Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule hasutagiTukianza na Yule Dakitari [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie ntakuja kusutwa
Meneja 🤣😂😂Ipi hiyo?
Ila kuna watu wana tamaa sijui ndio uhuni kha
Huyu ni yupi?Yule hasutagi
Labda akuzushie msala
Au aje akuseme na Id mpya ‘sijui kama ana tania za matipo
😂😂😂 unamjua bwanaaHuyu ni yupi?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Meneja 🤣😂😂
Wewe na mi koment yako bila shaka pm yako imejaa na kufurika🤣🤣🤣Katika vitu vimenishinda ni kumiliki laini ya simu zaidi ya 1 na id mbili, najiona najulikana I can't act kuwa mtu mwingine halafu naogopa aibu ya id kuunganishwa
Wadada hamtaki mitaji ya biashara sijui mnataka nn sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Aah huyu apewe tuzo jamani, basi nilimuwaza yule daktari mwingine wa mchongo.
Mwamba kabisa
Mwenye kuwajua wanawake kuliko wenyewe wanavyojijuaWadada hamtaki mitaji ya biashara sijui mnataka nn sasa
Dokta wa mchongo? Code ngumu 😕
Au nina njaa
Tujifunzeni kuignore new iD.madhara ndo haya.Ilinitokea kwenye id ya Beesmom but uzuri wangu mi sicheleweshi au kuwa na tabia ya kila kinachotokea kumfungulia MTU thread,..nikamchana tu MI TO YEYE ULISHAWAHI NITONGOZA TAYARI.Rahisi kabisa and kimyakimya. Pia si kosa lake maana hajui that it's you
Ulishatongozwa pia🤣🤣🤣Ipi hiyo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha ha haaaaaaaaMwenye kuwajua wanawake kuliko wenyewe wanavyojijua
(Kwa sauti ya yule yesu kwa kwenye movie) amini nakwambia Depal nawe umetongozwa 🤣🤣🤣Id yako hii probably Lenie
Amsute nani atafute hela kwanzaHa ha ha haaaaaaaa
Siku ya kusutwa
Nitakavyokuja kwenye uzi nichekeee
Tabia mbayaTujifunzeni kuignore new iD.madhara ndo haya.Ilinitokea kwenye id ya Beesmom but uzuri wangu mi sicheleweshi au kuwa na tabia ya kila kinachotokea kumfungulia MTU thread,..nikamchana tu MI TO YEYE ULISHAWAHI NITONGOZA TAYARI.Rahisi kabisa and kimyakimya. Pia si kosa lake maana hajui that it's you
HahahhaaaMsichokoze mambo huyo huwa hakopeshi mtaukimbia uzi[emoji28][emoji28]
Duh mwamba huyu hapaKuna Id humu imetongoza jf nzima kama haujatongozwa nayo jipige kifuani useme mimi ni mwamba....
Haaaaa.. ID gani hiyo? Umenifanya nicheke [emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ulishatongozwa pia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]