wala ushauri wowote bali nafsi ya mtu upenda pale anapoona panamfaa. Mlishaamua kuwa New Age hamchaguliwi mchumba leo imekuwaje?.
 
Back
Top Bottom