Hivi unapotaka kuolewa unatakiwa kutii hisia za mapenzi ama hisia za maisha mazuri?

Hivi unapotaka kuolewa unatakiwa kutii hisia za mapenzi ama hisia za maisha mazuri?

Watu wawili wanaonesha interest kwangu.

Mmoja ana hela chafu, nikikohoa muamala unasoma. Na kwake ni full kiyoyozi, gari kali, geto kali na mipango ya maisha iko kwenye mstari.

Huyu mwingine mm ndiye nampenda haswa, nikimuona nategwa kihisia kama samaki kaona chambo. Lkn huyu kiuchumi kachoka. Anategemea mshahara na mshahara unategemewa na kijiji (ndugu kibao).

Najiuliza, hivi nikiolewa na huyu wa kwanza tutadumu kweli? Maana sina hisia naye kabisaaa. Kuna muda nakuwa mkali kwake bila sababu, lkn nguvu yake ya kiuchumi inaniweka sawa.

Kwa huyu wa pili pia najiuliza : hivi tutadumu kweli? Kuishi maisha ya kusubiria mshahara, usafiri TZ 11 (miguu), kachumba kamoja kana joto utadhani oven, feni inazunguka mpk inanuka oil. Mmh! Kuna muda nakata tamaa na kutaka kumwaga, lkn hisia za penzi langu kwake zinaniweka sawa.

Ndipo sasa nawauliza. Nitii hisia zipi hapa? Hisia za mapenzi ama za maisha mazuri??
Fanya maamuz ambayo hutokaa ujutie baadae
 
Kuolewa na mwanaume asiye na msingi wa maisha kwa kigezo cha hisia alafu watoto mtakao wazaa watembee na nguo zenye viraka una kila sifa ya kuitwa mpumbavu.
Mpaka hapo nishakusoma. Unataka niende kwenye kiyoyozi
 
unauhakika uko peke yako kwa huyo kijeba mwenye pesa ?
Kumbuka Pesa zikiisha na mapenzi yanakufa sababu huna hisia nae
Kuwa makin usije juta mbeleni
Wanawake wengi wanachukia waume zao wakipoteza kazi sababu hii!
 
Watu wawili wanaonesha interest kwangu.

Mmoja ana hela chafu, nikikohoa muamala unasoma. Na kwake ni full kiyoyozi, gari kali, geto kali na mipango ya maisha iko kwenye mstari.

Huyu mwingine mm ndiye nampenda haswa, nikimuona nategwa kihisia kama samaki kaona chambo. Lkn huyu kiuchumi kachoka. Anategemea mshahara na mshahara unategemewa na kijiji (ndugu kibao).

Najiuliza, hivi nikiolewa na huyu wa kwanza tutadumu kweli? Maana sina hisia naye kabisaaa. Kuna muda nakuwa mkali kwake bila sababu, lkn nguvu yake ya kiuchumi inaniweka sawa.

Kwa huyu wa pili pia najiuliza : hivi tutadumu kweli? Kuishi maisha ya kusubiria mshahara, usafiri TZ 11 (miguu), kachumba kamoja kana joto utadhani oven, feni inazunguka mpk inanuka oil. Mmh! Kuna muda nakata tamaa na kutaka kumwaga, lkn hisia za penzi langu kwake zinaniweka sawa.

Ndipo sasa nawauliza. Nitii hisia zipi hapa? Hisia za mapenzi ama za maisha mazuri??
mpemde umpemdae usiyempenda achana nae dadangu.
 
Watu wawili wanaonesha interest kwangu.

Mmoja ana hela chafu, nikikohoa muamala unasoma. Na kwake ni full kiyoyozi, gari kali, geto kali na mipango ya maisha iko kwenye mstari.

Huyu mwingine mm ndiye nampenda haswa, nikimuona nategwa kihisia kama samaki kaona chambo. Lkn huyu kiuchumi kachoka. Anategemea mshahara na mshahara unategemewa na kijiji (ndugu kibao).

Najiuliza, hivi nikiolewa na huyu wa kwanza tutadumu kweli? Maana sina hisia naye kabisaaa. Kuna muda nakuwa mkali kwake bila sababu, lkn nguvu yake ya kiuchumi inaniweka sawa.

Kwa huyu wa pili pia najiuliza : hivi tutadumu kweli? Kuishi maisha ya kusubiria mshahara, usafiri TZ 11 (miguu), kachumba kamoja kana joto utadhani oven, feni inazunguka mpk inanuka oil. Mmh! Kuna muda nakata tamaa na kutaka kumwaga, lkn hisia za penzi langu kwake zinaniweka sawa.

Ndipo sasa nawauliza. Nitii hisia zipi hapa? Hisia za mapenzi ama za maisha mazuri??

Ukishakuwa na maisha mazuri utahitaji mapenzi
 
Ke wengi kwasasa wanaangalia maisha mazuri

Ila kidume huhitaji kuwaza sana chukua chombo chochote kitakachokupendeza isipokuwa hawa wa elimu kubwa ni wajinga mno wavivu wabishi na wanapenda haki sawa wakati hawawez kukojoa wakiwa wamesimama
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom