Hivi unapotongozwa na ID ya mtu mnayefahamiana huwa unafanyaje?

Hivi unapotongozwa na ID ya mtu mnayefahamiana huwa unafanyaje?

Tukianza na Yule Dakitari [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nyie ntakuja kusutwa
Yule hasutagi
Labda akuzushie msala
Au aje akuseme na Id mpya ‘sijui kama ana tabia za matipo
 
Katika vitu vimenishinda ni kumiliki laini ya simu zaidi ya 1 na id mbili, najiona najulikana I can't act kuwa mtu mwingine halafu naogopa aibu ya id kuunganishwa
Wewe na mi koment yako bila shaka pm yako imejaa na kufurika🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Aah huyu apewe tuzo jamani, basi nilimuwaza yule daktari mwingine wa mchongo.

Mwamba kabisa
Wadada hamtaki mitaji ya biashara sijui mnataka nn sasa


Dokta wa mchongo? Code ngumu 😕
Au nina njaa
 
Tujifunzeni kuignore new iD.madhara ndo haya.Ilinitokea kwenye id ya Beesmom but uzuri wangu mi sicheleweshi au kuwa na tabia ya kila kinachotokea kumfungulia MTU thread,..nikamchana tu MI TO YEYE ULISHAWAHI NITONGOZA TAYARI.Rahisi kabisa and kimyakimya. Pia si kosa lake maana hajui that it's you

Lazma ni yule mwamba 🤣
 
Tujifunzeni kuignore new iD.madhara ndo haya.Ilinitokea kwenye id ya Beesmom but uzuri wangu mi sicheleweshi au kuwa na tabia ya kila kinachotokea kumfungulia MTU thread,..nikamchana tu MI TO YEYE ULISHAWAHI NITONGOZA TAYARI.Rahisi kabisa and kimyakimya. Pia si kosa lake maana hajui that it's you
Tabia mbaya

Ndugu yetu hapa aliishiwa pozi kabisa.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom