Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,553
ItajeKuna Id humu imetongoza jf nzima kama haujatongozwa nayo jipige kifuani useme mimi ni mwamba....
Huyo dogo kuna kitu kamiss aseme tu😁Ah unataka kujisogezea au
Nianze kutafuta mshono 😛
Me namsaidia kaka angu kumpigia debe ukishaingia lain anamalizia tuuAh unataka kujisogezea au
Nianze kutafuta mshono 😛
Msichokoze mambo huyo huwa hakopeshi mtaukimbia uzi😅😅Fungua code vizuri basi wengine tubelight
😂😂😂😂me nakutafutia bana nakuona ulivyo mpweke na me sipendi kaka jamanUsiniletee uphaller nani alikwambia natafuta? Ntakufinya dogo😁
Kama umeniona mpweke mbona hujaja?😂😂😂😂me nakutafutia bana nakuona ulivyo mpweke na me sipendi kaka jaman
Sawa nduguOooh okay tupo pamoja
Nshawahi kuwa nazo mbili moja ya kike nyingine ya Kiume [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila yakanishinda
Ushasema ninyamaze nishanyamaza mieKama umeniona mpweke mbona hujaja?
Asante kwa utii barikiwaUshasema ninyamaze nishanyamaza mie
Asante kwa kutiiNimenyamaza kaka nisamehe mie😪
Katika vitu vimenishinda ni kumiliki laini ya simu zaidi ya 1 na id mbili, najiona najulikana I can't act kuwa mtu mwingine halafu naogopa aibu ya id kuunganishwaInaonyesha una ma id kibao🤣
Kwani tatizo lipo wapi cha maingi hatujavunja sheria za nchiNdo utongoze kila mtu
Mweusi ee 😎🥱Nishamuona na ID A nikachomoka
Karudi na ID B
Same person different ID
Hahahhahaha Hornet hebu niache kidogo hadi nimepaliwaTukianza na Yule Dakitari [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie ntakuja kusutwa